Virusi vya Corona: Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na corona.
Katika mkutano wake na wanahabari naibu waziri wa Afya Rashid Aman amesema kwamba maabara 2 za kuhama hama zitazinduliwa katika mpaka wa Namanga ili kuimarisha upimaji wa wagonjwa wapya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya Corona: Uganda yatazamia kudhibiti corona kwa kuwazuia madereva wa Kenya, Tanzania
Wagonjwa wa virusi vya corona nchini Uganda wafikia 74.
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya corona: Madereva 4 wa malori kutoka Tanzania wakutwa na virusi hivyo Uganda
Wizara ya afya nchini Uganda imetangaza wagonjwa wanne wapya wa virusi vya corona na kufanya idadi ya wanaothirika na ugonjwa huo kufikia 79.
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Tanzania yafika 147 baada ya wagonjwa 53 zaidi kukutwa na virusi hivyo
Tanzania imethibtisha wagonjwa wapya 53 wa virusi vya corona nchini humo hatua inayoongeza idadi ya watu walioathirika na ugonjwa huo kufikia watu 147
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya visa vya corona Kenya imefikia 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa
Idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imefikia hadi 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa, imetangaza Wizara ya afya nchini humo
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya corona: Kenya yasema 'adui si Tanzania ni Corona'
Balozi wa Kenya nchini Tanzania Dan Kazungu, ametetea hatua ya Kenya kufunga mpaka na majirani zake akisema kuwa haiwalengi Watanzania.
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Coronavirus: Prince Charles sasa anaweza kutangamana baada ya kukutwa na virusi vya corona juma lililopita
Mrithi wa kiti cha Ufalme Uingereza yuko katika afya nzuri, siku saba baada ya kupatikana na virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715
Raia wawili wa Tanzania wamezuiwa kuingia nchini Kenya katika mpaka wa Isibania baada ya kukutwa na virusi vya corona, kulingana na wizara ya afya nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona Kenya yapanda hadi 110
Idadi ya visa vya ugonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imefikia 110 baada ya visa vingine 29 kuthibitishwa
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
Virusi vya corona: Wanafunzi wa Kenya wanaotengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania