Virusi vya corona: Muuguzi wa Kenya asimulia alivyotengwa kwa kuwahudumia wagonjwa wa corona
Kumekuwa na unyanyapaa dhidi ya wahudumu wa afya wanaoshughulikia wanaougua corona na wale waliopona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Muuguzi wa wagonjwa wa corona ambaye huenda akarejeshwa kwao kwa lazima.
Mahakama ya juu zaidi nchini Marekani inasikiliza kesi ambayo huenda ikaweka maelfu ya watu hasa watoto ambao waliingizwa nchini humo kinyume cha sheria na wazazi wao katika hatari ya kurejeshwa katika nchi zao.
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya Corona: Simulizi ya muuguzi ambaye hushuhudia saa za mwisho za wagonjwa wa corona
''Wakati mwingine ninahisi kama nahusika na kifo cha mtu,'' anaeleza muuguzi mmoja.
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona Kenya yapanda hadi 110
Idadi ya visa vya ugonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imefikia 110 baada ya visa vingine 29 kuthibitishwa
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa wa corona Kenya yafika 281
Idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi 281 baada ya visa vingine 11 kuthibitishwa Jumatatu.
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Virusi vya Corona: Watu 15 wapona corona Kenya, wagonjwa wapya 11
Hii ni idadi kubwa zaidi ya watu kupona kwa siku nchini Kenya
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya corona: Idadi ya Wagonjwa wa corona kenya yafikia 887
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi kufikia 887 baada ya wagonjwa wengine 57 kukutwa na virusi hivyo katika kipindi cha saa 24.
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Kenya yathibitisha wagonjwa wapya 16 wa corona
Kenya imethibitisha kuwa na wagonjwa 142 wa corona baada ya kufanya vipimo watu 530.
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona 4 wafariki huku 15 wakipata maambukizi Kenya
Kenya imeripoti jumla ya visa 411 vya maambukizi ya virusi vya corona Ijumaa, kwa mujibu wa taarifa za hivi punde zilizotangazwa na Waziri wa Afya wan chi hiyo Bwana Mutahi Kagwe
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa wa corona Kenya yaongezeka hadi kufikia 2767
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi 2,767 baada ya wagonjwa wengine 167 kupatikana na virusi hivyo kutoka sampuli 2,833 zilizofanyiwa vipimo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania