MAFUNZO YA MWEZI MMOJA YA OLIMPIKI MAALUMU TANZANIA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI YA FUNGWA RASMI LEO
Walimu waliokuwa wakiendesha mafunzo kwa watoto hao wakiwa katika picha ya pamoja. Kutoka kushoto ni Beatha Qambayot, Zilpa Masunga, Mtendaji Mkuu wa Olimpiki Maalumu Tanzania, Frank Macha na Alphonsia Mwairafu.
Walimu hao wakiwa wameshika mipira ya kufundishia.
Watoto wenye ulemavu wa akili wakiwa katika picha na wazazi, pamoja na walimu wao baada ya kumaliza mafunzo ya mwezi mmoja ya Olimpiki Maalumu Tanzania yaliyofikia tamati wilayani Temeke Dar es Salaam leo.
BOFYA HAPA KWA PICHA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAFUNZO YA MWEZI MMOJA YA OLIMPIKI MAALUMU TANZANIA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI YA FUNGWA RASMI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1WmH-1m2NUY/U5w_jB35YBI/AAAAAAAFqoM/o4IOIuJsYlQ/s72-c/38.jpg)
Wafanyakazi wa Citi Bank tawi la Tanzania watoa msaada kwenye Kitengo cha Watoto wenye Ulemavu wa akili,Tandika jijini Dar
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Muziki watumika kuwasaidia watoto wenye ulemavu wa akili
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Y6-hmyORs/U4lvC68S-vI/AAAAAAAFmr4/D5pSR-kCqKI/s72-c/unnamed+(91).jpg)
Wafanyakazi wa Benki ya NBC waipiga jeki timu ya watoto wenye ulemavu wa akili Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Y6-hmyORs/U4lvC68S-vI/AAAAAAAFmr4/D5pSR-kCqKI/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nMpDg59Mvl4/U4lvDGP2fbI/AAAAAAAFmsE/YflKfPs6AtE/s1600/unnamed+(92).jpg)
10 years ago
CloudsFM29 Oct
WANAFUNZI WENYE ULEMAVU WA AKILI WAPATA UJAUZITO GEITA
Wanafunzi watatu ambao ni walemavu wa akili wanaosoma Shule Maalumu ya Msingi Mbugani, Halmashauri ya Mji Geita wamekatiza masomo baada ya kubakwa na kupata mimba.
Wanafunzi hao wameacha masomo tangu mwanzoni mwa mwaka huu kwa sababu ya ujauzito, baada ya kubakwa na watu wasiojulikana wakiwa njiani kwenda shule.
Akizungumza ofisini kwake juzi, Mwalimu Mkuu Kitengo cha Wanafunzi Walemavu, Mtawa Blacia Mghamba alisema wanafunzi hao wamefanyiwa vitendo hiyo kutokana na shule hiyo kutokuwa na...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6OSYnpeUDQ8/VidvtlT56FI/AAAAAAACCi4/FJH8jRNErtI/s72-c/90.jpg)
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR, MAFUNZO YATOLEWA KWA WATU WENYE ULEMAVU PEMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6OSYnpeUDQ8/VidvtlT56FI/AAAAAAACCi4/FJH8jRNErtI/s640/90.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-W8jDJxdhfE4/VidvwvO3LeI/AAAAAAACCjA/brpVSqeDk1k/s640/03.jpg)
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Mafunzo juu ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa kwa watu wenye Ulemavu-Ifakara Kilombero
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wasioona (TLB) Mwalimu Greyson Mlanga(aliyesimama) akitoa somo juu ya Warsha ya Siku mbili ya Mkatabawa Umoja wa Mataifa Kwa Watu Wenye Ulemavu Mjini Ifakara hivi karibuni. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Hicho Wilaya ya Kilombero Maria Faya na Kulia ni Mwalimu Janet Kalalu, Mratibu wa Chama Wilaya.
Viongozi wa TLB Taifa Wakiungana na Viongozi wa TLB Wilaya ya Kilombero katika kuimba Wimbo wa Haki za Binadamu katika Mafunzo ya Siku Mbili yaliyowakutanisha...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/SAM_0523.jpg)
MAFUNZO JUU YA MKATABA WA UMOJA WA MATAIFA KWA WATU WENYE ULEMAVU IFAKARA KILOMBERO
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Kwa nini tuone aibu kuzaa watoto wenye ulemavu?