Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maswali mengi wakati Ligi Kuu ikianza tena

Ligi kuu ya soka Tanzania Bara inaendelea leo baada ya kusimama kwa siku 46 kupisha mechi ya kirafiki za kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) na michuano ya Kombe la Chalenji ambayo mpaka leo haijafanyika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

MTAZAMO :Ninatarajia kupata mengi Ligi Kuu Bara 2015/16

Nimekuwa shuhuda wa muda mrefu wa mechi za Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara kwenye viwanja mbalimbali nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Prisons ianze kuja na majibu siyo maswali

Wengi waliamini kuwa katika msimu uliopita, 2014/15 Prisons ingekuja na majibu ya ubovu wao wa msimu wa 2013/14 kwa kufanya vizuri zaidi, cha ajabu haikuja na majibu na kwa mwaka wa pili mfululizo ilinusurika katika siku ya mwisho ya msimu.

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Stand, yetu macho, kusikia tumesikia mengi kwao

Kuna timu iliyokuja kwa mkwara msimu uliopita kuliko Stand United? Hapana. Jina lenyewe liliashiria kwamba ni timu ya wananchi ambayo imetoka katika eneo la wananchi. Kila mtu alihisi kwamba wangekuwa ‘Mbeya City mpya’.

 

9 years ago

Michuzi

TFF YABAINISHA KATIBA NA KANUNI ZA LIGI KUU WAKATI WA UCHAGUZI MKUU

Baraka Kizuguto - Msemaji wa TFF
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limebaini kuwepo kwa vitendo vyaa wanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania kujihusisha na masuala ya Siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za vilabu na wadhamini wa Ligi.Katiba ya TFF ibara ya I (4) inatamka “TFF is neutral in matters of politics and religion. Discrimination of any kind against a country, private person or group of people on account race, skin colour, ethnic, national or social...

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Kagera Sugar, ni wakati wa kusaka pepo au moto

Miezi 15 iliyopita, klabu ya Kagera Sugar yenye makazi yake katika mkoa anaotoka Rais wa TFF, Jamal Malinzi ilishika nafasi ya tano ikiwa na pointi 38. Pia,  miezi miwili iliyopita imemaliza nafasi ya sita ikiwa ikiwa na pointi 32.

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI WA LIGI KUU BORA: Coastal Union, wakati wa kukimbia na siyo kutembea

Msimu mwingine kwa Coastal Union. Wagosi wa Kaya. Maisha yanataka nini zaidi kwao? Wameendelea kuwepo katika Ligi Kuu wakipunga upepo na msimu uliopita walishika nafasi ya tano. Coastal wanarudi katika msimu mwingine wakiwa na matumaini mapya zaidi.

 

5 years ago

Michuzi

LIGI KUU UINGEREZA KUENDELEA TENA JUNI 17, MAN CITY VS ARSENAL

Baada ya Bundesliga kuanza kutimua vumbi, Pazia la ligi Kuu nchini Uingereza linatarajia kufunguliwa Juni 17 mwaka huu kwa mechi mbili kuchezwa.

Mechi hizo zikiwa ni viporo zitawakutanisha mabingwa watetezi Manchester City dhidi ya Arsenal na Aston Villa dhidi ya Sheffield United huku ratiba kamili ikianzia wikiendi ya Juni 19-21.

Bado kuna jumla ya mechi 92 ambazo zinahitaji kuchezwa na vilabu vyote 20 baada ya Ligi hiyo kusiimamishwa kwa muda usiojulikana Machi 13 kutokana na mlipuko wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani