Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTAZAMO :Ninatarajia kupata mengi Ligi Kuu Bara 2015/16

Nimekuwa shuhuda wa muda mrefu wa mechi za Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara kwenye viwanja mbalimbali nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Stand, yetu macho, kusikia tumesikia mengi kwao

Kuna timu iliyokuja kwa mkwara msimu uliopita kuliko Stand United? Hapana. Jina lenyewe liliashiria kwamba ni timu ya wananchi ambayo imetoka katika eneo la wananchi. Kila mtu alihisi kwamba wangekuwa ‘Mbeya City mpya’.

 

10 years ago

Mwananchi

Ilivyokuwa Ligi Kuu Bara 2014/2015

Msimu wa Ligi Kuu Bara 2014/2015 umemalizika mwezi uliopita na Yanga ilitwaa ubingwa huku timu za Polisi Morogoro na Ruvu Shooting zikiteremeka Daraja baada ya kushika mkia kwenye msimamo wa ligi hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

MSIMU WA 2015/16 : Nyota wa kuwaangalia Ligi Kuu Bara

Msimu mpya wa Ligi Kuu Bara unaanza Jumamosi hii huku wadau wengi wa soka wakitaka kuona ni timu gani itafanya vizuri na kutwaa ubingwa kutokana na maandalizi iliyofanya.

 

9 years ago

Mwananchi

Viwanja vya Ligi Kuu Bara msimu wa 2015/16

Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015/16 inaanza mwishoni mwa wiki hii Septemba 12 na itashirikisha timu 16 zitakazokuwa zimetoka mikoa tisa tofauti huku zikicheza kwenye viwanja 13 tofauti.

 

10 years ago

Michuzi

YANGA MABINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA 2014 - 2015


Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1.
Mgeni Rasmi katika Mchezo huo, Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Mh. Dkt. Fenella Mukangara akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Yanga, Nadir Haroub cheti cha pongezi kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani, Sepp Blatter...

 

9 years ago

StarTV

TFF: Yatangaza ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2016.

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016, ambao utakuwa na jumla ya timu 16 badala ya 14 za msimu uliopita.

Ligi Kuu ya Bara imepangwa kuanza Septemba 12 mwaka huu, na itamalizika Mei saba mwakani, lakini itasimama kwa mapumziko kati ya Novemba saba na Desemba 19 mwaka huu, kupisha michuano mbalimbali ya kimataifa.

 

TFF imetangaza ratiba ya ligi hiyo, na kusema imezingatia ratiba ya mashindano mbalimbali ya kitaifa na...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA YABAMIZWA BAO 2 - 1 KUTOKA KWA AZAM NA KUWA MABINGWA WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA 2014 - 2015


Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.Mgeni Rasmi katika Mchezo huo, Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Mh. Dkt. Fenella Mukangara akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Yanga, Nadir Haroub cheti cha pongezi kutoka kwa Rais wa Shirikisho la...

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA : Bajeti za kibabe usajili wa Tanzania Bara

Usajili wa wachezaji Ligi Kuu Tanzania Bara kwa ajili ya msimu ujao umekaa kibabe tofauti na misimu mingine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani