Viwanja vya Ligi Kuu Bara msimu wa 2015/16
Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015/16 inaanza mwishoni mwa wiki hii Septemba 12 na itashirikisha timu 16 zitakazokuwa zimetoka mikoa tisa tofauti huku zikicheza kwenye viwanja 13 tofauti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Sep
MSIMU WA 2015/16 : Nyota wa kuwaangalia Ligi Kuu Bara
9 years ago
StarTV20 Aug
TFF: Yatangaza ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2016.
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016, ambao utakuwa na jumla ya timu 16 badala ya 14 za msimu uliopita.
Ligi Kuu ya Bara imepangwa kuanza Septemba 12 mwaka huu, na itamalizika Mei saba mwakani, lakini itasimama kwa mapumziko kati ya Novemba saba na Desemba 19 mwaka huu, kupisha michuano mbalimbali ya kimataifa.
TFF imetangaza ratiba ya ligi hiyo, na kusema imezingatia ratiba ya mashindano mbalimbali ya kitaifa na...
10 years ago
VijimamboKLABU YA RUVU SHOOTING YAUNGANA NA POLISI MORO SC KUSHUKA DARAJA LIGI KUU TANZANIA BARA MSIMU WA MWAKA 2014/2015.
![](https://ramadhaniabubakari.files.wordpress.com/2012/10/81.jpg?w=593&h=311)
Ndanda FC imefanikiwa kubaki ligi kuu Tanzania bara baada ya kuilaza Yanga SC bao 1-0 katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.
Kipigo walichopata Polisi Moro SC cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kimewafanya kupata tikiti ya kushuka daraja na kuungana na Ruvu Shooting.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/00.1stand-united-Vs-mtibwa11.jpg)
Kwa upande wa Stend United yenyewe imepata matokeo mazuri ya bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kuinusuru timu hiyo kushuka daraja huku ikiiachia dhahama Ruvu Shooting.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/TFF-Tanzania-Prisons.jpg)
Kikosi cha Prison.
Klabu za Polisi Moro SC na Ruvu...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
10 years ago
Mwananchi11 May
Kikosi bora cha Ligi Kuu Bara msimu wa 2014/15
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Viwanja vitakavyotumika kwa Ligi Kuu msimu huu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3PParhf2-S6ekrAUoTfmOMRJs4X3d1u82BauCTrYc1myUpzCcPRiexD-vp3aDEbu7TAjYUXr6YFVJ6buyC5O9Wh/CDnMOBVWIAAznIr.png?width=640)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWwkcbiaf7n95HdChjZ5-u7aZbPiIhzWY5*6DUIN1Eg-l3rKHU6MWaqqXKJbDu26rOr9azJyiYP0jjCx80291GBu/001.KITS.jpg?width=650)
VODACOM YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 14 ZA LIGI KUU KWA AJILI YA MSIMU WA 2014/2015
9 years ago
Mwananchi16 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Je, Simba itarudi kuwa Simba halisi msimu huu?