Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viwanja vitakavyotumika kwa Ligi Kuu msimu huu

Ligi Kuu msimu wa 2014/15 itaanza Septemba 20 na itashirikisha timu 14 zitakazopigwa kwenye viwanja kumi katika mikoa tofauti nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Uwanja wa Jamhuri kamili kwa Ligi Kuu msimu huu

Maandalizi ya mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/2015 kati ya Mtibwa Sugar na Yanga SC yamekamilika mkoani hapa.

 

9 years ago

MillardAyo

Wachezaji 10 wanaoongoza kwa kutoa pasi za magoli Ligi Kuu Uingereza msimu huu …

Kwa sasa Mesut Ozil hadi anaondoka ndani ya klabu ya Real Madrid ya Hispania na kujiunga na Arsenal ya Uingereza ndio alikuwa mchezaji anayeongoza kumpa pasi za mwisho Cristiano Ronaldo na kufunga magoli. Achana na rekodi ya sasa ya Mesut Ozil ya kuwa mchezaji anayeongoza kutoa pasi nyingi za magoli kwa muda mchache. Nimekutana na […]

The post Wachezaji 10 wanaoongoza kwa kutoa pasi za magoli Ligi Kuu Uingereza msimu huu … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Viwanja vya Ligi Kuu Bara msimu wa 2015/16

Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015/16 inaanza mwishoni mwa wiki hii Septemba 12 na itashirikisha timu 16 zitakazokuwa zimetoka mikoa tisa tofauti huku zikicheza kwenye viwanja 13 tofauti.

 

9 years ago

Mwananchi

Wachezaji nyota waliosajiliwa, kuachwa msimu huu Ligi Kuu

Wakati dirisha la usajili likifungwa leo saa 6 usiku klabu  mbalimbali zikiwa zimekamilisha harakati zao za usajili tayari kwa kuanza msimu mpya wa ligi hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Je, Simba itarudi kuwa Simba halisi msimu huu?

Ukiwa shabiki wa Simba, hakuna kitu kilichoumiza kama kumuona nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ akikabidhiwa taji la 24 la ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita. Uwe mbele ya televisheni ya Azam TV, au kama ulikuwa uwanjani, ilikuwa picha inayoumiza sana.

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 14 ZA LIGI KUU‏ KWA AJILI YA MSIMU WA 2014/2015

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim,akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kukabidhi vifaa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom.  kushoto ni Meneja biashara wa TFF Peter Simon na kulia ni Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Silas Mwakibinga.Timu 14 zimekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh 430 Milioni. Kutoka kushoto:… ...

 

10 years ago

Michuzi

Wateja wa Airtel Money kutuma pesa bure kwa msimu huu wa siku kuu

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa mara nyingi tena imewazawadia wateja wake wakatia wa msimu huu wa sikukuu na  OFA maalum itakayowawezesha  kutuma pesa bila kikomo BURE kupitia Huduma ya Airtel Money.
Akiongea wakati wa uzinduzi wa promosheni hiyo Mkurugenzi wa Mawasiliano Bi Beatrice Singano Mallya alisema” Tumeona ni vyema kuwazawadia wateja wetu nchin nzima na kuwawezesha  kutuma pesa BURE wakati wa msimu huu wa sikukuu kwani tunatambua wateja wetu na watanzania wanafanya miamala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani