TRL ina mengi ya kujifunza, haipaswi kurudia kosa - (2)
Wiki iliyopita, tuliangalia hali ilivyokuwa ndani ya lililokuwa Shirika la Reli Tanzania (TRC) na hali halisi iliyoifanya Serikali kuamua kubinafsisha na ikaundwa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Kuna mengi ya kujifunza uchaguzi Zambia
10 years ago
YkileoUSALAMA MITANDAO: TANZANIA INA CHA KUJIFUNZA KUTOKA KENYA.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzTnDLZihIBwrhUEtsv5eT9CGxflxfRFh40ePjnDsFEBS5rd1ZcfBUpObXrS1k6UpdhRnGrC7CWT8G3a9FjZbRsL/martha.jpg?width=650)
MARTHA MWAIPAJA: TUTAIMBA, KUSIFU NA KUJIFUNZA MENGI LEO!
11 years ago
Dewji Blog10 May
Kinana : Viongozi wana mengi ya kujifunza kutoka Kwa Wananchi
![6](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/63.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Igunga kwenye viwanja vya Sokoine na kutaka Viongozi wajifunze kutoka kwa wananchi ili waendane na kasi ya mabadiliko.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Igunga waliojitokeza kwa wingi kwenye viwanja vya mikutano vya Sokoine na kuwaambia wanasiasa waache kuwababaisha watu na suala la muundo wa serikali badala yake waje na hoja zinazogusa maisha ya kila siku mfano changamoto la mbegu za Pamba...
10 years ago
Mwananchi04 Oct
Warioba: Katiba bado ina maswali mengi
11 years ago
Habarileo09 Jan
Muhongo: Tanzania ina mengi ya kuiga kwa Algeria
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Tanzania ina mambo mengi ya kuiga kutoka nchi ya Algeria, hasa eneo la uchimbaji wa madini mafuta na gesi huku akiwataka wananchi kukubali mabadiliko ili kufikia eneo walipofikia wenzetu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_j80aL6SEzg/Xqp0e6yviqI/AAAAAAALonE/hqREiCXKPwgPQZG7DmarR5PKycUH7xKPACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_2007-2048x1365.jpg)
SIMIYU INA FURSA YA KUZALISHA MAZAO MENGI YA BIASHARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_j80aL6SEzg/Xqp0e6yviqI/AAAAAAALonE/hqREiCXKPwgPQZG7DmarR5PKycUH7xKPACLcBGAsYHQ/s640/IMG_2007-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-2619-1-rotated.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akinawa mikono kwa maji na dawa alipowasili katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu kuanza ziara ya kukagua shughuli zinazofanywa na wizara ya kilimo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG_2060.jpg)
Katibu Mkuu wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya ( aliyevaa tai) akitoa maelekezo kwa Maj.E. Buberwa msimamizi wa...
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …
Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]
The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Elimu ya uraia na upigaji kura haipaswi kuwa na utashi wa kisiasa wala upendeleo
Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa shirika la kimataifa la sayansi, elimu na utamaduni (UNESCO) Bwana Al Amin Yusuph akielezea madhumuni ya warsha ya wadau wa mradi wa uchaguzi 2015 unaolenga kuboresha demokrasia amani nchini katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu ujao, unaofadhiliwa na Shirika La Kimataifa la Maendeleo (UNDP) ulioenda sambamba na mkutano wa tano wa Mtandao wa vyombo vya habari vya Kijamii nchini (COMNETA).
Na Mwandishi wetu
Uchaguzi huru na wa haki...