USALAMA MITANDAO: TANZANIA INA CHA KUJIFUNZA KUTOKA KENYA.
Nimekamilisha vikao vya usalama mitandao vilivyofanyikia jijini Nairobi kufuatia mualiko maalum nilioupata. Katika vikao hivyo niliwasilisha mada mbili (ya kwanza ikiwa ni namna ya kukabiliana na uhalifu mtandao na mada ya pili ikiwa ni namna ya uchunguzi wa makosa ya digitali kitaalam) katika mada hizo mbili ambazo zilipokelewa vizuri na kupelekea mijadala ya kipekee kuna mengi nikajifunza kutoka kwa washiriki. Aidha, nilishiriki mijadala duara iliyojikita katika changamototo mbali mbali...
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziISACA TANZANIA YATOA SEMINA KUHUSU USALAMA WA MITANDAO
Aidha Dk. Jabir alisema kuwa semina hiyo inawakutanisha wataalamu wa mifumo ya kompyuta kutoka ndani na nje ya nchi watakaojifunza na kuongeza utaalamu wa kulinda mifumo ya...
10 years ago
GPLTANZANIA YAWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUU WA NNE WA MASWALA YA USALAMA MITANDAO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ODfOb1s4Ch0/VEdGJIPO4zI/AAAAAAAGsis/o5VosJhsye0/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
TANZANIA YAWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUU WA NNE WA MASWALA YA USALAMA MITANDAO DUNIANI
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-9icFVF0j92s/U5jGk4Bpm7I/AAAAAAAAArc/klblKyV_6hY/s72-c/2234.jpg)
TANZANIA YAASWA KUJIFUNZA KUTOKA KWA WACHINA KUKATAZA MATUMIZI YA WINDOW 8
![](http://3.bp.blogspot.com/-9icFVF0j92s/U5jGk4Bpm7I/AAAAAAAAArc/klblKyV_6hY/s1600/2234.jpg)
Uchina baada ya hali hiyo ikaamua kukataza matumizi ya windows 8 kwenye kompyuta zote za serikali na taasisi zote zinazopewa fedha na serikali ya nchi hiyo na hili linaweza kusomeka kwa kirefu na viambatanishi vingine...
10 years ago
Mwananchi30 Apr
TRL ina mengi ya kujifunza, haipaswi kurudia kosa - (2)
10 years ago
VijimamboWilaya ya Mbeya Mjini yaongoza kwa matokeo bora ya kujifunza. Kenya imezishinda Tanzania na Uganda
Matokeo haya yametolewa na Uwezo iliyopo Twaweza, kwenye ripoti yao Je, Watoto wetu wanajifunza? Uwezo wa kusoma na kuhesabu Afrika Mashariki. Takwimu...
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Kitisho cha Usalama: Polisi auawa, Kenya
10 years ago
VijimamboWANAJESHI KUTOKA CHUO CHA KIJESHI CHA KENYA WATEMBELEA TBL
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
maswala ya usalama mitandao