Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA YAASWA KUJIFUNZA KUTOKA KWA WACHINA KUKATAZA MATUMIZI YA WINDOW 8

Katika wiki chache zilizopita kulikuwa na msuguano kati ya serikali ya Marekani na China , Serikali ya Marekani inailaumu china kwa kufanya udukuzi kwenye kampuni zake na biashara nyingine huku china nayo ikiilaumu marekani taarifa juu ya hili inaweza kusomeka "HAPA" .


Uchina baada ya hali hiyo ikaamua kukataza matumizi ya windows 8 kwenye kompyuta zote za serikali na taasisi zote zinazopewa fedha na serikali ya nchi hiyo na hili linaweza kusomeka kwa kirefu na viambatanishi vingine...





Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAASWA KUJIFUNZA NA KUCHUKUA HATUA KUFUATIA CHINA KUKATAZA MATUMIZI YA WINDOWS 8

Katika wiki chache zilizopita kulikuwa na msuguano kati ya serikali ya Marekani na China. Serikali ya Marekani inailaumu China kwa kufanya udukuzi kwenye kampuni zake na biashara nyingine, wakati China nayo ikiilaumu Marekani taarifa juu ya hili (inaweza kusomeka "HAPA" ). Uchina baada ya hali hiyo ikaamua kukataza matumizi ya windows 8 kwenye kompyuta zote za serikali na taasisi zote zinazopewa fedha na serikali ya nchi hiyo na hili linaweza kusomeka kwa kirefu na viambatanishi...

 

11 years ago

Ykileo

SERIKALI NCHINI UCHINA IMEPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA WINDOW 8 KWA KOMPUTA ZOTE ZA SERIKALI.

Nchini uchina kumezuka gumzo baada ya serikali kupiga marufuku matumizi ya Window 8 katika computa zote za serikali nchini humo. Taarifa iliyo chapishwa na “CHINA DAILY” ilibainisha uamuzi huo wa serikali uliowekwa kwenye tovuti ya serikali ya nchini humu ambapo ilisisitiza zoezi hilo hali husu komputa za watu binafsi isipokuwa zile zinazotumiwa na serikali.


Tangazo hilo la serikali linalosemeka “HAPA” limebainisha uamuzi huo wa serikali umekuja baada ya kufungiwa huduma za kiusalama kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wachina na harakati za kujifunza Kiswahili

Hivi karibun nchini Kenya Redio China Kimataifa ilianzisha darasa la kufundisha Kiswahili kwa Wachina waishio Kenya. Lengo kubwa la kufanya hivyo ni kutoa mafunzo ya lugha hiyo ili kuwawezesha Wachina hao kukifahamu Kiswahili na kuweza kuwasiliana na wenyeji katika shughuli zao za kila siku. Darasa hilo maalumu la Kiswahili linahusisha watu wa kada anuwai wakiwamo wafanyabiashara, wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa, Ubalozi wa China na waandishi wa habari.

 

10 years ago

Ykileo

USALAMA MITANDAO: TANZANIA INA CHA KUJIFUNZA KUTOKA KENYA.

Nimekamilisha vikao vya usalama mitandao vilivyofanyikia jijini Nairobi kufuatia mualiko maalum nilioupata. Katika vikao hivyo niliwasilisha mada mbili (ya kwanza ikiwa ni namna ya kukabiliana na uhalifu mtandao na mada ya pili ikiwa ni namna ya uchunguzi wa makosa ya digitali kitaalam) katika mada hizo mbili ambazo zilipokelewa vizuri na kupelekea mijadala ya kipekee kuna mengi  nikajifunza kutoka kwa washiriki. Aidha, nilishiriki mijadala duara iliyojikita katika changamototo mbali mbali...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana : Viongozi wana mengi ya kujifunza kutoka Kwa Wananchi

6

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Igunga kwenye viwanja vya Sokoine na kutaka Viongozi wajifunze kutoka kwa wananchi ili waendane na kasi ya mabadiliko.

5

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Igunga waliojitokeza kwa wingi kwenye viwanja vya mikutano vya Sokoine na kuwaambia wanasiasa waache kuwababaisha watu na suala la muundo wa serikali badala yake waje na hoja zinazogusa maisha ya kila siku mfano changamoto la mbegu za Pamba...

 

9 years ago

Michuzi

JAMII YAASWA KUTOKUTEGEMEA MISAADA KUTOKA NJE

Mwenyekiti wa Rotary Dar Marathon na mtoa maada, Sharmilla Bhatt  katika mkutano unaofanyika kila Alhamisi ya kila mwezi  (THURDAY TALK) unaoandaliwa na kampuni ya Solution Blocks jijini Dar es Salaam jana.
JAMII ya watanzania wanatakiwa kutokutegemea misaada kutoka nje ya nchi  isipo kuwa tunatakiwa kujitolea  ili kusaidia jamii isiyojiweza  kwa jia ya harambee.
Hayo yamesemwa na  Mwenyekiti wa Rotary Dar Marathon na mtoa maada, Sharmilla Bhatt katika mkutano unaofanyika kila Alhamisi ya kila...

 

10 years ago

Michuzi

NCHI ZAIDI ZADHAMIRIA KUJIFUNZA KWA TANZANIA KUHUSU MATOKEO MAKUBWA SASHA (BRN)

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Zanzibar,Utawala Bora, Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini akizungumza wakati akifunga mkutano wa Majadiliano ya Viongozi wa Jumuiya ya Madola ya Utawala Bora wa Afrika  uliofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.




Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Rais, Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia BRN, Bw. Omari Issa akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano wa jumuiya ya Madola ya Utawala Bora Afrika katika Mkutano uliofanyika leo...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuliyoshindwa kujifunza kutoka Azimio la Arusha

Mengi yamezungumzwa na yatazungumzwa tena wakati tunaadhimisha miaka 47 ya Azimio la Arusha. Kwa leo ningependa nipitie mambo mawili matatu ninayohisi kwamba Watanzania hawakujifunza, wala kuambulia kitu kutokana na hayo.

 

10 years ago

Vijimambo

Wilaya ya Mbeya Mjini yaongoza kwa matokeo bora ya kujifunza. Kenya imezishinda Tanzania na Uganda

13 Mei 2015, Dar es Salaam: Watoto wa Afrika Mashariki hawajifunzi stadi za msingi za kusoma na kuhesabu. Ni watoto wawili tu kati ya kumi (20%) wa darasa la tatu wanaoweza kusoma na kufanya hesabu za darasa la pili. Wanapohtimu elimu ya msingi, mtoto mmoja kati ya wanne Afrika Mashariki (24%) anakuwa bado hajamudu stadi za kusoma na kuhesabu.

Matokeo haya yametolewa na Uwezo iliyopo Twaweza, kwenye ripoti yao Je, Watoto wetu wanajifunza? Uwezo wa kusoma na kuhesabu Afrika Mashariki. Takwimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani