TANZANIA YAASWA KUJIFUNZA KUTOKA KWA WACHINA KUKATAZA MATUMIZI YA WINDOW 8
![](http://3.bp.blogspot.com/-9icFVF0j92s/U5jGk4Bpm7I/AAAAAAAAArc/klblKyV_6hY/s72-c/2234.jpg)
Katika wiki chache zilizopita kulikuwa na msuguano kati ya serikali ya Marekani na China , Serikali ya Marekani inailaumu china kwa kufanya udukuzi kwenye kampuni zake na biashara nyingine huku china nayo ikiilaumu marekani taarifa juu ya hili inaweza kusomeka "HAPA" .
Uchina baada ya hali hiyo ikaamua kukataza matumizi ya windows 8 kwenye kompyuta zote za serikali na taasisi zote zinazopewa fedha na serikali ya nchi hiyo na hili linaweza kusomeka kwa kirefu na viambatanishi vingine...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9icFVF0j92s/U5jGk4Bpm7I/AAAAAAAAArc/klblKyV_6hY/s72-c/2234.jpg)
TANZANIA YAASWA KUJIFUNZA NA KUCHUKUA HATUA KUFUATIA CHINA KUKATAZA MATUMIZI YA WINDOWS 8
![](http://3.bp.blogspot.com/-9icFVF0j92s/U5jGk4Bpm7I/AAAAAAAAArc/klblKyV_6hY/s1600/2234.jpg)
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s72-c/12345.jpg)
SERIKALI NCHINI UCHINA IMEPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA WINDOW 8 KWA KOMPUTA ZOTE ZA SERIKALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s1600/12345.jpg)
Tangazo hilo la serikali linalosemeka “HAPA” limebainisha uamuzi huo wa serikali umekuja baada ya kufungiwa huduma za kiusalama kwa...
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Wachina na harakati za kujifunza Kiswahili
10 years ago
YkileoUSALAMA MITANDAO: TANZANIA INA CHA KUJIFUNZA KUTOKA KENYA.
11 years ago
Dewji Blog10 May
Kinana : Viongozi wana mengi ya kujifunza kutoka Kwa Wananchi
![6](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/63.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Igunga kwenye viwanja vya Sokoine na kutaka Viongozi wajifunze kutoka kwa wananchi ili waendane na kasi ya mabadiliko.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Igunga waliojitokeza kwa wingi kwenye viwanja vya mikutano vya Sokoine na kuwaambia wanasiasa waache kuwababaisha watu na suala la muundo wa serikali badala yake waje na hoja zinazogusa maisha ya kila siku mfano changamoto la mbegu za Pamba...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-v3v1F4yP9MU/Vg5Bi6XrgdI/AAAAAAAH8TM/UEsKIHZn1EA/s72-c/IMG_9969.jpg)
JAMII YAASWA KUTOKUTEGEMEA MISAADA KUTOKA NJE
![](http://3.bp.blogspot.com/-v3v1F4yP9MU/Vg5Bi6XrgdI/AAAAAAAH8TM/UEsKIHZn1EA/s640/IMG_9969.jpg)
JAMII ya watanzania wanatakiwa kutokutegemea misaada kutoka nje ya nchi isipo kuwa tunatakiwa kujitolea ili kusaidia jamii isiyojiweza kwa jia ya harambee.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Rotary Dar Marathon na mtoa maada, Sharmilla Bhatt katika mkutano unaofanyika kila Alhamisi ya kila...
10 years ago
MichuziNCHI ZAIDI ZADHAMIRIA KUJIFUNZA KWA TANZANIA KUHUSU MATOKEO MAKUBWA SASHA (BRN)
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Tuliyoshindwa kujifunza kutoka Azimio la Arusha
10 years ago
VijimamboWilaya ya Mbeya Mjini yaongoza kwa matokeo bora ya kujifunza. Kenya imezishinda Tanzania na Uganda
Matokeo haya yametolewa na Uwezo iliyopo Twaweza, kwenye ripoti yao Je, Watoto wetu wanajifunza? Uwezo wa kusoma na kuhesabu Afrika Mashariki. Takwimu...