Kitisho cha Usalama: Polisi auawa, Kenya
Askari mmoja ameuawa na mwingine akiwa mahututi baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi kaskazini mwa Kenya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV23 Dec
Polisi auawa Kenya.
Askari mmoja ameuawa na mwingine akiwa mahututi baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi kaskazini mwa Kenya.
Askari hao wa Kenya wanadaiwa kushambuliwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa kundi la Al Shabaab.
Askari hao wa jeshi la polisi kikosi cha ziada walikutwa na kisa hicho mjini Wajir kaskazini mwa Kenya usiku wa kuamkia leo.
BBC
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Uingereza yataka kukabili kitisho cha IS
Uingereza imetaka kuruhusiwa na bunge kushambulia maeneo ya wapiganaji wa Islamic State ili kudhibiti mashambulio yao
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Polisi wa usalama barabarani aachwa mdomo wazi baada ya mwizi kumuibia fedha za rushwa Kenya
Kwa mujibu wa habari zilizochapishwa kwenye mtandao wa gazeti la Nation, mwizi huyo alizuka gahfla kutoka msituni, akanyakua kifurushi kilichokuwa na pesa kando mwa barabara na kisha kuchanja mbuga kwa kasi!
10 years ago
YkileoUSALAMA MITANDAO: TANZANIA INA CHA KUJIFUNZA KUTOKA KENYA.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gXVQTvMNlMQ/VIKncNIsafI/AAAAAAAG1hE/bEXmt9xxmlg/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
JESHI LA POLISI-KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI NA VODACOM WAENDESHA ZOEZI LA UTOAJI ELIMU NA UPIMAJI WA VILEVI MWILINI KWA MADEREVA
![](http://4.bp.blogspot.com/-gXVQTvMNlMQ/VIKncNIsafI/AAAAAAAG1hE/bEXmt9xxmlg/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7oxPj1gJLkvXz9t*CHTVLSaOTOuuNcGeKMbQ-sVahshw*BhlDcW-umtXqE1QRZOjLz5KlUkElxcopalVJyTXeG*UQ8nWWNq/001.POLISI.jpg?width=650)
JESHI LA POLISI-KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI NA VODACOM WAENDESHA ZOEZI LA UTOAJI ELIMU NA UPIMAJI WA VILEVI MWILINI KWA MADEREVA
Afisa wa Jeshi la Polisi – Kikosi cha Usalama Barabarani akimpima kiwango cha pombe mwilini dereva wa basi la kwenda mikoani, Steven Mwakibolo kwa kutumia kifaa maalum wakati wa upimaji madereva ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa kampeni ya Usalama Barabarani inayodhaminiwa na Vodacom Tanzania. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa kampuni hiyo Rosalynn Mworia, akifuatilia kwa karibu zoezi hilo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hLoM0FckFO4/Vnp5g7c2cmI/AAAAAAAIOJ0/y0EiJR4LeQQ/s72-c/001.MOROGORO.jpg)
JESHI LA POLISI KITENGO CHA USALAMA BARABARANI PAMOJA NA VODACOM TANZANIA WAENDELEA KUTOA ELIMU KWA MADEREVA NA ABIRIA KUPAZA SAUTI
![](http://3.bp.blogspot.com/-hLoM0FckFO4/Vnp5g7c2cmI/AAAAAAAIOJ0/y0EiJR4LeQQ/s640/001.MOROGORO.jpg)
10 years ago
GPLKAMANDA WA POLISI KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI NCHINI ATEMBELEA GLOBAL, AHOJIWA NA GLOBAL TV ONLINE
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed R. Mpinga akiwa katika studio za Global TV Online. ...Kamanda Mpinga akifafanua jambo, mahojiano haya yatasikika kwenye Global Tv on Line na kuchapishwa na Gazeti la Uwazi Jumanne.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania