Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi auawa Kenya.

Askari mmoja ameuawa na mwingine akiwa mahututi baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi kaskazini mwa Kenya.

Askari hao wa Kenya wanadaiwa kushambuliwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa kundi la Al Shabaab.

Askari hao wa jeshi la polisi kikosi cha ziada walikutwa na kisa hicho mjini Wajir kaskazini mwa Kenya usiku wa kuamkia leo.

BBC

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kitisho cha Usalama: Polisi auawa, Kenya

Askari mmoja ameuawa na mwingine akiwa mahututi baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi kaskazini mwa Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyewashambulia polisi Denmark auawa

Polisi kwenye mjini Copenhagen wanaamini mwanamume waliyemuua kwa kumpiga risasi alihusika na mashambulizi ya risasi mjini humo.

 

9 years ago

GPL

MPALESTINA ALIYEWASHAMBULIA POLISI AUAWA

Mwanaume Mpalestina (mwenye jaketi la njano) mjini Jerusalem akimshambulia polisi wa Israel kwa kisu. ...Akiendelea kumchoma kwa kisu polisi. Polisi wakimuokoa mwenzao katikati baada ya kuchomwa kisu na mwanaume huyo.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbunge auawa nchini Kenya

Mbunge mmoja ameuawa kwa kupigwa risisi kwenye mji mkuu wa kenya Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab 1 raia wa UK auawa Kenya

Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya ni raia wa UK

 

11 years ago

BBCSwahili

Shabiki wa Brazil auawa Kenya

Mashabiki wawili wa kandanda waliuawa Magharibi mwa Kenya kufuatia matokeo ya mechi ya Brazil na Colombia

 

11 years ago

BBCSwahili

''Shabiki'' wa Liverpool auawa Kenya

Shabiki wa klabu ya soka ya Uingereza ya Liverpool amedungwa kisu na mwenzake wa Arsenal na kufariki dunia baada ya mechi ya Jumamosi

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi auawa nchini Misri

Brigedia Jenerali wa jeshi la polisi nchini Misri ameuawa katika milipuko miwili tofauti iliyotokea kwa wakati mmoja karibu na chuo kikuu cha Cairo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi auawa katika maandamano Bahrain

Wizara ya maswala ya ndani nchini Bahrain imesema kuwa polisi mmoja aliyejeruhiwa katika mlipuko siku ya ijumaa ameaga dunia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani