Polisi auawa Kenya.
Askari mmoja ameuawa na mwingine akiwa mahututi baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi kaskazini mwa Kenya.
Askari hao wa Kenya wanadaiwa kushambuliwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa kundi la Al Shabaab.
Askari hao wa jeshi la polisi kikosi cha ziada walikutwa na kisa hicho mjini Wajir kaskazini mwa Kenya usiku wa kuamkia leo.
BBC
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Kitisho cha Usalama: Polisi auawa, Kenya
Askari mmoja ameuawa na mwingine akiwa mahututi baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi kaskazini mwa Kenya.
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Aliyewashambulia polisi Denmark auawa
Polisi kwenye mjini Copenhagen wanaamini mwanamume waliyemuua kwa kumpiga risasi alihusika na mashambulizi ya risasi mjini humo.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/129.jpg)
MPALESTINA ALIYEWASHAMBULIA POLISI AUAWA
Mwanaume Mpalestina (mwenye jaketi la njano) mjini Jerusalem akimshambulia polisi wa Israel kwa kisu. ...Akiendelea kumchoma kwa kisu polisi. Polisi wakimuokoa mwenzao katikati baada ya kuchomwa kisu na mwanaume huyo.…
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Al Shabaab 1 raia wa UK auawa Kenya
Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya ni raia wa UK
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Shabiki wa Brazil auawa Kenya
Mashabiki wawili wa kandanda waliuawa Magharibi mwa Kenya kufuatia matokeo ya mechi ya Brazil na Colombia
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
''Shabiki'' wa Liverpool auawa Kenya
Shabiki wa klabu ya soka ya Uingereza ya Liverpool amedungwa kisu na mwenzake wa Arsenal na kufariki dunia baada ya mechi ya Jumamosi
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Mkuu wa polisi auawa nchini Misri
Brigedia Jenerali wa jeshi la polisi nchini Misri ameuawa katika milipuko miwili tofauti iliyotokea kwa wakati mmoja karibu na chuo kikuu cha Cairo.
11 years ago
BBCSwahili15 Feb
Polisi auawa katika maandamano Bahrain
Wizara ya maswala ya ndani nchini Bahrain imesema kuwa polisi mmoja aliyejeruhiwa katika mlipuko siku ya ijumaa ameaga dunia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania