Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPALESTINA ALIYEWASHAMBULIA POLISI AUAWA

Mwanaume Mpalestina (mwenye jaketi la njano) mjini Jerusalem akimshambulia polisi wa Israel kwa kisu. ...Akiendelea kumchoma kwa kisu polisi. Polisi wakimuokoa mwenzao katikati baada ya kuchomwa kisu na mwanaume huyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Israel:Mpalestina aliyewashambulia polisi auawa

Polisi wa Israeli wanasema kuwa wamemuua kwa kumpiga risasi mwanamume Mpalestina mjini Jerusalem baada ya kujaribu kuwashambulia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyewashambulia polisi Denmark auawa

Polisi kwenye mjini Copenhagen wanaamini mwanamume waliyemuua kwa kumpiga risasi alihusika na mashambulizi ya risasi mjini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke mpalestina auawa na Waisraeli

Polisi wa Israili wanasema kuwa Mpalestina amepigwa risasi na kuuawa,kwa kumdunga kisu askari wa Israeli

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mpalestina auawa katika maandamano

Waziri wa Palestina amefariki kufutia mgogoro na wanajeshi wa Israel katika maandamano yaliyofanywa katika Ukingo wa Magharibi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mpalestina mja mzito auawa na jeshi la Israeli

Mwanamke mmoja Mpalestina aliyekuwa mjamzito, na mwanawe wameuawa katika shambulio lililofanywa na majeshi ya Israel huko Gaza

 

10 years ago

StarTV

Polisi auawa Kenya.

Askari mmoja ameuawa na mwingine akiwa mahututi baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi kaskazini mwa Kenya.

Askari hao wa Kenya wanadaiwa kushambuliwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa kundi la Al Shabaab.

Askari hao wa jeshi la polisi kikosi cha ziada walikutwa na kisa hicho mjini Wajir kaskazini mwa Kenya usiku wa kuamkia leo.

BBC

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi auawa katika maandamano Bahrain

Wizara ya maswala ya ndani nchini Bahrain imesema kuwa polisi mmoja aliyejeruhiwa katika mlipuko siku ya ijumaa ameaga dunia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi auawa nchini Misri

Brigedia Jenerali wa jeshi la polisi nchini Misri ameuawa katika milipuko miwili tofauti iliyotokea kwa wakati mmoja karibu na chuo kikuu cha Cairo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi auawa nchini Libya

Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ameuawa na watu wasiojulikana wakati akitoka kwenye mkutano wa usalama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani