Mpalestina mja mzito auawa na jeshi la Israeli
Mwanamke mmoja Mpalestina aliyekuwa mjamzito, na mwanawe wameuawa katika shambulio lililofanywa na majeshi ya Israel huko Gaza
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Gesi kutoka Israeli yaua mtoto mpalestina
Wizara ya afya ya Palestina imethibitisha kuwa mtoto wa miezi 8 amefariki baada ya kupumua gesi kali iliyotupwa na majeshi ya Israeli huko Bethlehem.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/129.jpg)
MPALESTINA ALIYEWASHAMBULIA POLISI AUAWA
Mwanaume Mpalestina (mwenye jaketi la njano) mjini Jerusalem akimshambulia polisi wa Israel kwa kisu. ...Akiendelea kumchoma kwa kisu polisi. Polisi wakimuokoa mwenzao katikati baada ya kuchomwa kisu na mwanaume huyo.…
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Mwanamke mpalestina auawa na Waisraeli
Polisi wa Israili wanasema kuwa Mpalestina amepigwa risasi na kuuawa,kwa kumdunga kisu askari wa Israeli
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Waziri mpalestina auawa katika maandamano
Waziri wa Palestina amefariki kufutia mgogoro na wanajeshi wa Israel katika maandamano yaliyofanywa katika Ukingo wa Magharibi.
9 years ago
BBCSwahili17 Oct
Israel:Mpalestina aliyewashambulia polisi auawa
Polisi wa Israeli wanasema kuwa wamemuua kwa kumpiga risasi mwanamume Mpalestina mjini Jerusalem baada ya kujaribu kuwashambulia.
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Auawa kwa kujaribu kumdunga polisi kisu Israeli
Mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa kwa kujaribu kumdunga kisu afisa mmoja wa usalama kutoka Israeli
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/CMcp8qCUwAA87Qk.jpg)
MKUU WA JESHI MSTAAFU WA BURUNDI AUAWA
Chief Colonel Jean Bikomagu, enzi za uhai wake. Mkuu wa Jeshi Mstaafu wa Burundi aliyongoza mapigano ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, Chief Colonel Jean Bikomagu ameuawa kwa kushambuliwa na risasi nyumbani kwake leo na watu wasiojulikana. Mmoja wa wanafamilia alikiambia chombo kimoja cha habari mjini Bujumbura kuwa, Jean Bikomagu alivamiwa na watu wasiojulikana mapema leo nyumbani kwake Wilaya ya Kinindo, Kusini mwa Mji...
10 years ago
BBCSwahili12 Jul
Mwanaharakati Mpalestina aachiwa huru
Mwanaharakati wa kipalestina Khader Adnan ameachiwa kutoka gerezani na utawala wa Israel
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Dereva Mpalestina awagonga Waisraeli
Polisi nchini Israeli wanasema kuwa dereva ambaye anaaminiwa kuwa Mpalestina amevurumisha gari katikati ya kundi la watu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania