Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke mpalestina auawa na Waisraeli

Polisi wa Israili wanasema kuwa Mpalestina amepigwa risasi na kuuawa,kwa kumdunga kisu askari wa Israeli

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Dereva Mpalestina awagonga Waisraeli

Polisi nchini Israeli wanasema kuwa dereva ambaye anaaminiwa kuwa Mpalestina amevurumisha gari katikati ya kundi la watu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waisraeli waliochoma moto Mpalestina kuhukumiwa

Mahakama moja nchini Israel imewapata waisraeli wawili na hatia ya kumuua kijana wa kipalestina mwaka wa 2014.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kijana aliyewadunga kisu Waisraeli auawa

Polisi wa Israeli wanasema kuwa kijana Mpalestina amewadunga kisu Waisraeli wawili mjini Jerusalem.

 

9 years ago

GPL

MPALESTINA ALIYEWASHAMBULIA POLISI AUAWA

Mwanaume Mpalestina (mwenye jaketi la njano) mjini Jerusalem akimshambulia polisi wa Israel kwa kisu. ...Akiendelea kumchoma kwa kisu polisi. Polisi wakimuokoa mwenzao katikati baada ya kuchomwa kisu na mwanaume huyo.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Israel:Mpalestina aliyewashambulia polisi auawa

Polisi wa Israeli wanasema kuwa wamemuua kwa kumpiga risasi mwanamume Mpalestina mjini Jerusalem baada ya kujaribu kuwashambulia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mpalestina auawa katika maandamano

Waziri wa Palestina amefariki kufutia mgogoro na wanajeshi wa Israel katika maandamano yaliyofanywa katika Ukingo wa Magharibi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mpalestina mja mzito auawa na jeshi la Israeli

Mwanamke mmoja Mpalestina aliyekuwa mjamzito, na mwanawe wameuawa katika shambulio lililofanywa na majeshi ya Israel huko Gaza

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke auawa kinyama

MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Agnes Peter amefariki dunia baada ya kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na watu wasiojulikana na kisha kuondoka na titi lake la kushoto. Kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Mwanamke auawa, achunwa ngozi Mbeya

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakaeli Masaki

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakaeli Masaki

Na Pendo Fundisha, Mbozi

WATU wasiofahamika wamemuua mwanamke mkazi wa Kijiji cha Idiwili, Kata ya Iyula wilayani Mbozi na kumchuna ngozi ya shingo.

Pamoja na kumchuna ngozi marehemu, wauaji hao pia walinyofoa macho, ulimi na koromeo la marehemu.

Baada ya mauaji hayo ya kinyama wauaji hao waliutelekeza porini mwili wa marehemu huyo, Angelina Kameza (26).

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakaeli Masaki alisema:

“Tumepokea taarifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani