Mwanamke auawa, achunwa ngozi Mbeya
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakaeli Masaki
Na Pendo Fundisha, Mbozi
WATU wasiofahamika wamemuua mwanamke mkazi wa Kijiji cha Idiwili, Kata ya Iyula wilayani Mbozi na kumchuna ngozi ya shingo.
Pamoja na kumchuna ngozi marehemu, wauaji hao pia walinyofoa macho, ulimi na koromeo la marehemu.
Baada ya mauaji hayo ya kinyama wauaji hao waliutelekeza porini mwili wa marehemu huyo, Angelina Kameza (26).
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakaeli Masaki alisema:
“Tumepokea taarifa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Mwanamke anaswa na ngozi za chui
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Mwajuma Hamisi, mkazi wa Yombo Vituka kwa kosa la kukutwa na ngozi mbili za chui kinyume cha sheria, zenye thamani...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Mwanamke auawa kinyama
MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Agnes Peter amefariki dunia baada ya kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na watu wasiojulikana na kisha kuondoka na titi lake la kushoto. Kwa...
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Mwanamke mpalestina auawa na Waisraeli
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Mwanamke auawa kwa imani za kishirikina
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W1mCpgZkV1Co0LBa8Kz6wQ0GW6q2ifgzw9mZVmvx8NOO1EV0nBhEwYKMS9tzGuxhGnfRs3oNoyycBUDT*qZF2Wl/MWANAMKE.jpg)
MWANAMKE ATEKWA, AUAWA, MAITI YALIWA NA MBWA
10 years ago
Vijimambo18 Oct
Mwanamke auawa kwa kupigwa risasi na polisi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/singida-oct18-2014.jpg)
Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Iglansoni, ameuawa kwa kupigwa risasi kichwani kwa bahati mbaya na askari polisi waliokuwa katika jitihada za kumkamata mtuhumiwa wa ujambazi.
Aliyeuawa ni Joyce Maragabu (65), ambaye anadaiwa kupigwa risasi na askari hao waliokuwa wakijihami na kundi la watu waliotaka kuwavamia ili wasimkamate mhalifu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Geofrey Kamwela, alisema askari hao walikuwa wanataka kumkamata, Nkida...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
AFYA YA NGOZI: Saratani ya ngozi aina ya Melanoma ni hatari kiasi gani?
11 years ago
Mwananchi01 Aug
AFYA YA NGOZI: Maradhi ya ngozi kwa njia ya ngono
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-HHw7P_B8MaI/UsqT9p7-g8I/AAAAAAAFE-E/yM_qMszmEJY/s1600/1.jpg?width=640)
MTOTO AUAWA NA BABA YAKE KWA KUPIGWA NGUMI MKOANI MBEYA