Mwanamke anaswa na ngozi za chui
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Mwajuma Hamisi, mkazi wa Yombo Vituka kwa kosa la kukutwa na ngozi mbili za chui kinyume cha sheria, zenye thamani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 Aug
Mtendaji wa Kijiji anaswa na ngozi kumi za chui
KIKOSI Maalumu cha Kupambana na Ujangili (KDU) kimewanasa watu wawili wanaotuhumiwa kuwa ni majangili wakiwa na ngozi kumi za chui, akiwemo Mtendaji wa Kijiji cha Kikwazo Kata ya Kimange wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani, Mussa Salim (41).
9 years ago
Habarileo29 Dec
`Sangoma’ anaswa na kwato za pundamilia, ngozi ya simba
MGANGA wa jadi na mkazi wa Sumbawanga mjini, mkoani Rukwa, Vitus Chomba (42), anashikiliwa na Polisi, wilayani Mlele, mkoani Katavi kwa tuhuma za kukutwa na nyara za Serikali bila kibali halali.
9 years ago
Global Publishers29 Dec
`Sangoma’ anaswa na maini ya swala, ngozi ya simba
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahiri Kidavashari
MGANGA wa jadi na mkazi wa Sumbawanga mjini, mkoani Rukwa, Vitus Chomba (42), anashikiliwa na Polisi, wilayani Mlele, mkoani Katavi kwa tuhuma za kukutwa na nyara za Serikali bila kibali halali.
Ilidaiwa kuwa Choma amekuwa akitumia nyara hizo kupigia ramli chonganishi kwa jamii na kutibu wateja wake.
Nyara alizokamatwa nazo ni pamoja na nyama ya sungura pori, kwato za pundamilia, ngozi ya simba, maini ya swala na ngozi ya paka pori. Hata...
10 years ago
Mtanzania18 Aug
Mwanamke auawa, achunwa ngozi Mbeya
![Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakaeli Masaki](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Barakaeli-Masaki.jpg)
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakaeli Masaki
Na Pendo Fundisha, Mbozi
WATU wasiofahamika wamemuua mwanamke mkazi wa Kijiji cha Idiwili, Kata ya Iyula wilayani Mbozi na kumchuna ngozi ya shingo.
Pamoja na kumchuna ngozi marehemu, wauaji hao pia walinyofoa macho, ulimi na koromeo la marehemu.
Baada ya mauaji hayo ya kinyama wauaji hao waliutelekeza porini mwili wa marehemu huyo, Angelina Kameza (26).
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakaeli Masaki alisema:
“Tumepokea taarifa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-BSXRiis2KHhBi5Kaug68f0VI457xnfgTtlyfDZN5G0YtYcMuBoE6JdyWeZC1NVFhx2ezYgfky2tjwC-itaj*BQ/tapeli.jpg)
MWANAMKE ANASWA KWA SOO LA UTAPELI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO72juYpw*SeYcZLz0Y7DLoWN5e7W5qBC0uU4Wx*VXVV56ioTZmAdqqLN4lg0DeS76iqb-JHFPQ5E5ALOJpjme2z/4mwanamke.jpg?width=650)
MWANAMKE ANASWA AKITAKA KUMTOROSHA BINTI
11 years ago
Habarileo19 Apr
Polisi mwanamke aiba mtoto, anaswa
OFISA wa Jeshi la Polisi nchini, anashikiliwa na jeshi hilo mkoani Mbeya akituhumiwa kuiba mtoto mchanga mwenye umri wa siku saba.
11 years ago
Mwananchi31 Jan
AFYA YA NGOZI: Saratani ya ngozi aina ya Melanoma ni hatari kiasi gani?
11 years ago
Mwananchi01 Aug
AFYA YA NGOZI: Maradhi ya ngozi kwa njia ya ngono