Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


`Sangoma’ anaswa na kwato za pundamilia, ngozi ya simba

MGANGA wa jadi na mkazi wa Sumbawanga mjini, mkoani Rukwa, Vitus Chomba (42), anashikiliwa na Polisi, wilayani Mlele, mkoani Katavi kwa tuhuma za kukutwa na nyara za Serikali bila kibali halali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

`Sangoma’ anaswa na maini ya swala, ngozi ya simba

kamanda-KidavashariKamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahiri Kidavashari

MGANGA wa jadi na mkazi wa Sumbawanga mjini, mkoani Rukwa, Vitus Chomba (42), anashikiliwa na Polisi, wilayani Mlele, mkoani Katavi kwa tuhuma za kukutwa na nyara za Serikali bila kibali halali.

Ilidaiwa kuwa Choma amekuwa akitumia nyara hizo kupigia ramli chonganishi kwa jamii na kutibu wateja wake.

Nyara alizokamatwa nazo ni pamoja na nyama ya sungura pori, kwato za pundamilia, ngozi ya simba, maini ya swala na ngozi ya paka pori. Hata...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke anaswa na ngozi za chui

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Mwajuma Hamisi, mkazi wa Yombo Vituka kwa kosa la kukutwa na ngozi mbili za chui kinyume cha sheria, zenye thamani...

 

11 years ago

Habarileo

Mtendaji wa Kijiji anaswa na ngozi kumi za chui

KIKOSI Maalumu cha Kupambana na Ujangili (KDU) kimewanasa watu wawili wanaotuhumiwa kuwa ni majangili wakiwa na ngozi kumi za chui, akiwemo Mtendaji wa Kijiji cha Kikwazo Kata ya Kimange wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani, Mussa Salim (41).

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA YA NGOZI: Saratani ya ngozi aina ya Melanoma ni hatari kiasi gani?

>Tangu tuanze kuichambua mada hii ya maradhi ya saratani ya ngozi, tumeangazia mambo mbalimbali ikiwamo saratani ni nini, aina za saratani, makundi ya watu yanayoathiriwa zaidi na saratani hii ya ngozi.

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA YA NGOZI: Maradhi ya ngozi kwa njia ya ngono

>Baadhi ya maswali tuliyopokea, mengi yalihusu maradhi ya sunzua ambayo kitaalmu yanajulikana kama warts.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Nyumbu, pundamilia waibeba Serengeti

NYUMBU na pundamilia ni wanyamapori wenye historia ya kipekee wanaopatikana katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (Senapa), inayoongoza kwa kuwa na vivutio bora vya utalii Barani Afrika.

Ukifika Senapa utawaona wakiwa katika makundi makubwa na misafara mirefu wakitafuta riziki ya malisho na kufurahia mazingira hai ya hifadhi hiyo.

Wanyama hawa ndiyo huipendezesha zaidi Senapa na kuitofautisha na hifadhi nyingine nchini. Ni kivutio kikubwa cha utalii katika hifadhi hiyo yenye hadhi ya...

 

10 years ago

GPL

SHABIKI WA NEWCASTLE AUAWA NA PUNDAMILIA

Mwandishi wetu
INASHANGAZA! Shabiki mmoja aliyekuwa amevalia jezi ya timu ya Newcastle, John Kearsley (38) ameuawa baada ya kukanyagwa na pundamilia alipokuwa matembezini katika mbuga za wanyama nchini Tanzania. Shabiki wa Newcastle John Kearsley aliyeuawa na Pundamilia. John, alikuwa na ziara ya siku 12 nchini Tanzania ambayo aliiandaa kwa muda mrefu kwa lengo la kusherehekea kutimiza miaka 10 ya ndoa yake na mkewe, Doreen...

 

10 years ago

GPL

UNAVUKA ZEBRA CROSSING WEE PUNDAMILIA?

Dah nimeokota waraka huu wa siri unaoonekana umeandikwa na jamaa wenye vyombo vya usafiri, na unaelekezwa kwa watembea kwa miguu Dar es Salaam. Nimeona niulete hapa hadharani. Ndugu watembea kwa miguu, sisi wenye vyombo vya moto vya usafiri baada ya kuvumilia kwa muda mrefu tumeona tutoe dukuduku letu kuhusu nyinyi watembea kwa miguu wa Tanzania hususan nyinyi wa Jiji la Dar a.k.a Bongo. Watembea kwa miguu mnasababisha kero kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

SHABIKI WA NEWCASTLE AUAWA NA PUNDAMILIA BONGO

Shabiki wa Newcastle John Kearsley aliyeuawa na Pundamilia.
Mwandishi wetu
INASHANGAZA! Shabiki mmoja aliyekuwa amevalia jezi ya timu ya Newcastle, John Kearsley (38) ameuawa baada ya kukanyagwa na pundamilia alipokuwa matembezini katika mbuga za wanyama nchini Tanzania.

John, alikuwa na ziara ya siku 12 nchini Tanzania ambayo aliiandaa kwa muda mrefu kwa lengo la kusherehekea kutimiza miaka 10 ya ndoa yake na mkewe, Doreen akiongozana na ndugu zake wawili katika ziara hiyo iliyoishia kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani