Nyumbu, pundamilia waibeba Serengeti
NYUMBU na pundamilia ni wanyamapori wenye historia ya kipekee wanaopatikana katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (Senapa), inayoongoza kwa kuwa na vivutio bora vya utalii Barani Afrika.
Ukifika Senapa utawaona wakiwa katika makundi makubwa na misafara mirefu wakitafuta riziki ya malisho na kufurahia mazingira hai ya hifadhi hiyo.
Wanyama hawa ndiyo huipendezesha zaidi Senapa na kuitofautisha na hifadhi nyingine nchini. Ni kivutio kikubwa cha utalii katika hifadhi hiyo yenye hadhi ya...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Lallana ,Moreno waibeba Liverpool
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3JwaH2xufXqQe4gTGuy3MT-OnAssGeflMQCar2T24EnxJyx3V98kV*cqWRD5oWxtAnjIzrLHECCYVErQ28JbvOe/d.jpg)
SHABIKI WA NEWCASTLE AUAWA NA PUNDAMILIA
9 years ago
Habarileo18 Aug
Mgawanyo wa majimbo waibeba Chadema
UMOJA wa vyama vinne vya upinzani (Ukawa), umetoa rasmi mgawanyo wake wa majimbo ya ubunge kwa upande wa Tanzania Bara, baada ya kukubaliana, ambapo Chadema kimeongoza kwa kuwa na majimbo mengi kuliko vyama vingine.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3BUwwLuJMnQc6CP8qG91kxWVNUqc92Xo5qRyUw355GyVe*IptNnTnxUZal0xZbb-FdVSVnyLjFswQk00WBAaVWMqNHu8Psp0/CHEKANAKITIME.jpg)
UNAVUKA ZEBRA CROSSING WEE PUNDAMILIA?
10 years ago
Vijimambo07 Mar
SHABIKI WA NEWCASTLE AUAWA NA PUNDAMILIA BONGO
![](http://api.ning.com/files/QFZtM12iNiD5R53GmH1HHVmHWK5vT43CN38z9VJxOg1Br56WHUG0HJVWsR6In0UO1Su8kJ4opoeP4hNlNXOBHWf6WbOIrWzL/shabikinewcast.jpg)
Mwandishi wetu
INASHANGAZA! Shabiki mmoja aliyekuwa amevalia jezi ya timu ya Newcastle, John Kearsley (38) ameuawa baada ya kukanyagwa na pundamilia alipokuwa matembezini katika mbuga za wanyama nchini Tanzania.
John, alikuwa na ziara ya siku 12 nchini Tanzania ambayo aliiandaa kwa muda mrefu kwa lengo la kusherehekea kutimiza miaka 10 ya ndoa yake na mkewe, Doreen akiongozana na ndugu zake wawili katika ziara hiyo iliyoishia kwa...
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Maguli, Bocco waibeba Kili Stars
9 years ago
Habarileo29 Dec
`Sangoma’ anaswa na kwato za pundamilia, ngozi ya simba
MGANGA wa jadi na mkazi wa Sumbawanga mjini, mkoani Rukwa, Vitus Chomba (42), anashikiliwa na Polisi, wilayani Mlele, mkoani Katavi kwa tuhuma za kukutwa na nyara za Serikali bila kibali halali.
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Utafiti Twaweza waibeba CCM, asilimia 65 kumchagua Magufuli
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Mnajidai nyumbu wa Ngorongoro? Mtaliwa
MWANZONI niliposikia kauli hii, nikajiuliza huyu mama ana maana gani?
Mwandishi Wetu