Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMKE ANASWA KWA SOO LA UTAPELI

Stori:  Hamida Hassan na Imelda Mtema Mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Mwanaheri anadaiwa kunaswa kwa msala wa utapeli na kupewa kashikashi la aina yake baada ya ‘kutaitiwa’ na wanawake wenzake ambao ni wajasiriamali akisemekana kukomba mali zenye gharama za Sh. milioni mbili. Mtuhumiwa (Mwanaheri) aliyenaswa kwa msala wa utapeli akiwa chini ya ulinzi wa Polisi eneo la Mlimani City jijini Dar. Tukio hilo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ANASWA KWA UTAPELI WA MADINI FEKI

Stori: Deogratius Mongela
MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Samson Ntemi (44) mkazi wa Msingwi, Wilaya ya Magu mkoani Mwanza amenaswa na Polisi wakati akifanya jaribio la utapeli wa madini feki huko Kijitonyama jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kijana aliyefahamika kwa jina la Samson Ntemi aliyetuhumiwa kwa utapeli wa madini bandia Kwa mujibu wa chanzo makini, mtu huyo alianza harakati za utapeli wake kwa kumpigia simu...

 

11 years ago

GPL

MWANAJESHI FEKI ANASWA KWA UTAPELI

STORI: Nyemo Chilongani na Andrew Carlos
KIJANA mmoja aliyejulikana kwa jina la Mohammed Musa Yusufu maarufu kama Mwarami, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na sare pamoja na kutapeli watu kwa kuuza fomu feki za kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT). Mohammed Musa Yusufu anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na sare feki za Jeshi la Kujenga Taifa (JKT). “Mdogo wetu Omari alikuja nyumbani na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke anaswa na ngozi za chui

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Mwajuma Hamisi, mkazi wa Yombo Vituka kwa kosa la kukutwa na ngozi mbili za chui kinyume cha sheria, zenye thamani...

 

11 years ago

Habarileo

Polisi mwanamke aiba mtoto, anaswa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed MsangiOFISA wa Jeshi la Polisi nchini, anashikiliwa na jeshi hilo mkoani Mbeya akituhumiwa kuiba mtoto mchanga mwenye umri wa siku saba.

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ANASWA AKITAKA KUMTOROSHA BINTI

Stori: Francis Godwin, Iringa
WAKAZI wa Kitongoji cha Frelimo mkoani hapa wamemkamata mwanamke aitwaye Zuhura Angero kwa madai ya kutaka kumtorosha binti wa kazi, Felenesta kwa ajili ya kumpeleka jijini Dar es Saalam kufanya kazi za ndani. Tukio hilo la aina yake limetokea saa mbili usiku Januari 12, mwaka huu baada ya wakazi hao kumwekea mtego mwanamke huyo na kumnasa. Inadaiwa kwamba mwanamke huyo ambaye ni mwenyeji wa Iringa...

 

10 years ago

GPL

HILI SOO LA IPTL LIMEKAA VIBAYA

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. Na Ojuku Abraham
MOTO wa ripoti ya upotevu wa fedha za umma katika akaunti ya Tegeta Escrow, ambayo imekabidhiwa kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) inayoongozwa na Zitto Kabwe unatarajiwa kuwaka Novemba 27, mwaka huu, siku ambayo itasomwa na kujadiliwa bungeni baada ya Mwanasheria Mkuu wa serikali na vigogo wengine kadhaa kuhojiwa. Akaunti ya Tegeta Escrow...

 

9 years ago

Global Publishers

Amanda atumika kwa utapeli

GLOBALTVONLINE14Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’.

Mwandishi wetu
Kaa chonjo! Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya jina lake kutumika kwa utapeli kwenye mitandao ya kijamii.

Amanda ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, kuna Amanda feki anayetumia jina lake kutapeli watu ambapo tayari amepokea malalamiko mengi huku jamaa mmoja akichukuliwa fedha kilaini (hakutaja kiasi) kupitia Facebook, akiamini ni staa huyo hivyo kuwataka watu kuwa makini kwani yeye hana...

 

10 years ago

GPL

ROSE MUHANDO KWA UTAPELI TOO MUCH!

Stori:  Mwandishi Wetu, IRINGA
LILE jinamizi la kupokea fedha kwa ajili ya kushiriki tamasha la kuimba nyimbo za Injili kisha kutotokea siku ya tukio linazidi kumwandama nyota wa muziki huo nchini, Rose Athuman Muhando, safari hii akidaiwa kumliza tena mtu, Ijumaa Wikienda lina kesi hiyo mkononi. Nyota wa muziki huo nchini, Rose Athuman Muhando. Kwa mujibu wa chanzo makini cha ndani, safari hii ameendelea kupokea fedha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa utapeli misikitini

KIJANA, John Charles, anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Sitakishari, Dar es Salaam kwa tuhuma za utapeli kupitia misikiti. Tanzania Daima ilishuhudia kijana huyo akikamatwa na kufikishwa kwa Mwenyekiti wa Mtaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani