Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amanda atumika kwa utapeli

GLOBALTVONLINE14Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’.

Mwandishi wetu
Kaa chonjo! Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya jina lake kutumika kwa utapeli kwenye mitandao ya kijamii.

Amanda ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, kuna Amanda feki anayetumia jina lake kutapeli watu ambapo tayari amepokea malalamiko mengi huku jamaa mmoja akichukuliwa fedha kilaini (hakutaja kiasi) kupitia Facebook, akiamini ni staa huyo hivyo kuwataka watu kuwa makini kwani yeye hana...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WOLPER ATUMIKA KWENYE UTAPELI WA MAMILIONI

Na Shakoor Jongo STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Jack Wolper’ amejikuta akitumika kwenye utapeli wa mamilioni ya shilingi kupitia mitandao ya kijamii bila yeye kujua,limeinyaka.
Akizungumzia sakata zima huku alibubujikwa na machozi, Wolper alisema: “Siku moja nilikutana na dereva teksi mmoja aitwaye Ismail, baada ya kupiga stori nilimpa namba yangu ya simu na yeye akanipa yake, tukaagana. ...

 

10 years ago

GPL

FEROOZ MBARONI KWA UTAPELI

Mayasa Mariwata na Makongoro Ogin’g
Tena? Kwa mara nyingine staa wa Bongo Fleva, Ferooz Mrisho ametiwa mbaroni kwa utapeli akidaiwa ‘kuchikichia’ fedha za kumpangisha nyumba jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Tony Noah kiasi cha zaidi ya Sh. milioni 3.2 kisha kuingia mitini ikielezwa kuwa nyumba hiyo ina mgogoro. Staa wa Bongo Fleva, Ferooz Mrisho. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, ilidaiwa kwamba,...

 

10 years ago

GPL

JOKATE ASAKWA KWA UTAPELI!

Mayasa Mariwata na Hamida Hassan Skendo? Wakati akiwa na mkataba wa shilingi bilioni nane na nusu wa bidhaa zenye nembo yake kutoka Kampuni ya Rainbow Shell Craft, mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amekwaa kashfa ya utapeli akidaiwa ‘kuchikichia’ shilingi elfu sabini za msanii wa Bongo Fleva anayefahamika kwa jina la Abdallah Hamis ‘Planet’, Ijumaa Wikienda lina mchapo...

 

10 years ago

GPL

ROSE MUHANDO KWA UTAPELI TOO MUCH!

Stori:  Mwandishi Wetu, IRINGA
LILE jinamizi la kupokea fedha kwa ajili ya kushiriki tamasha la kuimba nyimbo za Injili kisha kutotokea siku ya tukio linazidi kumwandama nyota wa muziki huo nchini, Rose Athuman Muhando, safari hii akidaiwa kumliza tena mtu, Ijumaa Wikienda lina kesi hiyo mkononi. Nyota wa muziki huo nchini, Rose Athuman Muhando. Kwa mujibu wa chanzo makini cha ndani, safari hii ameendelea kupokea fedha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa utapeli misikitini

KIJANA, John Charles, anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Sitakishari, Dar es Salaam kwa tuhuma za utapeli kupitia misikiti. Tanzania Daima ilishuhudia kijana huyo akikamatwa na kufikishwa kwa Mwenyekiti wa Mtaa...

 

10 years ago

Mtanzania

Mbaroni kwa tuhuma za utapeli

Na Upendo Mosha
SERIKALI wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, inamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Preygod Mmasi, kwa tuhuma za kujihusisha na utapeli kwa kutumia kivuli cha Ofisi ya Waziri Mkuu na kuwatapeli wawekezaji wilayani humo kwa kushirikiana na baadhi ya watumishi wa Serikali.
Akizungumzia tukio hilo, Mkuu wa wilaya hiyo, Athoniy Mtaka ambaye pia ni Mwenyekiti wa ulinzi na usalama wilayani humo, alisema mtuhumiwa huyo alikamatwa Juni mosi mwaka huu saa 3 usiku mkoani Arusha...

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE ANASWA KWA SOO LA UTAPELI

Stori:  Hamida Hassan na Imelda Mtema Mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Mwanaheri anadaiwa kunaswa kwa msala wa utapeli na kupewa kashikashi la aina yake baada ya ‘kutaitiwa’ na wanawake wenzake ambao ni wajasiriamali akisemekana kukomba mali zenye gharama za Sh. milioni mbili. Mtuhumiwa (Mwanaheri) aliyenaswa kwa msala wa utapeli akiwa chini ya ulinzi wa Polisi eneo la Mlimani City jijini Dar. Tukio hilo...

 

11 years ago

GPL

ANASWA KWA UTAPELI WA MADINI FEKI

Stori: Deogratius Mongela
MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Samson Ntemi (44) mkazi wa Msingwi, Wilaya ya Magu mkoani Mwanza amenaswa na Polisi wakati akifanya jaribio la utapeli wa madini feki huko Kijitonyama jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kijana aliyefahamika kwa jina la Samson Ntemi aliyetuhumiwa kwa utapeli wa madini bandia Kwa mujibu wa chanzo makini, mtu huyo alianza harakati za utapeli wake kwa kumpigia simu...

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania waitikisa Marekani kwa utapeli

Baadhi ya Watanzania wanaoishi Marekani huenda wakaozea jela baada ya kutiwa hatiani na wengine kukiri mahakamani kuhusika katika utapeli na wizi wa mamilioni ya Dola za Marekani, kupitia mikopo na upangishaji wa nyumba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani