Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WOLPER ATUMIKA KWENYE UTAPELI WA MAMILIONI

Na Shakoor Jongo STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Jack Wolper’ amejikuta akitumika kwenye utapeli wa mamilioni ya shilingi kupitia mitandao ya kijamii bila yeye kujua,limeinyaka.
Akizungumzia sakata zima huku alibubujikwa na machozi, Wolper alisema: “Siku moja nilikutana na dereva teksi mmoja aitwaye Ismail, baada ya kupiga stori nilimpa namba yangu ya simu na yeye akanipa yake, tukaagana. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Amanda atumika kwa utapeli

GLOBALTVONLINE14Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’.

Mwandishi wetu
Kaa chonjo! Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya jina lake kutumika kwa utapeli kwenye mitandao ya kijamii.

Amanda ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, kuna Amanda feki anayetumia jina lake kutapeli watu ambapo tayari amepokea malalamiko mengi huku jamaa mmoja akichukuliwa fedha kilaini (hakutaja kiasi) kupitia Facebook, akiamini ni staa huyo hivyo kuwataka watu kuwa makini kwani yeye hana...

 

5 years ago

Michuzi

Mamilioni yatumika kwenye miradi ya maendeleo Udonja 2015-2020

Na Amiri Kilagalila,Njombe . Zaidi ya milioni mia nne ishirini na saba zimetumika katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za kimaendeleo ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya shule,barabara na madaraja kwa kipindi cha miaka mitano katika kata ya Udonja wilayani Wanging'ombe Mkoani Njombe

Hayo yamebainishwa na Diwani wa kata ya udonja Hapnes Bomba wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa miaka mitano, ambapo amesema fedha hizo zimetolewa na serikali,mbunge wa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mama Diamond, Wolper Wafunika Kwenye Je Utanipenda

Kuna msemo usemao “experience is the best teacher”, msemo huu umekamilika kupitia mama mzazi wa msanii Diamond Platnums , baada ya kuigiza kama mama ambaye ana maisha magumu kupitiliza,huku akiwa ameuvaa uhusika vilivyo kupitia video mpya ya msanii huyo ambaye ni mwanae wa kumzaa huitwao, je utanipenda.
DIAMOND WOLPER356
Mama diamond, ni kati ya watu wachache waliotumika kwenye video hiyo na kuifanya ionekane kuwa na mvuto wa kipekee na kubeba hisia za mamilioni ya watanzania kwa uchezaji wa hali ya juu...

 

10 years ago

GPL

SNURA ATUMIKA KUTAPELI

Stori: Gladness Mallya MSANII wa filamu na muziki Bongo, Snura Mushi amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kutumika kwa utapeli kupitia namba yake ya simu. Msanii wa filamu na muziki Bongo, Snura Mushi. Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu, Snura alisema aliacha kutumia namba ya awali kwa muda wa miezi miwili baada ya kupotea  ambapo hivi karibuni ndipo alipoanza kupata malalamiko kutoka kwa watu mbalimbali kwamba...

 

10 years ago

GPL

BAKHRESA ATUMIKA KUTAPELI...

Na Makongoro Oging’/Uwazi
MFANYABIASHARA tajiri Afrika Mashariki na Kati, Said Salum Bakhresa (pichani), jina lake limetumika katika utapeli jijini Dar baada ya watu waliodai ni wafanyakazi wake kumrubuni mkazi wa Kariakoo, Mussa Mohammed kuvunja fremu yenye duka lake ili kupisha ujenzi wa maegesho ya magari, Uwazi limedokezwa. Mfanyabiashara tajiri Afrika Mashariki na Kati, Said Salum Bakhresa. Akizungumza na gazeti...

 

9 years ago

GPL

ISABELLA ATUMIKA KUWAUZA WASICHANA MTANDAONI

‘Muuza nyago’ kupitia muziki na filamu hapa Bongo, Isabella Mpanda. Na Hamida Hassan ‘MUUZA nyago’ kupitia muziki na filamu hapa Bongo, Isabella Mpanda amekwaa skendo ya kuuza wasichana kwa mapedeshee, kufuatia jina lake kutumiwa na mtu ambaye jina lake halisi halikupatikana mara moja, ambaye anajitambulisha kwa jina la msanii huyo. Mpashaji wa habari hii ambaye ni rafiki wa karibu na Isabella aliliambia gazeti hili...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!

"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini  na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.

Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Tanzania Daima

Jihadhari na utapeli huu

KUNDI la matapeli limeibuka na kuwaliza mamilioni ya fedha watu wanaosaka ajira nchini, Tanzania Daima limebaini. Matapeli hao hujifanya maofisa wa baadhi ya ofisi za umma ambao hutangaza kwamba kuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani