WOLPER ATUMIKA KWENYE UTAPELI WA MAMILIONI
![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa4TmYeIFskLtyKcyYF9DQBK91MIS4Ev64My-QOwXL30bbj80cPMcIjFfCorTZLzBW*OkjN9zLK3Vwo*Exn7uArY/wolper.jpg)
Na Shakoor Jongo STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Jack Wolper’ amejikuta akitumika kwenye utapeli wa mamilioni ya shilingi kupitia mitandao ya kijamii bila yeye kujua,limeinyaka. Akizungumzia sakata zima huku alibubujikwa na machozi, Wolper alisema: “Siku moja nilikutana na dereva teksi mmoja aitwaye Ismail, baada ya kupiga stori nilimpa namba yangu ya simu na yeye akanipa yake, tukaagana. ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Amanda atumika kwa utapeli
Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’.
Mwandishi wetu
Kaa chonjo! Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya jina lake kutumika kwa utapeli kwenye mitandao ya kijamii.
Amanda ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, kuna Amanda feki anayetumia jina lake kutapeli watu ambapo tayari amepokea malalamiko mengi huku jamaa mmoja akichukuliwa fedha kilaini (hakutaja kiasi) kupitia Facebook, akiamini ni staa huyo hivyo kuwataka watu kuwa makini kwani yeye hana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G57vRYFs1-E/XtaQjdk756I/AAAAAAALsWo/dPLsq57xBpwyU6E3kVBni4h7d7FkwnABgCLcBGAsYHQ/s72-c/f8dc1-fedha2bmkopo.jpg)
Mamilioni yatumika kwenye miradi ya maendeleo Udonja 2015-2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-G57vRYFs1-E/XtaQjdk756I/AAAAAAALsWo/dPLsq57xBpwyU6E3kVBni4h7d7FkwnABgCLcBGAsYHQ/s400/f8dc1-fedha2bmkopo.jpg)
Hayo yamebainishwa na Diwani wa kata ya udonja Hapnes Bomba wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa miaka mitano, ambapo amesema fedha hizo zimetolewa na serikali,mbunge wa...
9 years ago
Bongo Movies18 Dec
Mama Diamond, Wolper Wafunika Kwenye Je Utanipenda
Kuna msemo usemao “experience is the best teacher”, msemo huu umekamilika kupitia mama mzazi wa msanii Diamond Platnums , baada ya kuigiza kama mama ambaye ana maisha magumu kupitiliza,huku akiwa ameuvaa uhusika vilivyo kupitia video mpya ya msanii huyo ambaye ni mwanae wa kumzaa huitwao, je utanipenda.
Mama diamond, ni kati ya watu wachache waliotumika kwenye video hiyo na kuifanya ionekane kuwa na mvuto wa kipekee na kubeba hisia za mamilioni ya watanzania kwa uchezaji wa hali ya juu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQnNnjeiF2RdreM2kFVSd7RE8S55zlavJJSUbPKd5sBdu5niSevU7HyTKZPSXq2N0RvV4UultsYxFUW*Sgh1hZFa/snura.jpg)
SNURA ATUMIKA KUTAPELI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N3a4E7n0Bnfv9evCsnRqiWaOUOobwJj-fa2vYHnEEP0TUbh5sYLt0ZKuYnlODDsYCEY0gxHY3Idiwm77ugX-iWjaQBdP4-AT/baba.jpg)
BAKHRESA ATUMIKA KUTAPELI...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-VZAKDCUlcx6HHCQQ182nuCb7UVAa2HPeLWX2Bd3CJvbwcs5Sacb-k-kFB7TplpI40qAnNow*8WZK423U*WsUDHS/ISABELA.png)
ISABELLA ATUMIKA KUWAUZA WASICHANA MTANDAONI
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X70QsS2H60M/UzxOO8CJY5I/AAAAAAAFX60/22xIfLW3uzw/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Jihadhari na utapeli huu
KUNDI la matapeli limeibuka na kuwaliza mamilioni ya fedha watu wanaosaka ajira nchini, Tanzania Daima limebaini. Matapeli hao hujifanya maofisa wa baadhi ya ofisi za umma ambao hutangaza kwamba kuna...