Jihadhari na utapeli huu
KUNDI la matapeli limeibuka na kuwaliza mamilioni ya fedha watu wanaosaka ajira nchini, Tanzania Daima limebaini. Matapeli hao hujifanya maofisa wa baadhi ya ofisi za umma ambao hutangaza kwamba kuna...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cQ91oMUMMU4/VMqvDuUxZ1I/AAAAAAAHATM/pHLKAg3we2c/s72-c/12.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MNUNUZI WA GARI JIHADHARI NA UTAPELI HUU WA KIMKATABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-cQ91oMUMMU4/VMqvDuUxZ1I/AAAAAAAHATM/pHLKAg3we2c/s1600/12.jpg)
1. KUTAPELIWA KATIKA UNUNUZI WA GARI.
Ununuzi wa magari sawa na biashara nyingine yoyote unahitaji umakini. Lakini ununuzi wa gari unahitaji umakini mkubwa zaidi pengine kuliko mali nyingine yoyote inayohamishika kwa sasa. Hii ni kutokana na kukua kwa biashara ya bidhaa hiyo kulikoleteleza kujipenyeza kwa matapeli hasa mijini. Utapeli wa magari ni mkubwa kuliko watu wanavyofikiria na idadi ya wanaotapeliwa kwa siku inaelekea kulingana na idadi ya magari yanayouzwa...
10 years ago
Michuzi24 Feb
JIHADHARI NA UJUMBE KAMA HUU, UKIUFUATA AKAUNTI YAKO INASOMBWA...
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/2MRphP9raNCdfenw2-eb_yw5S5U-_3ztDzeycQbDzfMhrbiWhOv1P9KRnjlN2lEyCSem69XxrTJLcHrXJm52gXcnhyPZ=s0-d-e1-ft#https://ssl.gstatic.com/accounts/ui/logo_2x.png)
Dear Valued USER,
We received your instruction to terminate your Google accountYou need to confirm you made this request or we will continue with the requestIf you think it is an error, take action immediately to stop this process.CANCEL REQUEST
Thank You,
Google Account Team.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XWAi4cecbk4/UxxVCUBcnUI/AAAAAAAAVrY/Bn3UjyDTCpQ/s72-c/1.jpg)
JIHADHARINI NA UTAPELI HUU KUHUSU MIKOPO
![](http://4.bp.blogspot.com/-XWAi4cecbk4/UxxVCUBcnUI/AAAAAAAAVrY/Bn3UjyDTCpQ/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mf9E6OCDF88/UxxVGDyGGSI/AAAAAAAAVrg/x1zjeTMGpi0/s1600/2.jpg)
Huu ni Ujumbe ulioandikwa katika Ukurasa wa Rafiki yangu Mroki Mroki katika Ukurasa wake wa Facebook ukijaribu Kuwaaminisha watanzania Juu ya Mikopo inayotolewa na Kutumia Mbinu mbalimbali ili kuweza kutapeli watu.
Baada ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RDaybMzfI/VLw55EC4jxI/AAAAAAAG-Og/GasBT-RQtrU/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MNUNUZI WA NYUMBA/KIWANJA JIHADHARI SERIKALI ZA MITAA HAWARUHUSIWI KUSIMAMIA MIKATABA KISHERIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RDaybMzfI/VLw55EC4jxI/AAAAAAAG-Og/GasBT-RQtrU/s1600/images.jpg)
Na Bashir YakubWiki iliyopita niliandika kuhusu Asilimia kumi ambayo serikali za mitaa huwa wanaidai hasa maeneo ya mijini baada ya wahusika kuwa wameuziana nyumba au kiwanja. Nikasema wazi kabisa bila kungata meno kuwa hiyo pesa iitwayo asilimia kumi au pesa nyingine yoyote mtu atakayolipa serikali za mitaa eti kwakuwa amenunua au ameuza eneo lake ni rushwa. Na leo nakumbusha na kusisitiza tena kuwa Watanzana wajue ukitoa pesa ile umetoa ...
10 years ago
Michuzi24 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BtBmktxPBEk/VOo1H302NkI/AAAAAAAHFR0/0j9FGLSJZgM/s72-c/download.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JIHADHARI, HAUTARURUHUSIWA KUFANYA TRANSFER AU KUPATA HATI IKIWA UNA MKATABA WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-BtBmktxPBEk/VOo1H302NkI/AAAAAAAHFR0/0j9FGLSJZgM/s1600/download.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2b08Fwoza2s/VXYKAvfeGdI/AAAAAAAHdMk/fQP67OY4Pv4/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JIHADHARI, HAYA NI MAZINGIRA KISHERIA AMBAPO ALIYEKUUZIA ARDHI ANAWEZA KUDAI TENA UMILIKI NA AKAUPATA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2b08Fwoza2s/VXYKAvfeGdI/AAAAAAAHdMk/fQP67OY4Pv4/s320/1.1774256.jpg)
Kisheria yapo mazingira ambapo mtu aliyeuza ardhi anaweza kuidai tena ardhi ileile aliyouza kutoka kwa mnunuzi na akaipata. Na hapa haijalishi kama mnunuzi ameiendeleza ardhi kwa kiasi gani au amebadilisha hati na kuingia jina lake na vitu vingine kama hivyo.
Sheria imetoa haki hii kwa muuzaji hasa iwapo masharti katika mkataba wa mauziano yamevunjwa. Kwa kawaida kila mkataba wa mauziano ya ardhi huwa na masharti ambayo...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X70QsS2H60M/UzxOO8CJY5I/AAAAAAAFX60/22xIfLW3uzw/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbIEIcZp*y2eb1*kzoYYRH1cs-vMdAqYjV4Rt5Mr0n8O5Cz7XrK6Qsqs2BZ8cDqwuVx6sx0IqngW0zoBHLQ127D/MASOGANGE.jpg)
MASOGANGE NA SKENDO YA UTAPELI
Stori: Imelda Mtema
VIDEO Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefungua mdomo wake na kuwaka kuwa anachukizwa na tabia ya baadhi ya watu ambao wanatumia jina lake kutapeli kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook.Akizungumza na mwanahabari wetu, Masogange alisema kuwa watu wanaotumia jina lake wakome Video Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’. kwa sababu wanamjengea hisia tofauti...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania