MAKALA YA SHERIA: JIHADHARI, HAYA NI MAZINGIRA KISHERIA AMBAPO ALIYEKUUZIA ARDHI ANAWEZA KUDAI TENA UMILIKI NA AKAUPATA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2b08Fwoza2s/VXYKAvfeGdI/AAAAAAAHdMk/fQP67OY4Pv4/s72-c/1.1774256.jpg)
Na Bashir Yakub.
Kisheria yapo mazingira ambapo mtu aliyeuza ardhi anaweza kuidai tena ardhi ileile aliyouza kutoka kwa mnunuzi na akaipata. Na hapa haijalishi kama mnunuzi ameiendeleza ardhi kwa kiasi gani au amebadilisha hati na kuingia jina lake na vitu vingine kama hivyo.
Sheria imetoa haki hii kwa muuzaji hasa iwapo masharti katika mkataba wa mauziano yamevunjwa. Kwa kawaida kila mkataba wa mauziano ya ardhi huwa na masharti ambayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MAMBO YA MSINGI KISHERIA KUHUSU UMILIKI WA ARDHI WA PAMOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s320/1.1774256.jpg)
Ardhi inaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Inaweza kuwa nyumba au kiwanja. Vyote hivi vinaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Kumiliki ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja sio lazima iwe kwa wanandoa. Inaweza kuwa ndugu , marafiki , kikundi cha watu kama wafanyabiashara, wana saccos, kikundi cha michezo na aina yoyote ya kikundi cha kimaendeleo. Umiliki wa ardhi kwa pamoja unatofauti na umiliki binafsi yaani umiliki...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RDaybMzfI/VLw55EC4jxI/AAAAAAAG-Og/GasBT-RQtrU/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MNUNUZI WA NYUMBA/KIWANJA JIHADHARI SERIKALI ZA MITAA HAWARUHUSIWI KUSIMAMIA MIKATABA KISHERIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RDaybMzfI/VLw55EC4jxI/AAAAAAAG-Og/GasBT-RQtrU/s1600/images.jpg)
Na Bashir YakubWiki iliyopita niliandika kuhusu Asilimia kumi ambayo serikali za mitaa huwa wanaidai hasa maeneo ya mijini baada ya wahusika kuwa wameuziana nyumba au kiwanja. Nikasema wazi kabisa bila kungata meno kuwa hiyo pesa iitwayo asilimia kumi au pesa nyingine yoyote mtu atakayolipa serikali za mitaa eti kwakuwa amenunua au ameuza eneo lake ni rushwa. Na leo nakumbusha na kusisitiza tena kuwa Watanzana wajue ukitoa pesa ile umetoa ...
10 years ago
Michuzi05 Jan
MAKALA YA SHERIA: UNATAKA NYUMBA/KIWANJA, HAKIKISHA HAYA KISHERIA USITAPELIWE
Kwa muda mrefu sasa kumekuwepo na migogoro ya mashamba, viwanja na nyumba hasa maeneo ya mijini. Kwa utafiti wa kawaida utagundua kwa haraka baadhi ya sababu ambazo husababisha hali hii.Uaminifu, tamaa, kutelekeza maeneo kwa muda mrefu, utendaji mbovu wa baadhi ya watumishi katika mamlaka za ardhi, uzembe na kutojali ni baadhi ya sababu ambazo huchangia kuwapo na kukua kwa tatizo hili.
Baada ya kuwapo tatizo hili wajibu mkubwa umebaki kwa watu wenyewe kuwa makini na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RUgLk69J7eM/VNURpVFQ7RI/AAAAAAAHCRc/dIoatbIjG64/s72-c/download%2B(1).jpg)
MAKALA YA SHERIA: NJIA YA KISHERIA YA KUKUEPUSHA KUNUNUA ARDHI YENYE MGOGORO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-RUgLk69J7eM/VNURpVFQ7RI/AAAAAAAHCRc/dIoatbIjG64/s1600/download%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CpDNB71nN_o/VSRQsn-JgzI/AAAAAAAHPjA/zAEFx3U5wvU/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MKATABA WA PANGO, NA WA KUNUNULIA ARDHI WAWEZA KUTUMIKA KUPATIA MKOPO
![](http://2.bp.blogspot.com/-CpDNB71nN_o/VSRQsn-JgzI/AAAAAAAHPjA/zAEFx3U5wvU/s1600/1.1774256.jpg)
Sheria ya ardhi ni pana na ina mambo mengi. Kila nikipata nafasi huwa najitahidi kueleza japo machache ili watu waweze kuelewa masuala mbalimbali kuhusu ardhi. Ardhi ni rasimali nyeti mno na hivyo ni tatizo kubwa kuishi bila kujua mambo ya msingi na ya kisheria kuhusu ardhi. Kutokujua ni moja ya sababu inayopelekea umaskini wakati utajiri upo mikononi mwako na upande mwingine husababisha migogoro ya ardhi inayoongezeka...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Sheria ya umiliki ardhi invyomsaidia mwanamke kupata haki ya umiliki
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cQ91oMUMMU4/VMqvDuUxZ1I/AAAAAAAHATM/pHLKAg3we2c/s72-c/12.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MNUNUZI WA GARI JIHADHARI NA UTAPELI HUU WA KIMKATABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-cQ91oMUMMU4/VMqvDuUxZ1I/AAAAAAAHATM/pHLKAg3we2c/s1600/12.jpg)
1. KUTAPELIWA KATIKA UNUNUZI WA GARI.
Ununuzi wa magari sawa na biashara nyingine yoyote unahitaji umakini. Lakini ununuzi wa gari unahitaji umakini mkubwa zaidi pengine kuliko mali nyingine yoyote inayohamishika kwa sasa. Hii ni kutokana na kukua kwa biashara ya bidhaa hiyo kulikoleteleza kujipenyeza kwa matapeli hasa mijini. Utapeli wa magari ni mkubwa kuliko watu wanavyofikiria na idadi ya wanaotapeliwa kwa siku inaelekea kulingana na idadi ya magari yanayouzwa...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Hatua ya kubadili umiliki wa hati ya ardhi kisheria
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BtBmktxPBEk/VOo1H302NkI/AAAAAAAHFR0/0j9FGLSJZgM/s72-c/download.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JIHADHARI, HAUTARURUHUSIWA KUFANYA TRANSFER AU KUPATA HATI IKIWA UNA MKATABA WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-BtBmktxPBEk/VOo1H302NkI/AAAAAAAHFR0/0j9FGLSJZgM/s1600/download.jpg)