MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MKATABA WA PANGO, NA WA KUNUNULIA ARDHI WAWEZA KUTUMIKA KUPATIA MKOPO
![](http://2.bp.blogspot.com/-CpDNB71nN_o/VSRQsn-JgzI/AAAAAAAHPjA/zAEFx3U5wvU/s72-c/1.1774256.jpg)
Na Bashir Yakub.
Sheria ya ardhi ni pana na ina mambo mengi. Kila nikipata nafasi huwa najitahidi kueleza japo machache ili watu waweze kuelewa masuala mbalimbali kuhusu ardhi. Ardhi ni rasimali nyeti mno na hivyo ni tatizo kubwa kuishi bila kujua mambo ya msingi na ya kisheria kuhusu ardhi. Kutokujua ni moja ya sababu inayopelekea umaskini wakati utajiri upo mikononi mwako na upande mwingine husababisha migogoro ya ardhi inayoongezeka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AMlnyDtXb_s/VZmGQddu5II/AAAAAAAHnLo/Uv488u-7FeQ/s72-c/download.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE WAJUA MUDA WA HATI YA NYUMBA UKIISHA WAWEZA KUNYANGANYWA ARDHI?
![](http://3.bp.blogspot.com/-AMlnyDtXb_s/VZmGQddu5II/AAAAAAAHnLo/Uv488u-7FeQ/s1600/download.jpg)
Hati unayopewa ina muda maalum wa kuishi. Sio kweli kwamba ukishapata hati basi ndio umemaliza, hapana. Kama ilivyo kwa bidhaa nyingine au nyaraka nyingine kwa mfano leseni za kuendeshea vipando...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jxDOqgkuqYw/VK1j9-03k9I/AAAAAAAG73k/y-0eDApYag0/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JIFUNZE NAMNA YA KUANDIKA MKATABA KISHERIA UNAPOUZA AU KUNUNUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jxDOqgkuqYw/VK1j9-03k9I/AAAAAAAG73k/y-0eDApYag0/s1600/images.jpg)
Na Bashir YakubKatika shughuli zetu za kuuza na kununua ambazo tunazifanya kila siku mikataba ya maandishi ni jambo ambalo wengi tunakutana nalo. Mikataba hii iwe rasmi au isiwe rasmi suala la msingi ni kuwa huwa tunaifanya. Aidha wakati mwingine si wote wenye kuhusisha suala la mikataba ya maandishi katika makubaliano yaombalimbali na hii hutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kuaminiana. Kuhusu kuaminiana niseme jambo moja tu kuwa suala la mikataba ni muhimusana hata kana ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RUgLk69J7eM/VNURpVFQ7RI/AAAAAAAHCRc/dIoatbIjG64/s72-c/download%2B(1).jpg)
MAKALA YA SHERIA: NJIA YA KISHERIA YA KUKUEPUSHA KUNUNUA ARDHI YENYE MGOGORO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-RUgLk69J7eM/VNURpVFQ7RI/AAAAAAAHCRc/dIoatbIjG64/s1600/download%2B(1).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MAMBO YA MSINGI KISHERIA KUHUSU UMILIKI WA ARDHI WA PAMOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s320/1.1774256.jpg)
Ardhi inaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Inaweza kuwa nyumba au kiwanja. Vyote hivi vinaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Kumiliki ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja sio lazima iwe kwa wanandoa. Inaweza kuwa ndugu , marafiki , kikundi cha watu kama wafanyabiashara, wana saccos, kikundi cha michezo na aina yoyote ya kikundi cha kimaendeleo. Umiliki wa ardhi kwa pamoja unatofauti na umiliki binafsi yaani umiliki...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2b08Fwoza2s/VXYKAvfeGdI/AAAAAAAHdMk/fQP67OY4Pv4/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JIHADHARI, HAYA NI MAZINGIRA KISHERIA AMBAPO ALIYEKUUZIA ARDHI ANAWEZA KUDAI TENA UMILIKI NA AKAUPATA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2b08Fwoza2s/VXYKAvfeGdI/AAAAAAAHdMk/fQP67OY4Pv4/s320/1.1774256.jpg)
Kisheria yapo mazingira ambapo mtu aliyeuza ardhi anaweza kuidai tena ardhi ileile aliyouza kutoka kwa mnunuzi na akaipata. Na hapa haijalishi kama mnunuzi ameiendeleza ardhi kwa kiasi gani au amebadilisha hati na kuingia jina lake na vitu vingine kama hivyo.
Sheria imetoa haki hii kwa muuzaji hasa iwapo masharti katika mkataba wa mauziano yamevunjwa. Kwa kawaida kila mkataba wa mauziano ya ardhi huwa na masharti ambayo...
10 years ago
Michuzi05 Jan
MAKALA YA SHERIA: UNATAKA NYUMBA/KIWANJA, HAKIKISHA HAYA KISHERIA USITAPELIWE
Kwa muda mrefu sasa kumekuwepo na migogoro ya mashamba, viwanja na nyumba hasa maeneo ya mijini. Kwa utafiti wa kawaida utagundua kwa haraka baadhi ya sababu ambazo husababisha hali hii.Uaminifu, tamaa, kutelekeza maeneo kwa muda mrefu, utendaji mbovu wa baadhi ya watumishi katika mamlaka za ardhi, uzembe na kutojali ni baadhi ya sababu ambazo huchangia kuwapo na kukua kwa tatizo hili.
Baada ya kuwapo tatizo hili wajibu mkubwa umebaki kwa watu wenyewe kuwa makini na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WPj9IlWixIU/VOJe7-3evlI/AAAAAAAHEHo/93lhP6X1ALg/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MAMA WA NYUMBANI ANASTAHILI MGAO WA MALI NDOA INAPOVUNJIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WPj9IlWixIU/VOJe7-3evlI/AAAAAAAHEHo/93lhP6X1ALg/s1600/images.jpeg)
Ndoa inapovunjika kuna kuna mambo makuu matatu ambayo hutokea yakiwa kama matokeo ya ndoa hiyo kuvunjika. Kwanza ni kugawana mali walizochuma wanandoa , pili hifadhi ya watoto na tatu matunzo ya watoto. Haya ni matokeo ya kuvunjika kwa ndoa, mengine zaidi kuhusu kuvunjika kwa ndoa tutayaona hapa wakati nikieleza mgawanyo wa mali za wanandoa.
1.MALI ZIPI HUTAKIWA HUGAWANYWA NDOA INAPOVUNJIKA.
Ndoa inapotangazwa kuvunjika mali ambazo hupaswa kugawanywa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Gg2Oajm5Dy0/VSYEmpt_NLI/AAAAAAAHPo4/D5kuWupbBvo/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: BENKI HAIWEZI KUUZA NYUMBA KWA MKOPO AMBAO MMOJA WA WANANDOA HAKUSHIRIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Gg2Oajm5Dy0/VSYEmpt_NLI/AAAAAAAHPo4/D5kuWupbBvo/s1600/images.jpeg)
Ukisoma kichwa cha habari utaona nimeongelea nyumba lakini kimsingi mchakato huu unahusisha mali zote za wanandoa vikiwemo viwanja, magari, na kila kitu ambacho ni mali ya wanandoa. Kichwa kinajieleza kuwa ni makosa benki au taasisi yoyote ya fedha kuuza nyumba au mali yoyote ya wanandoa ikiwa wakati wa kuchukua mkopo mwanandoa mmojawapo hakushirikishwa katika mchakato wa mkopo huo.
1. MAANA YA MALI YA...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8tRtbUJ3HO4/VN0QOK6LUmI/AAAAAAAHDYM/pbg04cUgsOM/s72-c/download.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA, MAHUSIANO KATI YA MME NA MKE KWA MIAKA MIWILI NI NDOA
![](http://1.bp.blogspot.com/-8tRtbUJ3HO4/VN0QOK6LUmI/AAAAAAAHDYM/pbg04cUgsOM/s1600/download.jpeg)
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, zipo aina nyingi za ndoa. Pamoja na kuwa na aina nyingi za ndoa, ndoa hizi tunaweza kuzigawa katika makundi makuu mawili. Kwanza, ndoa za serikali(civil marriage) na Pili ni ndoa za kimila(customary marriage).
Ndoa za serikali ni zile ndoa zinazofungwa kwa mkuu wa Wilaya, Msajili wa ndoa pamoja na katika Ofisi nyingine za serikali kama Ubalozini n.k.
Ndoa za kimila ni zile ndoa zinazofungwa kulingana na taratibu za kabila la wahusika; kwa mfano...