TAHADHARI YA UTAPELI
![](http://3.bp.blogspot.com/-X70QsS2H60M/UzxOO8CJY5I/AAAAAAAFX60/22xIfLW3uzw/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/at5DaH0Gs6kRWobP6JFO6KujRr9Ms9ZqIdzytXWe3GpDIKzWdXVmUOKBcvykYslG2dalxN1BDkBsNvYBGhrq8fsBMFEnLfUh/images.jpg?width=350)
TAHADHARI NA MTANDAO WA UTAPELI UNAOJIITA TCRA FOUNDATION
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
TAHADHARI NA MTANDAO WA UTAPELI UNAOJIITA TCRA FOUNDATION Mamlaka ya Mawasiliano imebaini kuwa kuna mtandao wa matapeli wanaotumia jina la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kutumia tovuti inayojiita “TCRA Foundation†na inayodanganya kutoa mikopo kwa maendeleo kwa watu. Tovuti inayotumika ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbIEIcZp*y2eb1*kzoYYRH1cs-vMdAqYjV4Rt5Mr0n8O5Cz7XrK6Qsqs2BZ8cDqwuVx6sx0IqngW0zoBHLQ127D/MASOGANGE.jpg)
MASOGANGE NA SKENDO YA UTAPELI
Stori: Imelda Mtema
VIDEO Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefungua mdomo wake na kuwaka kuwa anachukizwa na tabia ya baadhi ya watu ambao wanatumia jina lake kutapeli kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook.Akizungumza na mwanahabari wetu, Masogange alisema kuwa watu wanaotumia jina lake wakome Video Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’. kwa sababu wanamjengea hisia tofauti...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Jihadhari na utapeli huu
KUNDI la matapeli limeibuka na kuwaliza mamilioni ya fedha watu wanaosaka ajira nchini, Tanzania Daima limebaini. Matapeli hao hujifanya maofisa wa baadhi ya ofisi za umma ambao hutangaza kwamba kuna...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm9sxiBOwss-sQDUhzkcs4C5D1bOHVyxgNf66aVod8b*7lMvHX5yjOMwSo10RxQnlMdpiLZDf4DAuppLxb3DiVQi/MAI.jpg)
MAIMATHA AKWAA SKENDO YA UTAPELI
Stori: Gladness Mallya SKANDALI! Prizenta maarufu Bongo, Maimatha Jesse amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukwaa skendo ya utapeli kutokana na dawa za kukuza maungo anazoziuza kuwa hazifanyi kazi.
Sosi ameibua utapeli huo wa Maimatha kwa kusema: Prizenta maarufu Bongo, Maimatha Jesse akipozi katika duka lake la vipodozi. “Maimatha anatapeli watu na dawa zake, yaani tumepaka mabinti wengi hazitusaidii chochote, ni...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Utapeli mtandaoni washamiri Ghana
vijanawenye Umri wa chini ya miaka thelathini. Wanaendesha magari ya kifahari na mavazi ya bei kali.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod1v0atBWTFUgjNtebfz1g1i7u7JIg2Oa2MUAovk*t6M4T4lqVFuGcndGWfhQDWcJ3sCt6IQdB1nNjMd3laZFCxR/siwema22.jpg?width=650)
JOKATE ASAKWA KWA UTAPELI!
Mayasa Mariwata na Hamida Hassan Skendo? Wakati akiwa na mkataba wa shilingi bilioni nane na nusu wa bidhaa zenye nembo yake kutoka Kampuni ya Rainbow Shell Craft, mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amekwaa kashfa ya utapeli akidaiwa ‘kuchikichia’ shilingi elfu sabini za msanii wa Bongo Fleva anayefahamika kwa jina la Abdallah Hamis ‘Planet’, Ijumaa Wikienda lina mchapo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgZJK5m3XczsgLyYgQHEJbFooNIoGdTLT1i9ywrEVITDeWOO9xIsEqISJMKsOdXLNdNjFgDkNP9YUfQrhk*O-UvM/gggggggggg.jpg?width=650)
FEROOZ MBARONI KWA UTAPELI
Mayasa Mariwata na Makongoro Ogin’g
Tena? Kwa mara nyingine staa wa Bongo Fleva, Ferooz Mrisho ametiwa mbaroni kwa utapeli akidaiwa ‘kuchikichia’ fedha za kumpangisha nyumba jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Tony Noah kiasi cha zaidi ya Sh. milioni 3.2 kisha kuingia mitini ikielezwa kuwa nyumba hiyo ina mgogoro. Staa wa Bongo Fleva, Ferooz Mrisho. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, ilidaiwa kwamba,...
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Utapeli ‘mkutano wa Ukawa, CCM’
Mkutano wa maridhiano uliokuwa umepagwa kufanyika jana mjini hapa kati ya CCM na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeshindikana huku mwandaaji akitapeliwa Sh400,000.
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Joanita akerwa na utapeli wa mastaa
MSANII wa filamu nchini, Fatuma Makame ‘Joanita’, amekerwa na kitendo kinachofanywa na ‘mastaa’ wa filamu kwa kubuni njia ya kuwatapeli watu wa mikoani kwa kisingizio cha kusaka wasanii wenye vipaji....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania