TAHADHARI NA MTANDAO WA UTAPELI UNAOJIITA TCRA FOUNDATION
![](http://api.ning.com:80/files/at5DaH0Gs6kRWobP6JFO6KujRr9Ms9ZqIdzytXWe3GpDIKzWdXVmUOKBcvykYslG2dalxN1BDkBsNvYBGhrq8fsBMFEnLfUh/images.jpg?width=350)
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAHADHARI NA MTANDAO WA UTAPELI UNAOJIITA TCRA FOUNDATION Mamlaka ya Mawasiliano imebaini kuwa kuna mtandao wa matapeli wanaotumia jina la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kutumia tovuti inayojiita “TCRA Foundation†na inayodanganya kutoa mikopo kwa maendeleo kwa watu. Tovuti inayotumika ni...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X70QsS2H60M/UzxOO8CJY5I/AAAAAAAFX60/22xIfLW3uzw/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
11 years ago
Habarileo10 Apr
TCRA Foundation yafutwa mtandaoni, ni ya kitapeli
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeifuta kwenye mtandao taasisi inayodaiwa kuwa ya kitapeli iliyokuwa ikitumia jina la ‘TCRA Foundation’ ikidai inatoa mikopo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MTy5keoRtuI/Xl4w9JwYKNI/AAAAAAALgrA/X3IicVJvfK8q9pUaGPPEvqQ_Q6pnNPr9ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya lawanasa watu 11 wanaendesha utapeli kwa njia ya Mtandao
![](https://1.bp.blogspot.com/-MTy5keoRtuI/Xl4w9JwYKNI/AAAAAAALgrA/X3IicVJvfK8q9pUaGPPEvqQ_Q6pnNPr9ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ulrich Matei amesema kuwa watuhumiwa walikuwa wanajihusisha na wizi kwa kutumia majina ya viongozi na wasanii kwa kusambaza ujumbe wa kuomba fedha kwa watu wengine wenye mahusiano ya viongozi na wasanii.
Wanaoshikiliwa na Jeshi hilo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eCmJZoPDnbo/U7-YNzFsPvI/AAAAAAAF03g/AgxDw6gD2LU/s72-c/unnamed.jpg)
Utapeli wachukua sura mpya Iringa, mtandao wa waganga wa kienyeji matapeli wawatapeli wenzao 60 kwa kujifanya maofisa wa polisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-eCmJZoPDnbo/U7-YNzFsPvI/AAAAAAAF03g/AgxDw6gD2LU/s1600/unnamed.jpg)
UTAPELI sasa wachukua sura mpya mkoani Iringa badaa ya baadhi ya waganga wa tiba asilia (Sangoma) kugeuziana kibao wenyewe kwa wenyewe kwa kuanza kufanyiana utapeli wa kutisha ikiwa ni pamoja na kujifanya maofisa wa polisi na kuwatapeli fedha wenzao zaidi ya 60.
Imedaiwa kuwa waganga hao matapeli wana mtandao wao na wamekuwa wakiwatumia askari wasio na maadili ya jeshi la polisi kwa kwenda kuwatisha waganga wachanga kwa madai kuwa ...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-LENNAkql3X8/VfPbooP3llI/AAAAAAAADkw/STkvXrM_Smk/s72-c/1.jpg)
SHERIA YA MTANDAO, TCRA YAWAKAMATA HAWA, SOMA MAKOSA YAO HAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LENNAkql3X8/VfPbooP3llI/AAAAAAAADkw/STkvXrM_Smk/s640/1.jpg)
Maxmillian Rafael Msacky (wapili kushoto) na Patrick James Natala (wa tatu kulia) wakiwa mahakama ya kisutu jana Ijumaa.Watu wawili, Patrick Natala na Maxmillian Msacky wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 10 yakiwamo ya kughushi, kutengeneza tovuti feki na mifumo ya mtandao kwa kutumia majina ya Taasisi, viongozi na wanasiasa.Akiwasomea hati ya mashtaka jana Wakili wa Serikali, Theophil Mutakyawa akishirikiana na Wakili Mwandamizi Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xt68sSJ9q_4/Xlpnw6bURlI/AAAAAAALgHM/drbma8HIGFgEEi_4DAO3-Q6euX82fRotgCLcBGAsYHQ/s72-c/3eca738c-acca-4ef0-a747-b35cf6f115e9.jpg)
TAASISI YA BASIC INTERNET FOUNDATION YAZUNGUMZIA MATUMIZI YA MTANDAO
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
TASISI ya Basic Internet Foundation (BIF)imesema kwamba limetambua matumizi ya mtandao itakayosaiflla kukuza utangamano wa nchi rafiki.
Hayo yalibainishwa leo jijini Dar es Salaam na Katibu wa Internet Inclusion,Profesa Josef Noll alipokutana na wadau wa nchi nne ikiwemo mwenyeji wao Tanzania kwa lengo la kujadili umuhimu wa matuminzi ya internet hasa katika shule na vijijini.
Josef amesema ili kutambua matumizi ya internet yanayokuwa kwa kasi wakaona ...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-u4EdETzm6pA/U1dzWf929qI/AAAAAAAAAW8/Lu95EFJmGHs/s72-c/Aina+nyingine.jpg)
TAHADHARI: AINA MPYA YA UHALIFU MTANDAO INAYO ENDELEA KUKUA KWA KASI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-u4EdETzm6pA/U1dzWf929qI/AAAAAAAAAW8/Lu95EFJmGHs/s1600/Aina+nyingine.jpg)
Kwanza kabisa, Faili lolote ambalo linasomeka na kiambatanishi .exe mfano: umoja.exe nifaili ambalo limedhamiriwa kuingizwa kuwa ni moja ya program za komputa hivyo kabla ya kubonyeza...
10 years ago
GPLWORLD LUNG FOUNDATION YAZINDUA MRADI WA ELIMU KWA MTANDAO (E-LEARNING)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oD_9VyU3lZA/U09kAxxFXZI/AAAAAAAFbbc/K5gnLQTqPtc/s72-c/unnamed+(72).jpg)
TAHADHARI: AINA MPYA YA UHALIFU MTANDAO INAYO ENDELEA KUKUA KWA KASI HIVI SASA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-oD_9VyU3lZA/U09kAxxFXZI/AAAAAAAFbbc/K5gnLQTqPtc/s1600/unnamed+(72).jpg)