TCRA Foundation yafutwa mtandaoni, ni ya kitapeli
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeifuta kwenye mtandao taasisi inayodaiwa kuwa ya kitapeli iliyokuwa ikitumia jina la ‘TCRA Foundation’ ikidai inatoa mikopo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Dec
TCRA: App ya Softbox Tanzania inayosemekana kunasa mazungumzo ya simu za watu ni ya kitapeli
![phone-hacking](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/phone-hacking-300x194.jpg)
Hii ni taarifa kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania, TCRA:
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za kuwepo kwa Programu (Application) ya simu ikijulikana kama SOFTBOX TANZANIA iliyosemekana iko kwenye Google PLAYSTORE.
Ilidaiwa kuwa program (Application) hiyo ya SOFTBOX TANZANIA ilikuwa na uwezo wa kunasa au kuingilia mazungumzo ya simu, ujumbe mfupi pamoja na mawasiliano ya WhatsApp kutoka kwenye simu ya mtu binafsi.
Kwa yeyote aliyekuwa na nia hiyo ya kunasa au kuingilia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/at5DaH0Gs6kRWobP6JFO6KujRr9Ms9ZqIdzytXWe3GpDIKzWdXVmUOKBcvykYslG2dalxN1BDkBsNvYBGhrq8fsBMFEnLfUh/images.jpg?width=350)
TAHADHARI NA MTANDAO WA UTAPELI UNAOJIITA TCRA FOUNDATION
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
‘Epukeni tiba za kitapeli’
MKURUGENZI wa Kitengo cha Tiba Asili na Tiba Mbadala, Dk. Poul Mhare, amewataka wananchi kujiepusha na matapeli wanaoweka mabango barabarani na kujifanya wanatibu magonjwa mbalimbali kwa tiba asilia. Alitoa kauli...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Epuka kampuni hii ya kitapeli
SOCIAL Company inayojinasibu kutoa mikopo nafuu isiyokuwa na riba kupitia mfuko wake maalum ujulikanao kama Social Credit & Loans, imegundulika kuwa ya kitapeli. Kampuni hiyo imekuwa ikitumia majina ya watu...
11 years ago
Habarileo25 Jul
‘Kuweni macho na taasisi za mikopo za kitapeli’
WANANCHI wametahadharishwa na utapeli unaofanywa na baadhi ya taasisi hewa hapa nchini zinazodai kutoa mikopo kwa wananchi kwa njia ya simu za mikononi.
9 years ago
Bongo Movies29 Dec
JB Huwa Anatumia Jina Hili Kwenye Kazi za Kitapeli
![JB na Diana Kimaro](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/jb533.jpg)
JB Akiwa na Diana Kimaro
Erick ford, ni jina ninalo litumia kwenye filamu zangu za kitapeli, ni muendelezo wa filam za kitapeli ninazo zifanya mara kwa mara. Nilianza na Signature ikafuata Senior Bachelor halafu Mzee wa Swaga kote nilitumia Erick ford.
Mwezi wa pili tutakuja na filamu ya namna hizo inaitwa…Kalambati Lobo, safari hii nimemshirikisha Diana kimaro.
Jacob Stephen ‘JB’ @ jb_jerusalemfilms on Instagram
11 years ago
Habarileo10 Apr
NGO ya ushoga yafutwa
WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imelifutia usajili Shirika la Tanzania Sisi kwa Sisi Foundation (TSSF), kwa tuhuma ya kujihusisha na kuhamasisha ushoga nchini.
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Kadi ya Gabby Agbonlahor yafutwa
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yafutwa