NGO ya ushoga yafutwa
WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imelifutia usajili Shirika la Tanzania Sisi kwa Sisi Foundation (TSSF), kwa tuhuma ya kujihusisha na kuhamasisha ushoga nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Kadi ya Gabby Agbonlahor yafutwa
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yafutwa
11 years ago
Habarileo11 May
Ruzuku ya pembejeo kwa vocha yafutwa
SERIKALI imetangaza rasmi kuondoa utaratibu wa ruzuku kwa kutumia vocha za pembejeo. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza alisema hayo jana katika hotuba ya makadirio ya matumizi ya fedha ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika kwa mwaka 2014/2015.
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Kesi kumng’oa Spika EAC yafutwa
11 years ago
Habarileo10 Apr
TCRA Foundation yafutwa mtandaoni, ni ya kitapeli
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeifuta kwenye mtandao taasisi inayodaiwa kuwa ya kitapeli iliyokuwa ikitumia jina la ‘TCRA Foundation’ ikidai inatoa mikopo.
11 years ago
Habarileo01 Jul
Kesi ya Dk Mahanga dhidi ya Msemakweli yafutwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifuta kesi ya madai ya kashfa iliyokuwa imefunguliwa na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga dhidi ya Mwanaharakati, Kainerugaba Msemakweli na wenzake.
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Mechi kati ya Ubelgiji na Uhispania yafutwa
10 years ago
Bongo508 Apr
Kesi ya Kanye West kumshambulia paparazzi yafutwa!
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Matokeo kidato cha nne yazuiwa,yafutwa