Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kadi ya Gabby Agbonlahor yafutwa

Rufaa ya Aston Villa kupinga Kadi Nyekundu aliyopewa Mchezaji wao imefanikiwa na Kadi hiyo kufutwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Aston Villa kuipinga kadi ya Gabby

KLABU ya Aston Villa imethibitisha itakata Rufaa kupinga Kadi Nyekundu aliyopewa Mchezaji wao Gabby Agbonlahor.

 

11 years ago

Habarileo

NGO ya ushoga yafutwa

WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imelifutia usajili Shirika la Tanzania Sisi kwa Sisi Foundation (TSSF), kwa tuhuma ya kujihusisha na kuhamasisha ushoga nchini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yafutwa

Matokeo ya uchaguzi kisiwani Zanzibar yafutiliwa mbali.Kulingana na mwanahabari wetu aliye eneo hilo Sammy Awamy amethibitisha hilo.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Dk Mahanga dhidi ya Msemakweli yafutwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifuta kesi ya madai ya kashfa iliyokuwa imefunguliwa na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga dhidi ya Mwanaharakati, Kainerugaba Msemakweli na wenzake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mechi kati ya Ubelgiji na Uhispania yafutwa

Mechi ya kirafiki kati ya Ubelgiji na Uhispania ambayo ilikuwa imeratibiwa kuchezwa leo mjini Brussels Ubelgiji imefutiliwa mbali

 

11 years ago

Habarileo

TCRA Foundation yafutwa mtandaoni, ni ya kitapeli

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeifuta kwenye mtandao taasisi inayodaiwa kuwa ya kitapeli iliyokuwa ikitumia jina la ‘TCRA Foundation’ ikidai inatoa mikopo.

 

11 years ago

Habarileo

Ruzuku ya pembejeo kwa vocha yafutwa

SERIKALI imetangaza rasmi kuondoa utaratibu wa ruzuku kwa kutumia vocha za pembejeo. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza alisema hayo jana katika hotuba ya makadirio ya matumizi ya fedha ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika kwa mwaka 2014/2015.

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi kumng’oa Spika EAC yafutwa

Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), juzi imeifuta kesi ya kupinga kuondolewa madarakani kwa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Dk Margret Zziwa baada ya upande wa walalamikaji kuamua kutoendelea na kesi hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Matokeo kidato cha nne yazuiwa,yafutwa

Wakati watahiniwa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) likizua matokeo ya watahiniwa 31, 518 kutokana na kutolipa ada ya mtihani huo, wengine 282 wamefutiwa matokeo yao kutokana na kubainika kufanya udanganyifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani