Kesi ya Dk Mahanga dhidi ya Msemakweli yafutwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifuta kesi ya madai ya kashfa iliyokuwa imefunguliwa na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga dhidi ya Mwanaharakati, Kainerugaba Msemakweli na wenzake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Kesi kumng’oa Spika EAC yafutwa
Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), juzi imeifuta kesi ya kupinga kuondolewa madarakani kwa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Dk Margret Zziwa baada ya upande wa walalamikaji kuamua kutoendelea na kesi hiyo.
10 years ago
Bongo508 Apr
Kesi ya Kanye West kumshambulia paparazzi yafutwa!
Kanye West na paparazzi aliyemshambulia wamemaliza tofauti zao kwa kumuomba msamaha na kushikana mikono. West alishtakiwa na Daniel Ramos baada ya mwaka 2013 kumshambulia wakati akiwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Los Angeles na kesi hiyo ilikuwa isikilizwe wiki ijayo. Wakili wa Ramos, Gloria Allred aliandika maelezo jana Jumanne kuwa kesi hiyo imemalizika […]
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Kesi dhidi ya Vigogo wa Sudan:K yaendelea
Kesi dhidi ya viongozi 4 wa kisiasa nchini Sudan Kusini ambao wanakabiliwa na mashitaka ya uhaini imeingia siku yake ya pili hii.
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Kesi dhidi ya rais Kenyatta ni Oktoba
Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC imeahirisha kesi dhidi ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta hadi mwezi Oktoba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQbVc*b-KB8oz*EFEr0S6s*DGZQz06NIU45jHY*Txq-0ERjGXvEGviQV5nmoYPe31m0FHGWi8-4t1leFVdSOv6pcmAB2mJO5/uhuru.jpg)
KESI DHIDI YA RAIS KENYATTA YAAHIRISHWA
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta. MAHAKAMA ya kimataifa ya uhalifu (ICC) imeahirisha kesi dhidi ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta hadi Oktoba 7, mwaka huu. Rais Kenyatta anatuhumiwa kwa makosa ya jinai kufuatia machafuko ya baada ya uchaguzi wa mwaka 2007 - 2008, madai ambayo ameyakanusha. Mahakama Kuu ya ICC, kupitia mwendesha mashitaka Fatou Bensouda, imekuwa ikiitaka serikali ya Kenya kutoa ushirikiano wa kutosha ili...
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Rihanna ashinda kesi dhidi ya Topshop
Rihannaameshinda kesi ya madai dhidi ya duka la mavzi la Topshop juu ya fulana iliyobandikwa sura yake.
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Kesi dhidi ya Mubarak yatupiliwa mbali
Mahakama moja nchini Misri imetupilia mbali kesi dhidi ya aliyekuwa rais wa taifa hilo Hosni Mubarak
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Kesi dhidi ya Ntaganda kuanza Jumatano
Kesi dhidi ya aliyekuwa kiongozi wa waasi DRC, Bonsco Nteganda kuanza kesho katika mahakama ya ICC iliyoko the Haque Jumatano
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
JS Kabylie yashinda kesi dhidi ya Caf
JS Kabylie ya Algeria imeshinda rufaa yake dhidi ya adhabu ya Caf kutoshiriki mashindano ya kandanda barani Afrika
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania