JB Huwa Anatumia Jina Hili Kwenye Kazi za Kitapeli
JB Akiwa na Diana Kimaro
Erick ford, ni jina ninalo litumia kwenye filamu zangu za kitapeli, ni muendelezo wa filam za kitapeli ninazo zifanya mara kwa mara. Nilianza na Signature ikafuata Senior Bachelor halafu Mzee wa Swaga kote nilitumia Erick ford.
Mwezi wa pili tutakuja na filamu ya namna hizo inaitwa…Kalambati Lobo, safari hii nimemshirikisha Diana kimaro.
Jacob Stephen ‘JB’ @ jb_jerusalemfilms on Instagram
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Dec
Belle 9: Huwa natumia muda mwingi kuboresha kazi zangu
9 years ago
Bongo501 Oct
Hili ndio jina la wimbo wa Avril aliomshirikisha AY, mtazame akiuongelea (Video)
9 years ago
Bongo507 Dec
Hili linaweza kuwa jina atakalopewa mtoto wa kiume wa Kanye West na Kim Kardashian
![Grand Opening of RYU Restaurant - Inside](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/042412-fashion-beauty-kim-kardashian-kanye-west-3-300x194.jpg)
Kanye West na Kim Kardashian wamejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyomalizika japo jina la mtoto bado halijafamika.
Hata hivyo kuna tetesi kuwa mtoto huyo ataitwa Robert, jina la baba yake Kim Kardashian ambaye ni marehemu kwa sasa.
Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center ya Los Angeles kwenye wodi ya uzazi yenye gharama ya $4,000.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
10 years ago
Bongo Movies19 Sep
Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka
Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!
Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...
9 years ago
Michuzi18 Nov
Maana ya jina la Dudumizi na uhalisia wake kwenye IT
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/mSy_i_Od7c6rRnPYuPGRr1GE6ZjoGcYbsRs9qB5V33hIbx3rgz67Yw6eUj8EGKLloY0Brr0n496JvPrC7cE1Ck4rg4_sue8SBn4f2XpMxG_eBQOOAqRHFRg=s0-d-e1-ft#https://www.dudumizi.com/images/dudumizi-website-design-company.jpg)
Watu wengi wanaposikia jina Dudumizi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb1hYWCko96M7moL8LXAvlpMZ9IfClzBLfTtGNogltLVBF4jPOScaOxySR2LS4EgsKwmyn9YGzVlrjZdx9LSIw2o/jina.gif?width=650)
JINA LA OKWI LARUDISHWA KWENYE KAMATI YA TFF
9 years ago
Bongo501 Oct
Wema Sepetu amlilia Kanumba kwenye hili
9 years ago
Bongo529 Dec
Diamond: Sikukata jina la Nahreel kwenye beat ya ‘Nana’
![Diamond](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/07/Diamond-300x194.jpg)
Siku kadhaa zilizopita mtayarishaji wa muziki wa studio ya The Industry, Nahreel alilalamikia kitendo cha utambulisho wake ‘Nahreel on the beat’ kuondolewa kwenye hit song ya Diamond Platnumz ‘Nana’ ambayo ndiye aliyei-produce.
Diamond naye amepata nafasi ya kueleza sababu ya utambulisho huo kutokuwepo kwenye wimbo huo.
Baba Tiffah amesema kuwa mwanzoni wakati anataka kushoot video hiyo Nahreel alimpa demo ambayo ilikuwa bado haijawekewa sign hiyo, hivyo baada ya kushoot na director...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3Vi7Nb*ThXX1Qqdn3*6nah2eKr6tgkl9o9FMQbzc0CWKUICaNZgwpejCIYG9XESlM2W6Vnd6v5Lz*zboOJLVRypd/MAMAWEMA.jpg)
JIDE KWENYE HILI LA MAZISHI YAKO MI’ SIKUELEWI!