Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB Huwa Anatumia Jina Hili Kwenye Kazi za Kitapeli

JB  na Diana Kimaro

JB Akiwa na Diana Kimaro

Erick ford, ni jina ninalo litumia kwenye filamu zangu za kitapeli, ni muendelezo wa filam za kitapeli ninazo zifanya mara kwa mara. Nilianza na Signature ikafuata Senior Bachelor halafu Mzee wa Swaga kote nilitumia Erick ford.

Mwezi wa pili tutakuja na filamu ya namna hizo inaitwa…Kalambati Lobo, safari hii nimemshirikisha Diana kimaro.

Jacob  Stephen ‘JB’ @ jb_jerusalemfilms on Instagram

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Belle 9: Huwa natumia muda mwingi kuboresha kazi zangu

Msanii aliyewahi kutamba na wimbo ‘Nilipe Nisepe’ Abednego Damian, aka Belle 9, amesema huwa anatumia muda mwingi kukaa na kuangaia upungufu aliyonayo katika uboreshaji wa kazi zake, ndiyo maana hutoa nyimbo mara kwa mara

 

9 years ago

Bongo5

Hili ndio jina la wimbo wa Avril aliomshirikisha AY, mtazame akiuongelea (Video)

Muimbaji wa Kenya, Avril alikuja nchini kushoot video ya wimbo mpya aliomshirikisha AY na kumchukua Hanscana kuiongoza. Avril aliiambia Bongo5 kuwa wimbo huo unaitwa ‘No Stress.’ “Nilirekodi kitambo kiasi na AY,” anasema. “Kama unavyojua nilifanya kazi na AY five years ago, aliniweka kwenye Leo remix. So five years later nimemwambia wewe nawe njoo kwenye ngoma […]

 

9 years ago

Bongo5

Hili linaweza kuwa jina atakalopewa mtoto wa kiume wa Kanye West na Kim Kardashian

Grand Opening of RYU Restaurant - Inside

Kanye West na Kim Kardashian wamejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyomalizika japo jina la mtoto bado halijafamika.

Grand Opening of RYU Restaurant - Inside

Hata hivyo kuna tetesi kuwa mtoto huyo ataitwa Robert, jina la baba yake Kim Kardashian ambaye ni marehemu kwa sasa.

2F166FE700000578-3348507-And_baby_makes_four_Kim_with_her_first_child_daughter_North_two_-m-28_1449435844411

Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center ya Los Angeles kwenye wodi ya uzazi yenye gharama ya $4,000.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka

Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!

 

Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...

 

9 years ago

Michuzi

Maana ya jina la Dudumizi na uhalisia wake kwenye IT

Neno Dudumizi si geni katika masikio ya watu wengi. Hapa kwetu Tanzania, Dudumizi inamaanisha ni ndege, ndege huyu mwenye rangi ya ugoro na nyeusi akiwa na macho mekundu ni adimu sana hasa kwa watu wanaoishi mijini, hii inaweza kutokana na uchache wake au mazoea ya ndege huyu. Pia, kwa upande wa pili, neno Dudumizi ni kampuni bora inayojishughulisha na masuala ya huduma za IT kama kutengeneza website, kutengeneza systems za kompyuta na application za simu.
Watu wengi wanaposikia jina Dudumizi...

 

11 years ago

GPL

JINA LA OKWI LARUDISHWA KWENYE KAMATI YA TFF

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limemlalamikia mwanafamilia wa soka mmoja kwa Kamati ya Maadili kutokana na udanganyifu alioufanya katika suala la usajili wa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Tayari TFF imepata ufafanuzi kutoka Fifa kwamba Okwi anaweza kuendelea kuichezea Yanga, lakini TFF imeibuka tena na kudai Sabri Mtulla alilidanganya shirikisho hilo kuhusu usajili wa Mganda huyo. Akizungumza...

 

9 years ago

Bongo5

Wema Sepetu amlilia Kanumba kwenye hili

Wema Sepetu amedai hakuna msanii aliyejaribu kuendeleza juhudi za marehemu Steven Kanumba ili kuipeleka tasnia ya filamu kimataifa. Wema ameliambia gazeti la Mwananchi kuwa wapo waliojaribu lakini bado wanahitaji kuungwa mkono. “Hilo limekwamia hapo na sifahamu kama tutaweza kujikongoja tena, wapo tunaojaribu lakini bado tunahitaji kuungwa mkono sana kuhakikisha tunafanya kama alivyofanya yeye,” alisema Wema. […]

 

9 years ago

Bongo5

Diamond: Sikukata jina la Nahreel kwenye beat ya ‘Nana’

Diamond

Siku kadhaa zilizopita mtayarishaji wa muziki wa studio ya The Industry, Nahreel alilalamikia kitendo cha utambulisho wake ‘Nahreel on the beat’ kuondolewa kwenye hit song ya Diamond Platnumz ‘Nana’ ambayo ndiye aliyei-produce.

Diamond

Diamond naye amepata nafasi ya kueleza sababu ya utambulisho huo kutokuwepo kwenye wimbo huo.

Baba Tiffah amesema kuwa mwanzoni wakati anataka kushoot video hiyo Nahreel alimpa demo ambayo ilikuwa bado haijawekewa sign hiyo, hivyo baada ya kushoot na director...

 

10 years ago

GPL

JIDE KWENYE HILI LA MAZISHI YAKO MI’ SIKUELEWI!

SIKU zote amekuwa mfano bora kabisa wa msichana aliyeamini kubadili maisha kupitia kipaji na kujituma kwake, kwani wakati wasichana wengi wa kizazi chake katika muziki wa Bongo Fleva wakibakia kuwa historia, Judith Mbibo, tunayemfahamu sana kama Lady Jaydee, ameendelea kuwa juu kisanaa na bila shaka, kimaisha. Tutakuwa tunapoteza nafasi kama tutaanza kujadili kazi gani alizofanya, zipi zilimpatia jina na nini alichokipata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani