JINA LA OKWI LARUDISHWA KWENYE KAMATI YA TFF
![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb1hYWCko96M7moL8LXAvlpMZ9IfClzBLfTtGNogltLVBF4jPOScaOxySR2LS4EgsKwmyn9YGzVlrjZdx9LSIw2o/jina.gif?width=650)
Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limemlalamikia mwanafamilia wa soka mmoja kwa Kamati ya Maadili kutokana na udanganyifu alioufanya katika suala la usajili wa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Tayari TFF imepata ufafanuzi kutoka Fifa kwamba Okwi anaweza kuendelea kuichezea Yanga, lakini TFF imeibuka tena na kudai Sabri Mtulla alilidanganya shirikisho hilo kuhusu usajili wa Mganda huyo. Akizungumza...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHsCyXlOcCjbVKxsf4yRLI9H9iN1tADWFpiqlc7z2ANb7eBs9yvqYTWNCZQtwHcHEADk1AByvmhFUbwl1GGiCuGk/TFF.jpg?width=650)
TFF: Atakayetuvuruga kama Okwi atakiona!
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Uongozi Yanga waishangaa TFF kumzuia Okwi
10 years ago
Mwananchi09 Jul
TFF yachemsha kwa Messi, Banda, Okwi
10 years ago
Mtanzania23 Feb
Sadifa: Hakuna jina litalokatwa Kamati Kuu
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Sadifa Khamis Juma amesema, ndani ya vikao vya Kamati Kuu (CC) na Halmashauri Kuu (NEC) hakuna jina la mgombea litakalokatwa bila kumuonea mtu.
Kauli hiyo aliitoa juzi jijini hapa katika sherehe za kumwapisha Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wa Wilaya ya Arusha DC, Mathias Manga kuwa Kamanda wa vijana wa wilaya hiyo.
Akizungumza na mamia ya wanachama na viongozi wa CCM kutoka mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na...
9 years ago
Michuzi21 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s72-c/download.jpg)
sakata la emmanuel Okwi kusajiliwa na simba: Yanga kukata rufaa fifa kupinga maamuzi ya tff
![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s1600/download.jpg)
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru.Sam Mapande amesema kuwa hawajaridhishwa na maamuzi hayo ambayo yanakinzana na shitaka zima la mchezaji huyo. Mapande amesema kuwa kamati ya TFF imeamua sakata la Okwi kinyume na malalamiko yao kwani hakukuwa na lalamiko la...
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Kamati za TFF
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-koFXPKO8voI/UvYCW-zfQyI/AAAAAAAFLuc/f-XLS52jYV8/s72-c/New+Picture+(6).bmp)
ORODHA YA WAJUMBE KAMATI ZA TFF
![](http://3.bp.blogspot.com/-koFXPKO8voI/UvYCW-zfQyI/AAAAAAAFLuc/f-XLS52jYV8/s1600/New+Picture+(6).bmp)
9 years ago
Michuzi16 Sep
MABADILIKO YA KAMATI NDOGO ZA TFF
![](http://tff.or.tz/images/usajili.png)
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Blassy Kiondo aliyekua Mwenyekiti wa Kamati ya Soka la Wanawake ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Soka la Ufukweni na Sakafuni (Beach Soccer and Futsal).
Amina Karuma ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Wanawake nchini (TWFA) na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji aliteuliwa...