TFF: Atakayetuvuruga kama Okwi atakiona!
![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHsCyXlOcCjbVKxsf4yRLI9H9iN1tADWFpiqlc7z2ANb7eBs9yvqYTWNCZQtwHcHEADk1AByvmhFUbwl1GGiCuGk/TFF.jpg?width=650)
Emmanuel Okwi. Na Sweetbert Lukonge UONGOZI wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), umesema kuwa hautavumilia kuona wafanyakazi na wanachama wake wakivunja taratibu na kanuni ilizojiwekea, kwa faida ya maslahi yao binafsi. Hatua hiyo ya TFF imekuja ikiwa ni siku chache baada ya shirikisho hilo kumlalamikia mfanyakazi wake mmoja katika Kamati ya Maadili kutokana na kufanya udanganyifu katika suala la usajili wa mshambuliaji wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Jul
TFF yachemsha kwa Messi, Banda, Okwi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb1hYWCko96M7moL8LXAvlpMZ9IfClzBLfTtGNogltLVBF4jPOScaOxySR2LS4EgsKwmyn9YGzVlrjZdx9LSIw2o/jina.gif?width=650)
JINA LA OKWI LARUDISHWA KWENYE KAMATI YA TFF
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Uongozi Yanga waishangaa TFF kumzuia Okwi
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Simba kama Yanga sakata la Okwi
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Wapinzani wamuone Kinana kama Okwi anayepiga mashuti
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s72-c/download.jpg)
sakata la emmanuel Okwi kusajiliwa na simba: Yanga kukata rufaa fifa kupinga maamuzi ya tff
![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s1600/download.jpg)
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru.Sam Mapande amesema kuwa hawajaridhishwa na maamuzi hayo ambayo yanakinzana na shitaka zima la mchezaji huyo. Mapande amesema kuwa kamati ya TFF imeamua sakata la Okwi kinyume na malalamiko yao kwani hakukuwa na lalamiko la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCkEe73mDaQl85MAQ0CcAee38-aGaNz8scvPwvWKuEu2hbZxXg4jJxG7rK9cBZcQDLb1ZHehG*JYqTRP8kp7pJ8X/wa.gif?width=650)
Wambura kama kawa, akata rufaa tena TFF
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-070VQp8Ugoo/VFoCjME7lUI/AAAAAAAABPM/8Dr7QHNPOcU/s72-c/index.jpg)
KAMA WEWE NI MBUNIFU TFF WANA DEAL KWA AJILI YAKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-070VQp8Ugoo/VFoCjME7lUI/AAAAAAAABPM/8Dr7QHNPOcU/s1600/index.jpg)
Inawezekana ukawa una ubunifu wako lakini ukawa unashindwa wapi utaupeleka na kupata pesa halali ya Kitanzania sasa mchongo huu hapa ambao wameutoa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuwakaribisha wabunifu.
Unachotakiwa kufanya ni kubuni mwonekano wa jezi mpya za timu ya Taifa zitakazokuwa zikitumiwa kwa mechi za nyumbani na ugenini na ubunifu ni lazima uzingatie rangi za bendera ya Taifa.
Mkwanja walioutoa kwa Mshindi wa jezi ya nyumbani atapata sh. 1,000,000 (milioni moja), na...