Uongozi Yanga waishangaa TFF kumzuia Okwi
>Uongozi wa Yanga umeshangazwa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumzuia mshambuliaji wao Emmanuel Okwi kucheza Ligi Kuu inayoanza kesho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsOC9hl76Vo6tbT1*aEQkfTNsmZOAagUDsBQSIcl0uR3v0amJAjL*quNeFA4IiemjRhrhHJcKkvBQUcETzT-ihB5X/2.jpg?width=650)
Okwi, Kiiza watimka Yanga, uongozi wafanya maombi
Washambuliaji wa Yanga Hamis Kiiza 'Diego' na Emmanuel Okwi(kushoto). Na Sweetbert Lukonge
WACHEZAJI wawili wa Yanga, Hamis Kiiza na Emmanuel Okwi, wameondoka kwenye kikosi hicho na kujiunga na timu yao ya taifa. Uganda inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Andora leo ambapo awali Yanga iliomba wachezaji wake hao wasijiunge na timu hiyo ili wajiandae kuivaa Al Ahly lakini shirikisho la Soka Uganda (Fufa) likagoma....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s72-c/download.jpg)
sakata la emmanuel Okwi kusajiliwa na simba: Yanga kukata rufaa fifa kupinga maamuzi ya tff
![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s1600/download.jpg)
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru.Sam Mapande amesema kuwa hawajaridhishwa na maamuzi hayo ambayo yanakinzana na shitaka zima la mchezaji huyo. Mapande amesema kuwa kamati ya TFF imeamua sakata la Okwi kinyume na malalamiko yao kwani hakukuwa na lalamiko la...
11 years ago
GPLYANGA WAISHANGAA CECAFA
Kiungo mpya wa Yanga, Mbrazil, Coutinho (7) akipasha na wenzake. Uongozi wa klabu ya Young Africans leo umefanya mkutano na waandishi wa habari juu na kusema kilichofanywa na waandaji wa michuano ya Kombe la Vilabu Bingwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kuiondoa timu isishiriki ni cha kushangaza sana na kinadidimiza soka kwa ujumla. Katibu Mkuu wa Young Africans Bw Beno Njovu amesema walipata barua ya mwaliko wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHsCyXlOcCjbVKxsf4yRLI9H9iN1tADWFpiqlc7z2ANb7eBs9yvqYTWNCZQtwHcHEADk1AByvmhFUbwl1GGiCuGk/TFF.jpg?width=650)
TFF: Atakayetuvuruga kama Okwi atakiona!
Emmanuel Okwi. Na Sweetbert Lukonge
UONGOZI wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), umesema kuwa hautavumilia kuona wafanyakazi na wanachama wake wakivunja taratibu na kanuni ilizojiwekea, kwa faida ya maslahi yao binafsi. Hatua hiyo ya TFF imekuja ikiwa ni siku chache baada ya shirikisho hilo kumlalamikia mfanyakazi wake mmoja katika Kamati ya Maadili kutokana na kufanya udanganyifu katika suala la usajili wa mshambuliaji wa...
10 years ago
Mwananchi09 Jul
TFF yachemsha kwa Messi, Banda, Okwi
Katibu mkuu wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Angetile Osiah amesema vitendo vinavyoendelea kufanywa vya kuvunja mikataba ya wachezaji na kuwatangaza kuwa huru ni hatari kwa maendeleo ya mpira na vinakiuka kanuni za Fifa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb1hYWCko96M7moL8LXAvlpMZ9IfClzBLfTtGNogltLVBF4jPOScaOxySR2LS4EgsKwmyn9YGzVlrjZdx9LSIw2o/jina.gif?width=650)
JINA LA OKWI LARUDISHWA KWENYE KAMATI YA TFF
Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limemlalamikia mwanafamilia wa soka mmoja kwa Kamati ya Maadili kutokana na udanganyifu alioufanya katika suala la usajili wa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Tayari TFF imepata ufafanuzi kutoka Fifa kwamba Okwi anaweza kuendelea kuichezea Yanga, lakini TFF imeibuka tena na kudai Sabri Mtulla alilidanganya shirikisho hilo kuhusu usajili wa Mganda huyo. Akizungumza...
10 years ago
Michuzi09 Jul
TFF YAUPONGEZA UONGOZI WA COASTAL UNION
Makamu wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Wallace Karia ametuma salama za pongezi kwa uongozi mpya wa klabu ya Coastal Union uliochaguliwa mwishoni mwa wiki.
Katika salamu zake kwa Mwenyekiti mpya wa klabu hiyo Dr. Twaha, Karia amesema anawapa pongezi wa kuchaguliwa na kupewa heshima hiyo na wanachama wa Coastal Union katika kuitumikia klabu yao.
“Kikubwa wanachopaswa kufanya kwa sasa ni kuodokana na makundi ya aina yoyote, na kuifanya Coastal Union kuwa kitu kimoja na...
Katika salamu zake kwa Mwenyekiti mpya wa klabu hiyo Dr. Twaha, Karia amesema anawapa pongezi wa kuchaguliwa na kupewa heshima hiyo na wanachama wa Coastal Union katika kuitumikia klabu yao.
“Kikubwa wanachopaswa kufanya kwa sasa ni kuodokana na makundi ya aina yoyote, na kuifanya Coastal Union kuwa kitu kimoja na...
11 years ago
GPLTFF HAITAMBUI MABADILIKO YA UONGOZI WA COASTAL UNION
Kikosi cha timu ya Coastal Union. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) halitambui mabadiliko ya uongozi ndani ya Coastal Union yanayodaiwa kufanywa na mkutano wa wanachama wa klabu hiyo uliofanyika hivi karibuni. Uongozi wa Coastal Union uliochaguliwa na mkutano wa uchaguzi wa klabu hiyo ndiyo ambao tunautambua, na tutaendelea kufanya nao kazi, na sio uongozi mwingine wowote ule. Tunapenda kuwakumbusha wanachama wetu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FE61DWE-tbI/U-s0K5uYcOI/AAAAAAAF_IY/dIqCsRzCW5A/s72-c/Nembo-ya-TFF.jpg)
TFF HAITAMBUI MABADILIKO YA UONGOZI COASTAL UNION
![](http://2.bp.blogspot.com/-FE61DWE-tbI/U-s0K5uYcOI/AAAAAAAF_IY/dIqCsRzCW5A/s1600/Nembo-ya-TFF.jpg)
Uongozi wa Coastal Union uliochaguliwa na mkutano wa uchaguzi wa klabu hiyo ndiyo ambao tunautambua, na tutaendelea kufanya nao kazi, na sio uongozi mwingine wowote ule.
Tunapenda kuwakumbusha wanachama wetu (ikiwemo Coastal Union) kuheshimu katiba ya TFF pamoja na katiba zao, kwani hazitambui mapinduzi ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania