Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA WAISHANGAA CECAFA

Kiungo mpya wa Yanga, Mbrazil, Coutinho (7) akipasha na wenzake. Uongozi wa klabu ya Young Africans leo umefanya mkutano na waandishi wa habari juu na kusema kilichofanywa na waandaji wa michuano ya Kombe la Vilabu Bingwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kuiondoa timu isishiriki ni cha kushangaza sana na kinadidimiza soka kwa ujumla. Katibu Mkuu wa Young Africans Bw Beno Njovu amesema walipata barua ya mwaliko wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Uongozi Yanga waishangaa TFF kumzuia Okwi

>Uongozi wa Yanga umeshangazwa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumzuia mshambuliaji wao Emmanuel Okwi kucheza Ligi Kuu inayoanza kesho.

 

11 years ago

TheCitizen

Cecafa to discipline Yanga

The Council of East and Central Africa Football Associations (Cecafa) is set to discipline Mainland giants Young Africans allegedly for chronic ‘misbehaviour’ in the past four years.

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga protest Cecafa option

Young Africans are refusing to live with consequences of their decision. They are already crying foul over the Council of East and Central Africa Football Association (Cecafa) stance.

 

11 years ago

Mwananchi

Jeuri ya Yanga yaitesa Cecafa

Baada ya kuiondoa Yanga kwenye michuano ya Kombe la Kagame, Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), limesema litaijadili na kisha kuichukulia hatua kali klabu hiyo.

 

11 years ago

Mtanzania

CECAFA yaiondoa Yanga Kagame

Marcio Maximo

Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limeiondoa timu ya Yanga kwenye michuano ya Kombe la Kagame, kutokana na kupeleka kikosi cha timu ya vijana, jambo ambalo ni kinyume na kanuni, hivyo imeiteua Azam FC kuchukua nafasi yake.

Katika michuano hiyo iliyoepangwa kuanza Jumamosi hadi Agosti 23, jijini Kigali, Rwanda na Yanga ilipangwa kufungua pazia kwa kucheza dhidi ya wenyeji...

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga, Rayon in Cecafa opener

 Mainland giants Young Africans will launch their 2014 Cecafa Kagame Cup campaign against hosts Rayon Sport on August 8 at the Amahoro Stadium in Kigali, Rwanda.

 

10 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Yanga kumenyana na Gor Mahia

Huku michuano ya kombe la CECAFA mwaka huu ikianza siku ya jumamosi mjini Dar es Salaam,mechi tatu zitachezwa lakini kati yazo hakuna iliojaa mbwembwe kama ile ya Yanga ya Tanzania dhidi ya Gor Mahia ya Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Gor Mahia yainyamazisha Yanga

Mabingwa wa ligi ya soka nchini Kenya Gor Mahia walitoka nyuma na kuinyamazisha timu ya yanga kutoka Tanzania 2-1 katika mechi yao ya ufunguzi wa kombe la CECAFA katika uwanja wa kitaifa wa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mtanzania

Cecafa yachemka kuipa adhabu Yanga

Katibu wa CECAFA, Nicholas Musonye

Katibu wa CECAFA, Nicholas Musonye

Na Zaituni Kibwana, Kigali

BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limeshindwa kuipa adhabu timu ya Yanga, kwa kosa la kugoma kuwasilisha timu kwenye michuano ya Kombe la Kagame.

Awali baraza hilo chini ya Katibu wake, Nicholas Musonye, lilitangaza kuipa adhabu timu hiyo kwa kitendo chake cha kupeleka timu B katika michuano hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa, Mwenyekiti wa CECAFA, Leodegar Tenga, alisema hakuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani