YANGA WAISHANGAA CECAFA
Kiungo mpya wa Yanga, Mbrazil, Coutinho (7) akipasha na wenzake. Uongozi wa klabu ya Young Africans leo umefanya mkutano na waandishi wa habari juu na kusema kilichofanywa na waandaji wa michuano ya Kombe la Vilabu Bingwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kuiondoa timu isishiriki ni cha kushangaza sana na kinadidimiza soka kwa ujumla. Katibu Mkuu wa Young Africans Bw Beno Njovu amesema walipata barua ya mwaliko wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Uongozi Yanga waishangaa TFF kumzuia Okwi
11 years ago
TheCitizen10 Aug
Cecafa to discipline Yanga
11 years ago
TheCitizen07 Aug
Yanga protest Cecafa option
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Jeuri ya Yanga yaitesa Cecafa
11 years ago
Mtanzania06 Aug
CECAFA yaiondoa Yanga Kagame
![Marcio Maximo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Marcio-Maximo1.jpg)
Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limeiondoa timu ya Yanga kwenye michuano ya Kombe la Kagame, kutokana na kupeleka kikosi cha timu ya vijana, jambo ambalo ni kinyume na kanuni, hivyo imeiteua Azam FC kuchukua nafasi yake.
Katika michuano hiyo iliyoepangwa kuanza Jumamosi hadi Agosti 23, jijini Kigali, Rwanda na Yanga ilipangwa kufungua pazia kwa kucheza dhidi ya wenyeji...
11 years ago
TheCitizen23 Jul
Yanga, Rayon in Cecafa opener
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
CECAFA:Yanga kumenyana na Gor Mahia
10 years ago
BBCSwahili19 Jul
CECAFA:Gor Mahia yainyamazisha Yanga
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Cecafa yachemka kuipa adhabu Yanga
![Katibu wa CECAFA, Nicholas Musonye](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Nicholas-Musonye.jpg)
Katibu wa CECAFA, Nicholas Musonye
Na Zaituni Kibwana, Kigali
BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limeshindwa kuipa adhabu timu ya Yanga, kwa kosa la kugoma kuwasilisha timu kwenye michuano ya Kombe la Kagame.
Awali baraza hilo chini ya Katibu wake, Nicholas Musonye, lilitangaza kuipa adhabu timu hiyo kwa kitendo chake cha kupeleka timu B katika michuano hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa, Mwenyekiti wa CECAFA, Leodegar Tenga, alisema hakuna...