Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CECAFA yaiondoa Yanga Kagame

Marcio Maximo

Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limeiondoa timu ya Yanga kwenye michuano ya Kombe la Kagame, kutokana na kupeleka kikosi cha timu ya vijana, jambo ambalo ni kinyume na kanuni, hivyo imeiteua Azam FC kuchukua nafasi yake.

Katika michuano hiyo iliyoepangwa kuanza Jumamosi hadi Agosti 23, jijini Kigali, Rwanda na Yanga ilipangwa kufungua pazia kwa kucheza dhidi ya wenyeji...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Kagame Cup: Yanga risk Cecafa wrath

>Mainland giants Young Africans are likely to face a Cecafa ban for unveiling a youth side for this year’s Kagame Cup tournament, it has been revealed.

 

10 years ago

Vijimambo

CECAFA YATOA RATIBA YA KAGAME 2015, YANGA KUKATA UTEPE NA GOR MAHIA TOKA KENYA


Rais wa Baraza la Vyama vya Soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Leodgar Tenga leo ametangaza kuanza kwa michuano ya kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Julai 18, 2015 na kumalizika Agosti 2 mwaka huu jijii Dar es salaam.
Akiongea na waandishi wa habari leo katika ofisi za TFF zilizopo Karume, Tenga ameishukuru serikali ya Tanzania na TFF kwa kukubali kuwa wenyeji wa michuano hiyo mikubwa, vyombo vya habari na wapenzi wa mpira wa miguu nchini kwa sapoti yao na kuipokea kwa mikono...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

Cecafa Kagame Cup live on SuperSport

This year’s Cecafa Kagame Cup will be live on your world of champions from July 18 to August 2.All matches will be live on SuperSport as the broadcaster reaffirms its commitment to East Africa’s premier club competition with two live matches every day from the national stadium in Dar es Salaam.

There will be great prizes for the stand out performers with the player of the tournament, top goal scorer, best goalkeeper, defender and midfielder each getting a DStv Explora.

The man of the match in...

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Cecafa Kagame Cup postponed

>Soccer enthusiasts will have to wait a bit longer before witnessing this year’s Cecafa Kagame Cup, it has been revealed.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam wasiwaangushe CECAFA ‘Kagame Cup’

MOJA ya habari zilizopo katika kurasa za michezo za gazeti hili la leo, ni hatua ya Baraza la Vyama vya Soka kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kuwaalika...

 

11 years ago

Michuzi

2014 CECAFA- KAGAME CUP GROUPS RELEASED

The 40Th Edition of  the The Council of East and Central Africa Football Associations, (CECAFA)-KAGAME Club Cup Championship draws took place in Kigali Capital City, Rwanda this Friday with CECAFA, FERWAFA, SUPPERSPORT and Top Government officials witnessing the ceremony.
 The tournament which has attracted a record 14 clubs will now kick off on August 8th and not 9th and end on 24th, one day more from the earlier schedule. A total of 34 matches - all to be shown live by Supersport will be...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani