TFF yachemsha kwa Messi, Banda, Okwi
Katibu mkuu wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Angetile Osiah amesema vitendo vinavyoendelea kufanywa vya kuvunja mikataba ya wachezaji na kuwatangaza kuwa huru ni hatari kwa maendeleo ya mpira na vinakiuka kanuni za Fifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
TFF: Messi ni mchezaji huru
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Sakata la Messi latinga TFF
ABDUCADO EMMANUEL NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
SAKATA la winga wa timu ya Simba, Ramadhan Singano ‘Messi’, akidai mkataba wake umechezewa na klabu yake hiyo sasa limefika rasmi kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ili utata wake kumalizwa.
Messi amekuwa na mvutano mkubwa na klabu yake akidai mkataba wake wa miaka miwili umechezewa kwa kuongezewa mwaka mmoja zaidi unaoisha Julai mwakani, tofauti na ule alionao yeye unaomalizika mwezi ujao.
Katibu Msaidizi wa Chama cha Wanasoka Tanzania...
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Simba SC yaitwisha TFF zigo la Abdi Banda
KLABU ya Simba imesema inasubiri maamuzi yatakayotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), juu ya usajili wa beki wao Abdi Banda aliyesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili. Banda aliyesajiliwa Simba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHsCyXlOcCjbVKxsf4yRLI9H9iN1tADWFpiqlc7z2ANb7eBs9yvqYTWNCZQtwHcHEADk1AByvmhFUbwl1GGiCuGk/TFF.jpg?width=650)
TFF: Atakayetuvuruga kama Okwi atakiona!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlROni6CA8nxnh5yUMHVYuxpEmfIlnWFX2Oli1vEr0paRncKhKgvKATQ2St5s7rwZMbxw2dLIpbB3*UgViOw7A04Y/dfgdyy.gif?width=650)
TFF: Messi yupo huru kuondoka Simba
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Uongozi Yanga waishangaa TFF kumzuia Okwi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb1hYWCko96M7moL8LXAvlpMZ9IfClzBLfTtGNogltLVBF4jPOScaOxySR2LS4EgsKwmyn9YGzVlrjZdx9LSIw2o/jina.gif?width=650)
JINA LA OKWI LARUDISHWA KWENYE KAMATI YA TFF
10 years ago
TheCitizen08 Jul
SOCCER: TFF: ‘Messi’ free to leave giants Simba
10 years ago
Vijimambo09 Jun
NDOA YA SINGANO 'MESSI' WA SIMBA YA FUNYWA RASMI NA TFF.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/SINGAN.jpg)
Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi'.
LEO sakata la kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' lilikuwa linasikilizwa kwenye ofisi za TFF ambapo pandehizo mbili zilikutana chini ya TFF.Baada ya kikao kirefu muafaka uliofikiwa chini ya TFF kuvunjwa kwa mikataba yote miwili ambayo inatofautiana.
Kikao kimeamua mkataba alionao Messi uvunjwe na mkataba walionao Simba uvunjwe waingie makubaliano mapya.
Upande wa Singano haujakubaliana na maamuzi hayo kwa sababu unamtaka...