Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOCCER: TFF: ‘Messi’ free to leave giants Simba

>The tug-of-war between Simba Sports Club and striker Ramadhan “Messi” Singano over the duration of the players’ contract is finally over.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TFF: Messi yupo huru kuondoka Simba

Kiungo wa Simba, Ramadhan Singano ‘Messi. Said Ally, Dar es Salaam
RASMI! Baada ya kutokea sintofahamu kwa takribani mwezi mmoja, hatimaye Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imetoa tamko kwamba kiungo wa Simba, Ramadhan Singano ‘Messi’, kwa sasa yupo huru kutokana na klabu hiyo kuuvunja mkataba wake. Kwa muda wote huo, Simba ilikuwa kwenye mgogoro wa...

 

10 years ago

Vijimambo

NDOA YA SINGANO 'MESSI' WA SIMBA YA FUNYWA RASMI NA TFF.


Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi'.
LEO sakata la kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' lilikuwa linasikilizwa kwenye ofisi za TFF ambapo pandehizo mbili zilikutana chini ya TFF.Baada ya kikao kirefu muafaka uliofikiwa chini ya TFF kuvunjwa kwa mikataba yote miwili ambayo inatofautiana.
Kikao kimeamua mkataba alionao Messi uvunjwe na mkataba walionao Simba uvunjwe waingie makubaliano mapya.
Upande wa Singano haujakubaliana na maamuzi hayo kwa sababu unamtaka...

 

11 years ago

TheCitizen

Dar giants incur TFF wrath

>Soccer giants Simba and Young Africans have been fined Sh25m for vandalizing property at the National Stadium.

 

11 years ago

TheCitizen

What the TFF needs to do to improve soccer

One of the problems that afflicted Simba and Young Africans Sports Clubs during the reign of the past Tanzania Football Federation, TFF, was their failure to adhere to contracts with some of their players and coaches.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Clubs up in arms with TFF

>The tug-of-war between the Tanzania Football Federation (TFF) and Mainland Premier League clubs over deduction of five per cent from the topflight sponsorship package took a new twist yesterday when the clubs threatened to boycott the league.

 

10 years ago

Mtanzania

Sakata la Messi latinga TFF

MESSI GOALABDUCADO EMMANUEL NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
SAKATA la winga wa timu ya Simba, Ramadhan Singano ‘Messi’, akidai mkataba wake umechezewa na klabu yake hiyo sasa limefika rasmi kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ili utata wake kumalizwa.
Messi amekuwa na mvutano mkubwa na klabu yake akidai mkataba wake wa miaka miwili umechezewa kwa kuongezewa mwaka mmoja zaidi unaoisha Julai mwakani, tofauti na ule alionao yeye unaomalizika mwezi ujao.
Katibu Msaidizi wa Chama cha Wanasoka Tanzania...

 

10 years ago

BBCSwahili

TFF: Messi ni mchezaji huru

Utata uliogubika mkataba wa Ramadhani Singano dhidi ya timu yake ya Simba ,umefikia tamati baada ya TFF kusema yuko huru .

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: TFF eyes Afcon hosting rights

>The Tanzania Football Federation (TFF) has made a preliminary bid to host the 2017 Africa Cup of Nations finals, just days after Libya surrendered its right to host the event.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Stage set for derby as TFF unveils fees

>As derby fever grows heading into the Young Africans-Simba SC clash, the Tanzania Football Federation (TFF) has unveiled entrance fees with the lowest pegged at Sh7,000.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani