TFF: Messi yupo huru kuondoka Simba
![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlROni6CA8nxnh5yUMHVYuxpEmfIlnWFX2Oli1vEr0paRncKhKgvKATQ2St5s7rwZMbxw2dLIpbB3*UgViOw7A04Y/dfgdyy.gif?width=650)
Kiungo wa Simba, Ramadhan Singano ‘Messi. Said Ally, Dar es Salaam RASMI! Baada ya kutokea sintofahamu kwa takribani mwezi mmoja, hatimaye Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imetoa tamko kwamba kiungo wa Simba, Ramadhan Singano ‘Messi’, kwa sasa yupo huru kutokana na klabu hiyo kuuvunja mkataba wake. Kwa muda wote huo, Simba ilikuwa kwenye mgogoro wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
TFF: Messi ni mchezaji huru
10 years ago
TheCitizen08 Jul
SOCCER: TFF: ‘Messi’ free to leave giants Simba
10 years ago
Vijimambo09 Jun
NDOA YA SINGANO 'MESSI' WA SIMBA YA FUNYWA RASMI NA TFF.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/SINGAN.jpg)
Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi'.
LEO sakata la kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' lilikuwa linasikilizwa kwenye ofisi za TFF ambapo pandehizo mbili zilikutana chini ya TFF.Baada ya kikao kirefu muafaka uliofikiwa chini ya TFF kuvunjwa kwa mikataba yote miwili ambayo inatofautiana.
Kikao kimeamua mkataba alionao Messi uvunjwe na mkataba walionao Simba uvunjwe waingie makubaliano mapya.
Upande wa Singano haujakubaliana na maamuzi hayo kwa sababu unamtaka...
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Fabregas:Messi hawezi kuondoka Barcelona
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Musharaf huru kuondoka Pakistan
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oYC2ZJwDNBI/VAyMc79F7aI/AAAAAAAGhJs/sN79hbNTLK0/s72-c/IMG_2212.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZ: MKATABA WA YANGA, OKWI HAUPO NA SASA YUPO HURU KUCHEZEA TIMU YOYOTE AITAKAYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-oYC2ZJwDNBI/VAyMc79F7aI/AAAAAAAGhJs/sN79hbNTLK0/s1600/IMG_2212.jpg)
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Sakata la Messi latinga TFF
ABDUCADO EMMANUEL NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
SAKATA la winga wa timu ya Simba, Ramadhan Singano ‘Messi’, akidai mkataba wake umechezewa na klabu yake hiyo sasa limefika rasmi kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ili utata wake kumalizwa.
Messi amekuwa na mvutano mkubwa na klabu yake akidai mkataba wake wa miaka miwili umechezewa kwa kuongezewa mwaka mmoja zaidi unaoisha Julai mwakani, tofauti na ule alionao yeye unaomalizika mwezi ujao.
Katibu Msaidizi wa Chama cha Wanasoka Tanzania...
10 years ago
Mwananchi09 Jul
TFF yachemsha kwa Messi, Banda, Okwi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6ZGY3biuupQ52VNuw0z0ZUG*J2sAJlObdYhrjnss03QSY4YBMVseqVlt0M94I1C6mC*xGNCTi-fSqu13asWfxMY/tambwe.jpg?width=650)
Tambwe atangaza kuondoka Simba