BREAKING NEWZZZZZZ: MKATABA WA YANGA, OKWI HAUPO NA SASA YUPO HURU KUCHEZEA TIMU YOYOTE AITAKAYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-oYC2ZJwDNBI/VAyMc79F7aI/AAAAAAAGhJs/sN79hbNTLK0/s72-c/IMG_2212.jpg)
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana leo (Septemba 7 mwaka huu) na kupitia masuala mbalimbali ikiwemo mgogoro wa kimkataba kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Emmanuel Okwi (pichani kushoto akipokea jezi baada ya kusajiliwa na Simba). Mkataba huo ulipitiwa na Kamati ikiwemo kumsikiliza mchezaji mwenyewe pamoja na upande wa Yanga, na kuridhika kuwa mkataba kati ya pande hizo umevunjika. Ukiwa ni mkataba wa pande mbili, Yanga ilikiuka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Fifa yabariki Okwi kuchezea Yanga
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oE1VgM-1ZGs/UvzUsCg4V3I/AAAAAAAFM8U/X2EdMRAbQmk/s72-c/unnamed+(19).jpg)
BREKING NYUUUZZZZZZ: Emmanuel Okwi ruksa kuchezea yanga - FIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-oE1VgM-1ZGs/UvzUsCg4V3I/AAAAAAAFM8U/X2EdMRAbQmk/s1600/unnamed+(19).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8XqDSRCV78U/U9IjYvpR1JI/AAAAAAAF5_M/O7lQJtirSd0/s72-c/2388169f330dc7636a9f20f7877a60c1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3tO5Ie398Qc/UyhG-R4VJuI/AAAAAAAFUiE/DehAB55wWp0/s72-c/image.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZ:TUKIO LA AJALI MIKESE HIVI PUNDE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-3tO5Ie398Qc/UyhG-R4VJuI/AAAAAAAFUiE/DehAB55wWp0/s1600/image.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Kxo8dNzMEB4/UyhG_kDU3II/AAAAAAAFUiU/5rsX72CDhTc/s1600/image_1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iPRh6qd3ulE/UyhG-yTUC7I/AAAAAAAFUiI/7fvAw4dTa34/s1600/image_2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5ee7rK-CZzE/UyhHQ8IgFgI/AAAAAAAFUik/AUzC2al2UfY/s1600/image_4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5g-jQw4a12g/UyhHTVEJwOI/AAAAAAAFUis/3t7ZkpWVlh0/s1600/image_5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CHWTazc92yM/VW7PmNCElwI/AAAAAAAHbkA/Vs14UYrUwyI/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Kolo kuacha kuchezea Timu ya Taifa
10 years ago
StarTV03 Dec
Kolo kustaafu kuchezea timu ya Taifa.
Beki wa timu ya taifa ya Ivory Coast Kolo Habib Toure, ametangaza kustaafu soka la kimataifa. Mara baada ya kumalizika kwa Michuano ya Kombe la Mataifa huru barani Afrika mwakani
Nyota huyo mwenye miaka 33- anayecheza klabu ya Liverpool ya Uingereza ameitumikia timu yake ya taifa mara 109.
Alikuwa mmoja wa wachezaji walikuwa kwenye kikosi kilichofuzu kucheza Michezo ya Kombe la Mataifa huru mwaka 2015 inayotarajiwa kufanyika kuanzia17 Januari mpaka 8 Februari huko Equatorial Guinea.
“Nina...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlROni6CA8nxnh5yUMHVYuxpEmfIlnWFX2Oli1vEr0paRncKhKgvKATQ2St5s7rwZMbxw2dLIpbB3*UgViOw7A04Y/dfgdyy.gif?width=650)
TFF: Messi yupo huru kuondoka Simba