Kolo kuacha kuchezea Timu ya Taifa
Beki wa timu ya taifa ya Ivory Coast Kolo Habib Toure, ametangaza kustaafu soka la kimataifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV03 Dec
Kolo kustaafu kuchezea timu ya Taifa.
Beki wa timu ya taifa ya Ivory Coast Kolo Habib Toure, ametangaza kustaafu soka la kimataifa. Mara baada ya kumalizika kwa Michuano ya Kombe la Mataifa huru barani Afrika mwakani
Nyota huyo mwenye miaka 33- anayecheza klabu ya Liverpool ya Uingereza ameitumikia timu yake ya taifa mara 109.
Alikuwa mmoja wa wachezaji walikuwa kwenye kikosi kilichofuzu kucheza Michezo ya Kombe la Mataifa huru mwaka 2015 inayotarajiwa kufanyika kuanzia17 Januari mpaka 8 Februari huko Equatorial Guinea.
“Nina...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8mRaq_Brbso/XsD1bTJeOtI/AAAAAAALqiM/nxaNsPjrQqI6dVmeRtR1YXZmyLcEYnCtACLcBGAsYHQ/s72-c/15490986-15a4-46a3-8bd5-763f746c6d4d.jpg)
BOB MAKANI- MTANZANIA KIPANGA ALIYEKUWA NA TALANTA LUKUKI NA KUCHEZEA TIMU YA TAIFA YA UGANDA 'GOSSAGE CUP'.
By MZEE WA _ATIKALI ✍️✍️✍️
1. Usuli
Bongolanders walimjua marehemu BOB NYANGA MAKANI kama Mwanasiasa mahiri. Lakini, wengi hawajui kwamba BOB alikuwa ni kipanga aliyejaaliwa talanta lukuki na alifanya mambo mengi ya kipekee na yasiyo mfanowe ikiwemo kuichezea Timu ya Taifa ya Uganda kwenye michuano ya "Gossage Cup" kabla ya Uhuru, licha ya kuwa Mtanzania!.
Hivyo, ATIKALI hii inammyambua marehemu BOB NYANGA MAKANI toka anazaliwa hadi umauti unamfika huku ikitanabaisha talanta zake hizo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oYC2ZJwDNBI/VAyMc79F7aI/AAAAAAAGhJs/sN79hbNTLK0/s72-c/IMG_2212.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZ: MKATABA WA YANGA, OKWI HAUPO NA SASA YUPO HURU KUCHEZEA TIMU YOYOTE AITAKAYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-oYC2ZJwDNBI/VAyMc79F7aI/AAAAAAAGhJs/sN79hbNTLK0/s1600/IMG_2212.jpg)
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Simwanda avunja rekodi ya Gaga kuchezea Taifa Stars
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s72-c/MMGM1237.jpg)
Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s1600/MMGM1237.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F839fh-xuUg/VDqdD20esxI/AAAAAAAGplE/pR53zlJRhuk/s1600/MMGM1069.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DVHg3Z8zODY/VDqcQ8bQxUI/AAAAAAAGpkk/VikrHaNIwEg/s1600/MMGM1162.jpg)
11 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA CHESS YAKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA KWENDA KUSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA NCHINI NORWAY
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYfv6Yi4Aq4sE69dtL2zVytzJLn5244ic0E3KV46D8JnQdac*wWovSNVw6Is9yAOfzFNJTKGhjquqvUHhwRsOY6/1.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NKONE, MWAIPAJA, MWASONGWE KUACHA.. HISTORIA TAIFA
9 years ago
Michuzi05 Jan
Serikali yataka hospitali binafsi kuacha kutumia vibaya fedha za Mfuko wa Taifa wa Bima za Afya.
Serikali imepiga marufuku tabia ya baadhi ya hospitali au taasisi binafsi za afya kuwapima wagonjwa wanaotoka hospitali za Serikali vipimo ambavyo hawakuagizwa kuvipima na madaktari kutoka hospitali hizo kwani kufanya hivyo ni kuiongezea Serikali gharama zisizo la lazima.
Tamko hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangala wakati alipofanya ziara ya kutembelea leo kwenye Taasisi ya Saratani ya Ocean...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZdCF7IMZVXAPrSUqGzHnG63H*meeovL1ZMRKnUHLL1b1UvGKf-6lp02LZLpxdlNtSkyKB4V0vQ-FbSbaTemGP38/FIFA_logo.jpg?width=650)
TIMU 2O BORA ZA TAIFA DUNIANI