Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simwanda avunja rekodi ya Gaga kuchezea Taifa Stars

Kinda chipukizi wa Taifa Stars, Emmanuel Simwanda anayechezea African Lyon ameweka rekodi binafsi baada ya kuwa mchezaji wa kwanza wa Ligi Daraja la Kwanza kuitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kwa zaidi ya miaka 15 iliyopita.Mara ya mwisho mchezaji asiye kwenye ligi  kucheza kwenye timu ya Taifa ilikuwa mwishoni

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MKENYA AVUNJA REKODI BERLIN

Dennis Kimetto. MWANARIADHA raia wa Kenya, Dennis Kimetto leo amevunja rekodi ya mbio za marathon jijini Berlin nchini Ujerumani kwa ushindi wake wa saa 2, dakika 2 na sekunde 57. Kijana huyo mwenye umri wa miaka 30, amevunja rekodi hiyo akipunguza sekunde 26 katika rekodi iliyowekwa na Mkenya mwenzake Wilson Kipsang ya 2: 03: 23 katika mashindano hayo yaliyofanyika mwaka jana jijini Berlin. Kimetto amesema: "najisikia vizuri...

 

9 years ago

BBCSwahili

Lewandowski avunja rekodi ya mabao

Robert Lewandowski ameweka rekodi ya mabao matano yaliyofungwa kwa kasi zaidi na mchezaji mmoja Bundesliga.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ronaldo avunja rekodi ya Messi

Christiano Ronaldo amevunja rekodi ya ufungaji mabao mengi katika ligi ya mabingwa barani Uropa

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AVUNJA REKODI MAENEO MENGI

WIKI iliyopita katika simulizi hii ya Diamond  tuliishia pale ambapo staa huyo aliongelea namna wimbo wake wa Mbagala ulivyopendwa kiasi cha kumfanya  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ‘JK’ kumteua kuwa mburudishaji kwenye ziara za kampeni ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, mwaka 2010.Wiki hii tunaendelea… Mkali wa Bongo fleva Nasib Abdul Diamond Platinumz. Oktoba 2, mwaka 2010, Diamond...

 

10 years ago

BBCSwahili

Messi avunja rekodi ya kombe la Ulaya

Tunamuangazia Lionel Messi aliyevunja rekodi ya mabao mengi katika dimba la vilabu bingwa Ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gatlin avunja rekodi ya Diamond League

Mwanariadha wa Marekani Justin Gatlin ameishinda rekodi ya Usain Bolt na kuweka rekodi mpya katika mbio za Diamond League za mita 100.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rooney avunja rekodi ya magoli England

Wayne Rooney ameivunja rekodi ya upachikaji mabao ya muda wote katika timu ya taifa ya England, iliyokuwa ikishikiliwa na Sir Bobby Charlton.

 

11 years ago

BBCSwahili

Klose avunja rekodi ya ufungaji mabao

Mshambulizi wa Ujerumani Miroslav Klose amevunja rekodi ya kuwa mfungaji mabao mengi zaidi ya kombe la dunia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani