Rooney avunja rekodi ya magoli England
Wayne Rooney ameivunja rekodi ya upachikaji mabao ya muda wote katika timu ya taifa ya England, iliyokuwa ikishikiliwa na Sir Bobby Charlton.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Africanjam.Com
SUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR

10 years ago
BBCSwahili20 Aug
Rooney : magoli yatakuja tu!
Mchezaji wa Manchester United Wayne Rooney amesema ''magoli yatakuja'' baada ya kuanza msimu mpya bila ya kufunga goli lolote.
11 years ago
GPL
ROONEY NAHODHA MPYA ENGLAND
KOCHA wa England, Roy Hodgson amemteua mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kuwa nahodha mpya wa timu hiyo ya taifa. Rooney mwenye miaka 28 amechukua mikoba iliyoachwa na kiungo wa Liverpool, Steven Gerrard aliyestaafu. Rooney aliwahi kuvaa kitambaa cha unahodha akiiongoza England kwenye mechi ya kufuzu kucheza Kombe la Dunia dhidi ya San Marino, Oktoba 2012. Staa huyo amewapiku wachezaji wenzake kipa Joe Hart na beki...
10 years ago
Vijimambo
MESSI AFIKIA REKODI YA MAGOLI YA KUFUNGA KWENYE UEFA CHAMPIONS LEAGUE

Mshambuliaji kutoka nchini Argentina na klabu ya Barcelona Lionel Andrés "Leo" Messi Cuccittini amekuwa wa kwanza kuifikia rekodi ya ufungaji mabao mengi kwenye michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, iliyokuwa inashikiliwa na aliyekua mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid pamoja na Schalke 04 ya nchini Ujerumani Raúl González Blanco.
Messi ameifikia rekodi hiyo usiku wa kuamkia hii leo baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili katika mchezo wa mzunguuko wa nne wa michuano ya ligi ya...
10 years ago
TheCitizen17 Nov
I won’t walk away from England, vows Rooney
England captain Wayne Rooney has pledged that he will never follow the examples of former team-mates such as Steven Gerrard and Rio Ferdinand by retiring from international football.
10 years ago
GPL
WAYNE ROONEY AIFUNGIA ENGLAND GOLI LA 50
San Marino na England, mechi ya kufaulu -UEFA-EURO-2016 Slovenia vs England. Goli lingine la Wayne Rooneys kwa timu yake ya England.…
10 years ago
Africanjam.Com
WAYNE ROONEY REMAINS THE TALISMAN, BUT ENGLAND NEED MORE GOALS

Barring injury, September against San Marino should see Rooney surpass Gary Lineker, level on 48,...
11 years ago
Bongo528 Aug
Rooney achaguliwa kuwa nahodha mpya wa England
Kocha wa England, Roy Hodgson amemteua mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kuwa nahodha mpya wa timu hiyo ya taifa. Rooney mwenye miaka 28 ambae pia ni nahodha ya timu ya Manchester United, amechukua mikoba iliyoachwa na kiungo wa Liverpool, Steven Gerrard aliyestaafu. Rooney aliwahi kuvaa kitambaa cha unahodha akiiongoza England kwenye mechi ya kufuzu […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania