Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rooney avunja rekodi ya magoli England

Wayne Rooney ameivunja rekodi ya upachikaji mabao ya muda wote katika timu ya taifa ya England, iliyokuwa ikishikiliwa na Sir Bobby Charlton.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Africanjam.Com

SUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR

Wayne Rooney has been named England Player of the Year for 2015, retaining the title he won in 2014.The Manchester United forward earned 37% of the votes cast by members of the England Supporters Club and has now won it four times.England captain Rooney, 30, scored five goals last year, overtaking Sir Bobby Charlton as England's record goalscorer during Euro 2016 qualification.Stoke City goalkeeper Jack Butland was voted Under-21 Player of the Year.In the vote for the senior player of the...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rooney : magoli yatakuja tu!

Mchezaji wa Manchester United Wayne Rooney amesema ''magoli yatakuja'' baada ya kuanza msimu mpya bila ya kufunga goli lolote.

 

10 years ago

GPL

ROONEY NAHODHA MPYA ENGLAND

KOCHA wa England, Roy Hodgson amemteua mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kuwa nahodha mpya wa timu hiyo ya taifa. Rooney mwenye miaka 28 amechukua mikoba iliyoachwa na kiungo wa Liverpool, Steven Gerrard aliyestaafu. Rooney aliwahi kuvaa kitambaa cha unahodha akiiongoza England kwenye mechi ya kufuzu kucheza Kombe la Dunia dhidi ya San Marino, Oktoba 2012. Staa huyo amewapiku wachezaji wenzake kipa Joe Hart na beki...

 

10 years ago

Vijimambo

MESSI AFIKIA REKODI YA MAGOLI YA KUFUNGA KWENYE UEFA CHAMPIONS LEAGUE


Mshambuliaji kutoka nchini Argentina na klabu ya Barcelona Lionel Andrés "Leo" Messi Cuccittini amekuwa wa kwanza kuifikia rekodi ya ufungaji mabao mengi kwenye michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, iliyokuwa inashikiliwa na aliyekua mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid pamoja na Schalke 04 ya nchini Ujerumani Raúl González Blanco.
Messi ameifikia rekodi hiyo usiku wa kuamkia hii leo baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili katika mchezo wa mzunguuko wa nne wa michuano ya ligi ya...

 

10 years ago

TheCitizen

I won’t walk away from England, vows Rooney

England captain Wayne Rooney has pledged that he will never follow the examples of former team-mates such as Steven Gerrard and Rio Ferdinand by retiring from international football.

 

9 years ago

GPL

WAYNE ROONEY AIFUNGIA ENGLAND GOLI LA 50

San Marino na England, mechi ya kufaulu -UEFA-EURO-2016 Slovenia vs England. Goli lingine la Wayne Rooneys kwa timu yake ya England.…

 

10 years ago

Africanjam.Com

WAYNE ROONEY REMAINS THE TALISMAN, BUT ENGLAND NEED MORE GOALS

Wayne Rooney needs two goals to be England's all-time top goal scorer.He stands on the shoulders of giants, and towers above his teammates. Wayne Rooney scored his 48th goal for England during their 3-2 win in Slovenia on Sunday. Rooney's late winner not only preserved England's perfect Group E record in Euro 2016 qualifying, but also underlined the captain's indelible importance to his country.
Barring injury, September against San Marino should see Rooney surpass Gary Lineker, level on 48,...

 

10 years ago

Bongo5

Rooney achaguliwa kuwa nahodha mpya wa England

Kocha wa England, Roy Hodgson amemteua mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kuwa nahodha mpya wa timu hiyo ya taifa. Rooney mwenye miaka 28 ambae pia ni nahodha ya timu ya Manchester United, amechukua mikoba iliyoachwa na kiungo wa Liverpool, Steven Gerrard aliyestaafu. Rooney aliwahi kuvaa kitambaa cha unahodha akiiongoza England kwenye mechi ya kufuzu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani