Rooney achaguliwa kuwa nahodha mpya wa England
Kocha wa England, Roy Hodgson amemteua mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kuwa nahodha mpya wa timu hiyo ya taifa. Rooney mwenye miaka 28 ambae pia ni nahodha ya timu ya Manchester United, amechukua mikoba iliyoachwa na kiungo wa Liverpool, Steven Gerrard aliyestaafu. Rooney aliwahi kuvaa kitambaa cha unahodha akiiongoza England kwenye mechi ya kufuzu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSpSuzQ0ZUta1TTiWrvGToE14Nyv-UDi5b02jpyD5pivXkj50ZLVxOopXEkvDOmh195sXpBC-CXix8n8QyUYiZ43/WayneRooneyinactionforEngland.jpg?width=650)
ROONEY NAHODHA MPYA ENGLAND
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Rooney achaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Manchester United, Wayne Rooney (pichani) amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza baada ya fanikiwa kuvunja rekodi ya kufunga magoli mengi katika timu ya taifa ya magoli 49 ambayo awali ilikuwa imewekwa na Sir Bobby Chalton na baade kuweka ya kwake ya magoli 50.
Rooney mwaka 2015 aliichezea Uingereza michezo 8 na kufanikiwa kuifungia magoli 5 ambayo yaliisaidia Uingereza kujihakikishia nafasi...
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-oBf6s-48sts/VoxcdBDvnfI/AAAAAAAAEZk/muLjmu2JYOc/s72-c/rooney-537054.jpg)
SUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-oBf6s-48sts/VoxcdBDvnfI/AAAAAAAAEZk/muLjmu2JYOc/s1600/rooney-537054.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/San-Marino-v-England-UEFA-EURO-2016-Qualifier.jpg)
WAYNE ROONEY AIFUNGIA ENGLAND GOLI LA 50
10 years ago
TheCitizen17 Nov
I won’t walk away from England, vows Rooney
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Rooney avunja rekodi ya magoli England
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-CklAwO6BDM4/VX75boVI4DI/AAAAAAAACDs/mLPCrCo_pCk/s72-c/download.jpg)
WAYNE ROONEY REMAINS THE TALISMAN, BUT ENGLAND NEED MORE GOALS
![](http://1.bp.blogspot.com/-CklAwO6BDM4/VX75boVI4DI/AAAAAAAACDs/mLPCrCo_pCk/s400/download.jpg)
Barring injury, September against San Marino should see Rooney surpass Gary Lineker, level on 48,...
11 years ago
TheCitizen19 Jun
Brazil 2014: Much rests for Suarez, Rooney as Uruguay confront England