MESSI AFIKIA REKODI YA MAGOLI YA KUFUNGA KWENYE UEFA CHAMPIONS LEAGUE
![](http://1.bp.blogspot.com/-ic9Z031-S3E/VFuwlLnJviI/AAAAAAAARoo/qwIronaoPCg/s72-c/Record_full.png)
Mshambuliaji kutoka nchini Argentina na klabu ya Barcelona Lionel Andrés "Leo" Messi Cuccittini amekuwa wa kwanza kuifikia rekodi ya ufungaji mabao mengi kwenye michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, iliyokuwa inashikiliwa na aliyekua mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid pamoja na Schalke 04 ya nchini Ujerumani Raúl González Blanco.
Messi ameifikia rekodi hiyo usiku wa kuamkia hii leo baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili katika mchezo wa mzunguuko wa nne wa michuano ya ligi ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
UEFA.Com14 Feb
Champions League Fantasy: Big-money assets | UEFA Champions League
5 years ago
Goal.Com18 Feb
UEFA Super League: 2020 Champions League a glimpse into European football's future
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcq7yDxsL4SWglkNqe3VQziM7Vh2T515XhK4tnnNmU3mqFvm4VFL6Kq3BQL5a0Q9xZjL*mMiar8-C0pf5v--u6UP/ChampionsLeaguecforzaitalianfootball.jpg?width=650)
UEFA CHAMPIONS LEAGUE LAST 16
9 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-kKpSRunOoVY/Vd9eGwgKWGI/AAAAAAAADbU/sSSXlfi9Gl8/s72-c/champions-league-draw-bowl.jpg)
UEFA CHAMPIONS LEAGUE DRAW 2015/16
![](http://2.bp.blogspot.com/-kKpSRunOoVY/Vd9eGwgKWGI/AAAAAAAADbU/sSSXlfi9Gl8/s600/champions-league-draw-bowl.jpg)
Group B: PSV EindhovenManchester United CSKA Moskva Wolfsburg
Group C: BenficaAtlético GalatasarayAstana
Group D: Juventus Manchester City Sevilla Borussia Mönchengladbach
Group E: Barcelona Bayer Leverkusen Roma BATE Borisov
Group F: Bayern München Arsenal Olympiacos Dinamo Zagreb
Group G: ChelseaPortoDynamo Kyiv Maccabi Tel-Aviv
Group H: Zenit Valencia Lyon Gent
Africanjam is website that came into service December 2013(with another...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJOUOG-WH*LdISh-qdCFvMbklmthWA*iOYolmnYS77qWzPLtrzrLBAIE0bj7fgNTgyZOxH1ZURVIvG7bU8dxl7ph/11054279_935496636496799_7179590700773344405_n.jpg?width=750)
9 years ago
Bongo525 Nov
Matokeo ya mechi za Uefa Champions League
![mtt](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mtt-300x194.jpg)
Michuano ya vilabu bingwa barani Ulaya iliendelea jana November 24 usiku kwa michezo nane ya hatua ya makundi kupigwa kwenye viwanja mbalimbali barani Ulaya ambapo michezo hiyo ilikuwa kutoka kundi E, F, G pamoja na H.
9 years ago
Bongo526 Nov
Matokeo ya mechi za UEFA champions league November 25
![2ED0190300000578-3334161-image-a-15_1448489796212](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2ED0190300000578-3334161-image-a-15_1448489796212-300x194.jpg)
Michuano ya klabu bingwa Ulaya hatua ya makundi iliendelea tena usiku wa Jumatano November 25, 2015 kwenye viwanja mbali mbali ikizikutanisha timu za kundi A, B, C na D. Michezo hiyo ilimalizika kwa matokeo tofauti tofauti,
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-rXiNs7LMZi0/Vm6vmbl36UI/AAAAAAAAEMs/v0wCWstvdUg/s72-c/photo_verybig_169399.jpg)
UEFA CHAMPIONS LEAGUE TOP 16 DRAW 2015/15
![](http://3.bp.blogspot.com/-rXiNs7LMZi0/Vm6vmbl36UI/AAAAAAAAEMs/v0wCWstvdUg/s640/photo_verybig_169399.jpg)
The draw is done. And some lucrative fixtures have come up. This round of 16 looks tighter than any in recent memory.Arsenal vs BarcelonaArsenal have the drawn the team they were looking to avoid. The mighty Barcelona it is. Arsenal will be hosting Barcelona at the Emirates Stadium in London in the first leg, as per rules. Group stage runners-up play at home first.PSG vs ChelseaIt's a repeat of last year for Chelsea! The Londoners face Paris Saint-Germaine. Remember, PSG knocked Chelsea out...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-fKMyNJLJ0k4/VXiW2iftyeI/AAAAAAAACA0/ODw2O6iTayY/s72-c/key_art_uefa_champions_league.jpg)
UEFA CHAMPIONS LEAGUE TEAM OF THE YEAR 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-fKMyNJLJ0k4/VXiW2iftyeI/AAAAAAAACA0/ODw2O6iTayY/s400/key_art_uefa_champions_league.jpg)
Goal-keepers: Marc-Andre ter Stegen (Barcelona), Gianluigi Buffon (Juventus)
Defenders: Branislav Ivanovic (Chelsea), Gerard Pique (Barcelona), Javier Mascherano (Barcelona), Giorgio Chiellini (Juventus), Jordi Alba (Barcelona)
Mid-fields: Ivan Rakitic (Barcelona), Sergio Busquets (Barcelona), Andres Iniesta (Barcelona), Claudio Marchisio (Juventus), Toni Kroos (Real Madrid),Andrea Pirlo (Juventus)
Strikers:Luis Suarez (Barcelona), Alvaro Morata (Juventus), Neymar (Barcelona), Cristiano Ronaldo...