Klose avunja rekodi ya ufungaji mabao
Mshambulizi wa Ujerumani Miroslav Klose amevunja rekodi ya kuwa mfungaji mabao mengi zaidi ya kombe la dunia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Lewandowski avunja rekodi ya mabao
Robert Lewandowski ameweka rekodi ya mabao matano yaliyofungwa kwa kasi zaidi na mchezaji mmoja Bundesliga.
11 years ago
Mwananchi10 Jul
BRAZIL 2014: Klose aweka rekodi mpya ya dunia
Mshambuliaji wa Ujerumani, Miroslav Klose ameweka rekodi mpya ya ufungaji katika Fainali za Kombe la Dunia kwa kufunga mabao 16, wakati timu yake ikiibuka na ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Brazil katika mchezo wa nusu fainali juzi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3PParhf2-S6ekrAUoTfmOMRJs4X3d1u82BauCTrYc1myUpzCcPRiexD-vp3aDEbu7TAjYUXr6YFVJ6buyC5O9Wh/CDnMOBVWIAAznIr.png?width=640)
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Ronaldo avunja rekodi ya Messi
Christiano Ronaldo amevunja rekodi ya ufungaji mabao mengi katika ligi ya mabingwa barani Uropa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycQkHB8DlzsTuGFmNQIi1ncT8Nt3IaDdHsVT-4vFGuyz2BLQ7WZpjBFI--9RAh*xciBxrgDHBqi-jNBEhTD-0c-K/kimetto.jpg?width=650)
MKENYA AVUNJA REKODI BERLIN
Dennis Kimetto. MWANARIADHA raia wa Kenya, Dennis Kimetto leo amevunja rekodi ya mbio za marathon jijini Berlin nchini Ujerumani kwa ushindi wake wa saa 2, dakika 2 na sekunde 57. Kijana huyo mwenye umri wa miaka 30, amevunja rekodi hiyo akipunguza sekunde 26 katika rekodi iliyowekwa na Mkenya mwenzake Wilson Kipsang ya 2: 03: 23 katika mashindano hayo yaliyofanyika mwaka jana jijini Berlin. Kimetto amesema: "najisikia vizuri...
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Gatlin avunja rekodi ya Diamond League
Mwanariadha wa Marekani Justin Gatlin ameishinda rekodi ya Usain Bolt na kuweka rekodi mpya katika mbio za Diamond League za mita 100.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hnZ2zBlGGNX576jsDpLt4tri2ui5oK-TR8xXj2BaJMYe3pHB1I1xyEfXPo9i1h7sqQEBc1Nc5dHdVJagfHyqhCIJnVJeFrUF/mtvemas2015justinbieber.jpg?width=650)
JUSTINE BIEBER AVUNJA REKODI YA EMINEM
Mshkaji anayefanya poa kwenye Gemu la Muziki wa RnB Dunia, Justine Bieber . New York, Marekani MSHIKAJI anayefanya poa kwenye Gemu la Muziki wa RnB Dunia, Justine Bieber amevunja rekodi kwa kuwa Msanii Bora wa Muda Wote wa MTV EMAs baada ya kujinyakulia tuzo sita ambazo ni, Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume (Best Male Awards), Wimbo Bora wa Kushirikishana (Best Collaboration), Msanii Bora wa Kanada (Best Canadian Act), Msanii Bora...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania