BRAZIL 2014: Klose aweka rekodi mpya ya dunia
Mshambuliaji wa Ujerumani, Miroslav Klose ameweka rekodi mpya ya ufungaji katika Fainali za Kombe la Dunia kwa kufunga mabao 16, wakati timu yake ikiibuka na ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Brazil katika mchezo wa nusu fainali juzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRYynYhkyrHbzywdWtNkuzfV72DiEZUr3cbEegDFIvVApUnOVlgpcSflHObxDfrTZk9LOHfuPAa9z4d44SXcCtgv/klose3.jpg)
MIROSLAV KLOSE AWEKA HISTORIA KOMBE LA DUNIA
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Ronaldo ajivunjia rekodi, aweka rekodi mpya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji bora wa dunia mwaka 2014 na mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (pichani)ameweka rekodi mpya katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA baada ya hapo jana kufunga goli 4 katika mchezo kati ya Real na Malmo.
Magoli ya Ronaldo yalifungwa katika dakika ya 39, 47, 50 na 58 na kufanikiwa kufikisha magoli 11 katika michezo ya makundi rekodi ambayo ilikuwa haijawahi kufikiwa na mchezaji yoyote.
Kabla ya kuweka rekodi hiyo mpya, Ronaldo alikuwa na...
9 years ago
Michuzi01 Jan
Dar Live na Shangwe za Kuukaribisha Mwaka Mpya 2016, Christian Bella Aweka Rekodi Mpya!
![bella (69)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-69.jpg)
![bella (71)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-71.jpg)
![bella (73)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-73.jpg)
![bella (74)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-74.jpg)
![bella (75)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-75.jpg)
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Mkenya aweka rekodi mpya ya Marathon
10 years ago
Vijimambo28 Sep
Mkenya aweka rekodi mpya ya Mbio
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2013/09/29/130929122846_kenyan_berlin_marathon_512x288_d_nocredit.jpg)
Rekodi ya awali iliwekwa na mkenya mwenzake Wilson Kipsang katika mbio hizo mwaka uliopita.
9 years ago
Bongo502 Nov
Yemi Alade aweka rekodi mpya ya Youtube
![yemi-alade](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/yemi-alade-94x94.jpg)
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Ronaldo aweka rekodi mpya Real Madrid
MADRID, HISPANIA
STAA wa timu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo, ni rasmi sasa amekuwa mfungaji bora wa muda wote wa klabu hiyo akifunga mabao 324 kwenye mechi 310.
Rekodi hiyo ameiweka juzi alipofunga bao moja wakati wakiilaza Levante mabao 3-0, mengine yakifungwa na Jesena Marcelo.
Tayari Real Madrid ilikuwa ikimtambua Ronaldo kuweka rekodi hiyo kabla ya mchezo huo, wakihesabia bao la faulo alilofunga dhidi ya Malmo mwaka 2010 lililombabatiza Pepe na kujaa wavuni, limeshampa tuzo ya kiatu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M3ISjWF9VmA/XuBxQyL6Z_I/AAAAAAALtS0/-QhtWN_XfiMRndXRFKNzMCUU2Ka3XBL8gCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1591718305414.jpg)
RAIS MAGUFULI AWEKA REKODI MPYA NAKALE
![](https://1.bp.blogspot.com/-M3ISjWF9VmA/XuBxQyL6Z_I/AAAAAAALtS0/-QhtWN_XfiMRndXRFKNzMCUU2Ka3XBL8gCLcBGAsYHQ/s1600/FB_IMG_1591718305414.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/FB_IMG_1591718316968.jpg)
……………………………………………………………………
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ameweka rekodi mpya isiyofutika kwa Wanakijiji cha Nakale ambapo tangu wapate Uhuru hawajawahi kuwa na umeme lakini leo hii umeme umewaka kwa mara ya kwanza. Wanakijiji hao wa Nakale kilichopo kata ya Mihambwe wamefurahi kupata umeme wa REA kwani hawakutarajia kabisa na ni mshangao kwao.
“Tangu tupate Uhuru nilikuwa sitegemei kabisa Kijiji chetu cha Nakale kupata umeme, Mimi...
9 years ago
Global Publishers01 Jan