Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkenya aweka rekodi mpya ya Mbio



Mwanariadha Wilson Kipsang ashinda mbio za Berlin Marathon mwaka uliopitaMwanariadha wa Kenya Dennis Kimeto amevunja rekodi ya dunia katika mbio za Marathon zilizondaliwa mapema leo mjini Berlin nchini Ujerumani.Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 30 alishinda mbio hizo kwa muda wa saa mbili,dakika na sekunde 57 ambapo aliivunja rekodi ya awali kwa sekunde sita

Rekodi ya awali iliwekwa na mkenya mwenzake Wilson Kipsang katika mbio hizo mwaka uliopita.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mkenya aweka rekodi mpya ya Marathon

Mwanariadha wa Kenya Dennis Kimeto amevunja rekodi ya dunia katika mbio za Marathon mapema leo mjini Berlin nchini Ujerumani.

 

9 years ago

Dewji Blog

Ronaldo ajivunjia rekodi, aweka rekodi mpya

IGxwi

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji bora wa dunia mwaka 2014 na mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (pichani)ameweka rekodi mpya katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA baada ya hapo jana kufunga goli 4 katika mchezo kati ya Real na Malmo.

Magoli ya Ronaldo yalifungwa katika dakika ya 39, 47, 50 na 58 na kufanikiwa kufikisha magoli 11 katika michezo ya makundi rekodi ambayo ilikuwa haijawahi kufikiwa na mchezaji yoyote.

Kabla ya kuweka rekodi hiyo mpya, Ronaldo alikuwa na...

 

9 years ago

Michuzi

Dar Live na Shangwe za Kuukaribisha Mwaka Mpya 2016, Christian Bella Aweka Rekodi Mpya!

bella (69)Bella akicheza na mashabiki wakebella (71)bella (73)Shoo ikinogabella (74)Bella na mashabiki jukwaanibella (75)Mashabiki wakizidi kupagwa.PICHA NA MUSA MATEJA/GPLKwa picha zaidiBOFA HAPA pia BOFYA HAPA

 

9 years ago

Mtanzania

Ronaldo aweka rekodi mpya Real Madrid

ronaldo_2477234bMADRID, HISPANIA

STAA wa timu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo, ni rasmi sasa amekuwa mfungaji bora wa muda wote wa klabu hiyo akifunga mabao 324 kwenye mechi 310.

Rekodi hiyo ameiweka juzi alipofunga bao moja wakati wakiilaza Levante mabao 3-0, mengine yakifungwa na Jesena Marcelo.

Tayari Real Madrid ilikuwa ikimtambua Ronaldo kuweka rekodi hiyo kabla ya mchezo huo, wakihesabia bao la faulo alilofunga dhidi ya Malmo mwaka 2010 lililombabatiza Pepe na kujaa wavuni, limeshampa tuzo ya kiatu...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI AWEKA REKODI MPYA NAKALE




……………………………………………………………………
Na Mwandishi wetu Mihambwe 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ameweka rekodi mpya isiyofutika kwa Wanakijiji cha Nakale ambapo tangu wapate Uhuru hawajawahi kuwa na umeme lakini leo hii umeme umewaka kwa mara ya kwanza. Wanakijiji hao wa Nakale kilichopo kata ya Mihambwe wamefurahi kupata umeme wa REA kwani hawakutarajia kabisa na ni mshangao kwao. 
“Tangu tupate Uhuru nilikuwa sitegemei kabisa Kijiji chetu cha Nakale kupata umeme, Mimi...

 

9 years ago

Bongo5

Yemi Alade aweka rekodi mpya ya Youtube

yemi-aladeBaada ya P-Square kuweka rekodi ya kuwa wasanii wa kwanza wa Nigeria kufikisha views milioni 30 Youtube kupitia video yao ya ‘Personally’ mwezi November 2014, na baadaye kuivunja rekodi yao wenyewe kwa video hiyo kufikisha views milioni 40 mwezi April 2015, msanii Yemi Alade naye ameweka rekodi kama hiyo kwa wasanii wa kike. Yemi Alade […]

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Klose aweka rekodi mpya ya dunia

Mshambuliaji wa Ujerumani, Miroslav Klose ameweka rekodi mpya ya ufungaji katika Fainali za Kombe la Dunia kwa kufunga mabao 16, wakati timu yake ikiibuka na ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Brazil katika mchezo wa nusu fainali juzi.

 

9 years ago

Global Publishers

10 years ago

Michuzi

LOWASSA AWEKA REKODI MPYA, SINGIDA APATA WADHAMINI 22,758

 Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wea Monduli, Mh. Edward Lowassa, akitoa hotuba ya shukrani kwenye makao makuu ya CCM mkoa wa Sin gida, baada ya kupata wadhamini kufuatia kucvhukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Mh. Lowassa, ameweka rekodi mpya baada ya kupata wadhamini 22, 758. Tangu aanze kutafuta wadhamini mapema mwezi huu Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani