Mkenya aweka rekodi mpya ya Mbio
Mwanariadha Wilson Kipsang ashinda mbio za Berlin Marathon mwaka uliopitaMwanariadha wa Kenya Dennis Kimeto amevunja rekodi ya dunia katika mbio za Marathon zilizondaliwa mapema leo mjini Berlin nchini Ujerumani.Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 30 alishinda mbio hizo kwa muda wa saa mbili,dakika na sekunde 57 ambapo aliivunja rekodi ya awali kwa sekunde sita
Rekodi ya awali iliwekwa na mkenya mwenzake Wilson Kipsang katika mbio hizo mwaka uliopita.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Mkenya aweka rekodi mpya ya Marathon
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Ronaldo ajivunjia rekodi, aweka rekodi mpya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji bora wa dunia mwaka 2014 na mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (pichani)ameweka rekodi mpya katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA baada ya hapo jana kufunga goli 4 katika mchezo kati ya Real na Malmo.
Magoli ya Ronaldo yalifungwa katika dakika ya 39, 47, 50 na 58 na kufanikiwa kufikisha magoli 11 katika michezo ya makundi rekodi ambayo ilikuwa haijawahi kufikiwa na mchezaji yoyote.
Kabla ya kuweka rekodi hiyo mpya, Ronaldo alikuwa na...
9 years ago
Michuzi01 Jan
Dar Live na Shangwe za Kuukaribisha Mwaka Mpya 2016, Christian Bella Aweka Rekodi Mpya!
![bella (69)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-69.jpg)
![bella (71)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-71.jpg)
![bella (73)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-73.jpg)
![bella (74)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-74.jpg)
![bella (75)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-75.jpg)
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Ronaldo aweka rekodi mpya Real Madrid
MADRID, HISPANIA
STAA wa timu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo, ni rasmi sasa amekuwa mfungaji bora wa muda wote wa klabu hiyo akifunga mabao 324 kwenye mechi 310.
Rekodi hiyo ameiweka juzi alipofunga bao moja wakati wakiilaza Levante mabao 3-0, mengine yakifungwa na Jesena Marcelo.
Tayari Real Madrid ilikuwa ikimtambua Ronaldo kuweka rekodi hiyo kabla ya mchezo huo, wakihesabia bao la faulo alilofunga dhidi ya Malmo mwaka 2010 lililombabatiza Pepe na kujaa wavuni, limeshampa tuzo ya kiatu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M3ISjWF9VmA/XuBxQyL6Z_I/AAAAAAALtS0/-QhtWN_XfiMRndXRFKNzMCUU2Ka3XBL8gCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1591718305414.jpg)
RAIS MAGUFULI AWEKA REKODI MPYA NAKALE
![](https://1.bp.blogspot.com/-M3ISjWF9VmA/XuBxQyL6Z_I/AAAAAAALtS0/-QhtWN_XfiMRndXRFKNzMCUU2Ka3XBL8gCLcBGAsYHQ/s1600/FB_IMG_1591718305414.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/FB_IMG_1591718316968.jpg)
……………………………………………………………………
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ameweka rekodi mpya isiyofutika kwa Wanakijiji cha Nakale ambapo tangu wapate Uhuru hawajawahi kuwa na umeme lakini leo hii umeme umewaka kwa mara ya kwanza. Wanakijiji hao wa Nakale kilichopo kata ya Mihambwe wamefurahi kupata umeme wa REA kwani hawakutarajia kabisa na ni mshangao kwao.
“Tangu tupate Uhuru nilikuwa sitegemei kabisa Kijiji chetu cha Nakale kupata umeme, Mimi...
9 years ago
Bongo502 Nov
Yemi Alade aweka rekodi mpya ya Youtube
![yemi-alade](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/yemi-alade-94x94.jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Jul
BRAZIL 2014: Klose aweka rekodi mpya ya dunia
9 years ago
Global Publishers01 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h7KmVc-GGOw/VYBGJB3N2PI/AAAAAAAHf9k/YgMx6shZr08/s72-c/unnamed%2B%252879%2529.jpg)
LOWASSA AWEKA REKODI MPYA, SINGIDA APATA WADHAMINI 22,758
![](http://1.bp.blogspot.com/-h7KmVc-GGOw/VYBGJB3N2PI/AAAAAAAHf9k/YgMx6shZr08/s640/unnamed%2B%252879%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XdQby8izW94/VYBGI2-eF0I/AAAAAAAHf9g/Fndc_aRBSlE/s640/unnamed%2B%252880%2529.jpg)