Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIMU 2O BORA ZA TAIFA DUNIANI

1. Germany (+1) 2. Argentina (+3) 3. Netherlands (+12) 4. Colombia (+4) 5. Belgium (+6) 6. Uruguay (+1) 7. Brazil (-4) 8. Spain (-7) 9. Switzerland (-3) 10. France (+7) 11. Portugal (-7) 12. Chile (+2) 13. Greece (-1) 14. Italy (-5) 15. USA (-2) 16. Costa Rica (+12) 17. Croatia (+1) 18. Mexico (+2) 19. Bosnia and Hercegovina (+2) 20. England (-10) ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Taifa Stars kukutana na timu bora Afrika

Timu ya taifa ya Tanzania itakutana na timu iliyoorodheshwa bora zaidi Afrika kwenye raundi ijayo ya kufuzu kwa Kombe la Dunia 2018.

 

10 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.

"Uzalendo kwanza" Shabiki wa timu ya Taifa Stars akishangilia  Mshambliaji wa Timu ya Taifa Stars,Thomas Ulimwengu akijaribu kumtoka Beki wa Timu ya Benin wakati wa Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas inaongoza bao 3-0 mpaka sasa. Kiungo Mshambuliaji wa Taifa Stars,Amri Kiemba akiipatia timu yake bao la pili katika Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas...

 

11 years ago

Michuzi

TIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA CHESS YAKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA KWENDA KUSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA NCHINI NORWAY

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Dioniz Malinzi (kulia), akimakabidhi Bendera ya Taifa, mmoja wa wachezaji wa timu ya Taifa wa mchezo wa Chess, Hemed Mlawa (wa pili kushoto), Dar es Salaam leo asubuhi kwa ajili ya kuondoka kesho kwenda kushiriki mashindano ya kimataifa nchini Norway. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Spicenet, Vinay Choundry ambaye ni muasisi wa mchezo huo hapa nchini, kushoto ni mchezaji Emmanuel Mwaisumbe. Safari hiyo imedhaminiwa na Tanzania Chess...

 

11 years ago

BBCSwahili

Je timu ya mwisho duniani ni ipi ?

Zaidi ya Muongo mmoja tangu ishindwe mabao 31-0 na Australia ,Samoa imeimarika na kusajili ushindi wa kwanza katika miaka 17.

 

11 years ago

BBCSwahili

Timu zitakazokutana 16 bora Uefa

Droo ya timu zitakazokutana katika hatua ya 16 bora ligi ya mabingwa ulaya imefanyika ambapo Manchester City imepangwa kumenyana na Barcelona.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Algeria ni timu bora Afrika

Algeria imesalia katika nafasi ya kwanza katika orodha mpya ya timu bora barani Afrika

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

BBCSwahili

Luiz:tuwieni radhi Ujeruman ni timu bora

Nahodha wa Brazil David Luiz amewaomba msamaha mashabiki wao kwa kichapo cha mabao 1-7 dhidi ya Ujerumani

 

9 years ago

BBCSwahili

Fifa: Argentina bora duniani

Argentina yaongoza kwa ubora wa viwango vya soka duniani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani